Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kipindi cha urais wa Kikwete, kuna wakati nilikaa na rafiki zangu tukawa tunajadili mapungufu makubwa ya uongozi wa Kikwete.

Nikawaambia, rais anayekuja atakuwa na mapungufu makubwa zaidi ya huyu, mtasema afadhali hata Kikwete.

Ikawa kama utani.

Na sasa yametimia.

Naeleea kuna watu wanaweza kuangalia vitu superficial na vya kupaishwa kwa propaganda kusema Magufuli ni rais mzuri. Lakini rais asiyeheshimu katiba waziwazi, asiyeheshimu utawala bora, anayeendekeza ubabe, asiyejua hata kuongea kwa staha tu hawezi kuwa rais mzuri.

Leo hii ukiangalia kwenye vyombo vya habari vya kimataifa kila siku ni habari mbaya. Kama si kuficha Ebola basi ni vichekeaho vya Makonda na upuuzi kama huo. Wananchi wanalia vyuma vimebana.

Mmempa nchi bonge la mshamba.

Magufuli is a country bumpkin.

A Chato oompa loompa
 
Niko safarini naelekea makongorosi nikitokea Mbeya mjini nayaona mabadiriko makubwa
Barabara kutoka mbeya mjini kuitafuta chunya mkeka safi
Barabara ya kutoka chunya mjini kuitafuta tabora kupitia makongorosi mradi unamaendeleo makubwa
Inajengwa kwa ufanisi wa hali ya juu madaraja yanakarabatiwa kwa ufanisi!!!

HONGERA MUHESHIMIWA RAISI NA WATENDAJI WAKO MUNGU AWABARIKI
Turushie basi angalau clips na pics kidogo ili nasi tufurahishe macho na mioyo yetu kwa kuona kazi kubwa ambazo the Chairman wetu mpendwa na kipenzi cha wanyonge anazifanya! Es lebe President Magufuli!
 
Huyu jamaa pamoja na mapungufu yake..ukiamua kukaa katikati bila kuegemea upande wowote utaona ameisogeza nchi kimaendeleo kwa kiwango fulani.
Mara nyingi katika dunia yetu iko hivyo. Watu wanao onekana, ja mtazamo wa wengi, kuwa wana mapungufu ndiyo waleta maendeleo!

Watu ambao wako Perfect wako so complicated kiasi kwamba hakuna kitu kinatendeka! That's the fact!

Wajerumani wanasema " Man muss verrückt sein um etwas zu bewegen".
 
Wakuluma, wafanyakazi, wafanyabiashara, wapinzani, wasomi wahitimu na wananchi kwa ujumla kila mtu ameonja ladha ya uongozi wa Rais Magufuli kwa miaka minne. Je, ni tamu, chungu au?

Je, ipo siku tutasema bora angebaki?
Namtakia Magufuli 15 years. Awamu tatu. Zikatusaidia sana. Vijana wetu wenye umri wa miaka 15 watakapo shika madaraka watakuwa na umri wa miaka 30. Watakuwa wamepikwa na uzalendo wa Magufuli.
 
Wafanyabiashara wa coco beach wamemshukuru Rais Magufuli kwa kukemea unyanyasaji wanaofanyiwa na uongozi wa manispaa ya Kinondoni.

Wamedai meya Sitta aliwapa notisi ya siku 45 wawe wamehama bila ya kuwaonyesha sehemu wanayopaswa kwenda.

Naye mmiliki wa Hotel ya Coco beach iliyoteketea kwa moto amesema siyo kweli kwamba ameichoma hoteli yake ili alipwe na Bima.

Amesema huo ni uzushi unaoenezwa na waliomuhujumu kwani hoteli hiyo haikuwa na Bima kwa sababu ya mgogoro wa muda mrefu uliopo kati yake na manispaa ya Kinondoni.

Chanzo: ITV habari!
 
Wamempongeza kutokana na uwoga na ndio maana hasira zote zikaishia kwa uongozi wa manispaa
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Transformation and transparency are one of the fundamental principles of good governance and social development. The two are inseparable.

Africa, having missed for decades the type of aggressive and patriotic leadership in bringing about social,political and economic development, the continent can now boast about for having people like Dr. John Pombe Magufuli of Tanzania or Prime Minister Abiy Ahmed of Ethiopia.

For Magufuli, since his inauguration as Fifth President of Tanzania in November 2015, he has implemented many initiatives to ensure that people know and see the impact of what their government is doing.

Magufuli is a type of a leader who seems to understand well that the government has an obligation to provide socioeconomic development for its people including providing the public with adequate information.

I will firstly argue on how his government has improved transparency which is a cornerstone of good governance in various sectors. In ensuring that proactive disclosure is maintained, the Fifth Phase President signed the Access to Information Act no. 6 of 2016, which along other benefits to the citizens, require information holders to pro actively disclose information that they hold.

The law also guarantees the ability of citizens to request government information. I have used the law in my area of research in Northern parts of the country to get various needed information.

The government has Information officers across the Ministries and institutions down to the local government level. Tanzania is the future because, this is a unique structure for a low income economy to have; demonstrating and strong commitment to transparency.

On the other front, President Magufuli is globally respected for his non-donor-dependency aspirations. Not a bad dream as donors too want to get the burden off, aren't they?

Thus far, he has made Tanzania as the only East African Community economy that plans to keep its budget deficit below 3 percent in the 2019-2020 fiscal year. Tanzania is truly the future.

Obviously, this is the biggest disaster to the imperialists who according to the Research gate, tend to give loans with toughest conditionality leading to a modern times exploitation of man by man.

Infrastructure Spending
Tanzania implements mega infrastructure development projects worth trillions of shillings. In its implementation, the government has been ensuring that transparency is maintained to ensure that taxpayers get the value for money in order to avoid corruption.

Contrary to some perception, according to the assessment made by CoST- the International Infrastructure Transparency Initiative, one of the country's very able Roads Agencies, Tanroads, is doing well in transparency and project delivery and is the best rated agencies.

The report shows that, Tanroads does have disclosure policy and protocols for information management that allows public disclosure of different information.

In the TANROADS website there is the list of 47 ongoing and 110 completed projects, apart from building roads, there are also projects on Airports. The amount of money and kilometers of roads are listed.

Furthermore, the website has also a place where there is information on procurement. Tanzania is arguably the future.

Apart from TANROADS, President Magufuli through himself is an eloquent speaker of his agenda. He has been providing information on the different stages of implementation of ongoing projects, accomplished projects as well as failure to meet deadline in those projects.

That’s why most Tanzanians understand about every step reached in different issues including projects like Julius Nyerere Hydro power Plant (Africa's fourth largest power dam), Ubungo interchange, Standard Gauge Railway (SGR), Sealander bridge, Tanga-Pangani bridge, and many others.

Recently, the video showing President Magufuli angrily speaking openly about the delayed construction of Vingunguti modern abattoir, went viral in public and social media.

It takes for a witch-doctor to provide medicine to lure you into believing what the western media is trying to say about this beautiful country. Any sensible individual will doubt the propaganda frame that has thus far failed. The administration is open to media scrutiny and the media is everywhere in the country. In one district we found more than two radio stations playing 24 hours without any scrutiny.

This is the proof that the government is entirely transparent and the President would openly tell the truth on where and when things are not doing well.

He does so whenever he fires his appointed senior officials and he will continue to be so, I bet. Then how can just a broadway based newsletter, without sense of presence on the ground just publish a falsehood about any African economy? I tell you Tanzania and Africa are the future.

Financial Sector Regulation
I have seen some critics on money laundering case procedures in Tanzania and same in other neighbours; the impact of money laundering is the global phenomena.

According to the Palermo Convention (United Nations Convention Against Transnational Organized Crime), money laundering is a serious crime. It transfers economic power from the market, government, and citizens to criminals.

Money laundering causes various economic, security, and social consequences. It provides the fuel for drug dealers, terrorists, illegal arms dealers, corrupt public officials, and others to operate and expand their criminal enterprises. Palermo Convention wants all nations to take different measures to combat the problem.

For example, its Article 7 (1) (a) says, “Shall institute a comprehensive domestic regulatory and supervisory regime for banks and non-bank financial institutions and, where appropriate, other bodies particularly susceptible to money-laundering, within its competence..."

"....in order to deter and detect all forms of money-laundering, which regime shall emphasize requirements for customer identification, record-keeping and the reporting of suspicious transactions.”

It is weird to find an analyis that blames a country for taking measures against money laundering on the pretext that those who will be netted include the media, civil society organizations and banks! Can these be infallible entities?

Tanzania as amongst the nations who signed the convention, has adhered to the convention by enacting laws like Anti-Money Laundering Act, 2006, to join the global battle against the problem.

The closure of any bank and other financial institutions is legal according to this international approach if it has committed associated offences.

Development of Mining Sector
One of the achievements of fifth term government is adjustments made to the Mining Act, 2010 that point to the establishment of mineral trading centers includes mineral auction centers, the minerals exchange centers, and the minerals clearing house. These centers accommodate buyers, miners, government offices, banks and dealers at one-stop-center.

The mineral trading centers help to boost the sector’s contribution to individual income and national economy because they simplify the process of obtaining accurate mining data, assisting small-scale miners in securing a reliable market and securing suitable prices for mining products.

From March 17, 2019, the ministry has been launching mineral trading centers in various regions. Up to August 2019, 28 minerals center and 11 minerals buying stations have been established and the revenue of more than 12 billion Shillings has been collected and cases of smuggling minerals out of the country decrease.

It is surprising to note some international media complaining on the implementation of the mining laws. Tanzanians today, for the first time can enjoy the value of their minerals as revenue and production are increasing and the government is able to meet its social transformation.

I think if Tanzania and Africa ought to really transform their people, their leaders should learn to reject this "cow dung" type of western media analysis. Reforms in the mining sector shows the government has abolished 18 percent VAT and five percent withholding tax to small scale miners, and it is ensuring that minerals indicative price is considered during buying and selling the product in the market, to help them get the fruits of their work easily.

Ministry of minerals has spent 1.6 billion shillings to build a model processing center at Katente ward, and modern equipment has been installed to help small-scale miners avoid primitive technology. The project will bring employment to various professionals including geologists.

Small-scale miners continue to benefit from the increase the number of mining blocks for small-scale miners as well as improvement of social services in their working areas as well as knowledge they receive from trainings provided to them by the Ministry’s experts.

In the Mining sector the Transparency mechanism-TEIT, is applicable to ensure transparency. Now the country is able to fund its mega projects through own funds. This is real transformation and a freedom from the manacles and tentacles of aid syndrome.

Reading the Western media portrait of the country one would be surprised to come to Tanzania and find a different view of social and economic development. I say and I can testify that Tanzania is the future. Welcome one, come all.

*Dr. Gilliard Sheaffur is a social activist of German origin who is currently undertaking social researches in Manyara region, Tanzania and Kisumu areas in Kenya*
 
Wasalaamu wana-JF
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba tutambue uimara na udhaifu wa CCM chini ya mwenyekiti wetu mpendwa Raisi na Amiri Jeshi Mkuu, Comrade Dkt Magufuli. Kwa kuanza tu na anza kama ifuatavyo.
1. Chama kurudi kwa wanachama hapa na zungumzia habari ya makundi ndani ya chama
2. Wanachama kujiamini na kuwa na Uhuru na chama chao miaka 2014 kurudi nyuma ulikuwa ukijitambulisha kwamba wewe ni CCM kila mtu alikuwa anakuona kama takataka. Kwa sasa heshima imerudi ukivaa kijani unaonekana kama dhahabu.
3. Kuimarika kwa mfumo wa utoaji taarifa za chama. Kwangu Mimi naliona hili chini ya Dkt Magufuli Luna mfumo imara wa utoaji habari ambapo msemaji ni mmoja tu.
#Nisiwachoshe sana kwa kuanza na hizi inafaa niwaachie na wengine waeleze uzuri wa chama chetu pendwa.

NB:Wapinzani Mjiandaeni kutafuta kazi nyingine ya kufanya 2020. CCM ushindi wake utakuwa 91.8889%. Karibuni jamani povu ruksa
 
"Ccm Kuwa Madarakani Miaka Karibia 60 Ya Uhuru Kuna Tija Gani Kwa Mwananchi Wa Kawaida?"
 
Kama mnajiamini kiasi hicho, ni kwanini mabosi wako pale Magogoni, vitanda havilaliki na kila siku ni kutengua na kuteua watendaji wakuu wa serikali??

Hivi chama kinachojiamini kiasi hicho ni kwanini basi nyinyi CCM mnafanya siasa peke yenu na kuwapiga marufuku wapinzani wasifanye siasa hadi mwaka 2020??
 

Tatizo ni kwamba, CCM hamjitambui kuwa ni Magufuli anapaswa kuwa chini ya CCM, sio CCM chini ya Magufuli.

Lakini alalaye usimwamshe, na wajinga ndio waliwao.
 
Kama mnajiamini kiasi hicho, ni kwanini mabosi wako pale Magogoni, vitanda havilaliki na kila siku ni kutengua na kuteua watendaji wakuu wa serikali??

Hivi chama kinachojiamini kiasi hicho ni kwanini basi nyinyi CCM mnafanya siasa peke yenu na kuwapiga marufuku wapinzani wasifanye siasa hadi mwaka 2020??
1. Suala la kutengua na kuteua hauwezi kufanya vibaya halafu uachwe hili wapinzani mlilipigia kelele sana kipindi cha JK sasa amekuja mtaalamu bado tu mnalalamika
2. Hakuna aliyekatazwa kufanya siasa na ndio maana hata mbowe juzi amefanya vikao vyake na akapewa ulinzi
 
"Ccm Kuwa Madarakani Miaka Karibia 60 Ya Uhuru Kuna Tija Gani Kwa Mwananchi Wa Kawaida?"
Katika miaka hiyo yote Barabara zimejengwa na vitu kibao mnataka Mungu awape nini? Na kwa upinzani ulioopo ongeza miaka 60 mingine
 
Nakumbuka enzi hizo yakisomwa magazeti Radio Free Africa na Egbert Mkoko saa 12:30 asbh. vichwa vya habari takribani kwenye kila gazeti ilikua ni rushwa rushwa na ufisadi wa kutisha.

Dowans, Richmond, Escrow, Meremeta, Twiga kusafirishwa ughaibuni kwa ndege n.k.

Nakumbuka nilikua nachelewa shule kwasababu ya kutotaka kupitwa na uchambuzi makini wa Hegbert Mkoko.

Karibu kila Waziri alikuwa ananuka rushwa labda wazalendo wachache km Mwakyembe.

Hebu tutathmini kwa pamoja bila ushabiki wala kuonea mtu, hv awamu hii kuna Waziri anaekula rushwa?
 
Back
Top Bottom