Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wakuluma, wafanyakazi, wafanyabiashara, wapinzani, wasomi wahitimu na wananchi kwa ujumla kila mtu ameonja ladha ya uongozi wa Rais Magufuli kwa miaka minne. Je, ni tamu, chungu au?

Je, ipo siku tutasema bora angebaki?
 
Siku mafisadi wakipata fursa ya kurudi na kuendelea kufyonza ndio mtamkumbuka sana mzee wa watu, leo hii yapo yanaomba sana achoke ila kila siku anaibuka na nguvu mpya, Mungu amlinde, aendelee kumpa nguvu ili awamu yake ikija kuisha nchi iwe imeshavuka hadi mafisadi hata yakirudi yakose pa kuanzia.
 
Wakuluma, wafanyakazi, wafanyabiashara, wapinzani, wasomi wahitimu na wananchi kwa ujumla kila mtu ameonja ladha ya uongozi wa Rais Magufuli kwa miaka minne. Je, ni tamu, chungu au?

Je, ipo siku tutasema bora angebaki?
Kwa mada hizi Unaelekea elekea kuja kuwa mtalaam (mganga wa kienyeji) siku za usoni. Ongeza bidii
 
Una upeo mdogo Sana,aendelee ili iweje kwa mfano,Tuko wenye uwezo na maarifa zaidi yake, kwani nn Cha ajabu alichokifanya? Watanyakazi,wakulima, wafanya biashara wote wanalalamika
 
Namba 3 ina walakini mkubwa
Nadhani inaondoa maana ya bandiko lako
 
Kwahiyo mnataka awanunulie chakula na kuwaletea nyumbani? Kalaghabao! Hakuna hela ya wizi! Kafanyekazi halali kwa juhudi na maharifa utapata hela!
 
Wakuluma, wafanyakazi, wafanyabiashara, wapinzani, wasomi wahitimu na wananchi kwa ujumla kila mtu ameonja ladha ya uongozi wa Rais Magufuli kwa miaka minne. Je, ni tamu, chungu au?

Je, ipo siku tutasema bora angebaki?
Kwa huyu sidhani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Senseless song from praise team
 
Magufuli atakumbukwa sana kuliko Julius Nyerere

Hatutopata Rais Serious kama Magufuli kwa karne kadhaa baada ya kuondoka kwake

Magufuli ni binadamu na ana madhaifu yake na hata mie huwa nampiga madongo sometime humu ila generally ni Rais Mzuri sana sana
 


Usiaminishe watu ujinga.
 
Umesahau kuandika majina yako kamili pamoja na kuweka namba ya simu
 
Zitasikika sauti zikisema ,Bora Magufuriii aliiba ila tuliona nini anafanya .

Zitasikika sauti zikisema, Bora Magufurii alileta nidhamu kazini, alipunguza janga la rushwa.

Zitasikika sauti nyingi sana zikisema bora bwanaa yule alikua Dictator ila alitanguliza mbele naslai ya nchi kuliko yake binafsi.

"In mrisho mpoto voice"

Muda utasema .
 
Reactions: nao
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…