Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Awamu hii inaweza kuwa ndio inaongoza kwa Rushwa kuliko iliyopita.Nakumbuka enzi hizo yakisomwa magazeti Radio Free Africa na Egbert Mkoko saa 12:30 asbh. vichwa vya habari takribani kwenye kila gazeti ilikua ni rushwa rushwa na ufisadi wa kutisha.
Dowans, Richmond, Escrow, Meremeta, Twiga kusafirishwa ughaibuni kwa ndege n.k.
Nakumbuka nilikua nachelewa shule kwasababu ya kutotaka kupitwa na uchambuzi makini wa Hegbert Mkoko.
Karibu kila Waziri alikuwa ananuka rushwa labda wazalendo wachache km Mwakyembe.
Hebu tutathmini kwa pamoja bila ushabiki wala kuonea mtu, hv awamu hii kuna Waziri anaekula rushwa?
Zamani vyombo vya habari vilikuwa huru kuripoti vya sasa vimepigwa solotepu kuzungumzia,jibu lako subiria awamu hii ipite ndo utapata tathmini.Nakumbuka enzi hizo yakisomwa magazeti Radio Free Africa na Egbert Mkoko saa 12:30 asbh. vichwa vya habari takribani kwenye kila gazeti ilikua ni rushwa rushwa na ufisadi wa kutisha.
Dowans, Richmond, Escrow, Meremeta, Twiga kusafirishwa ughaibuni kwa ndege n.k.
Nakumbuka nilikua nachelewa shule kwasababu ya kutotaka kupitwa na uchambuzi makini wa Hegbert Mkoko.
Karibu kila Waziri alikuwa ananuka rushwa labda wazalendo wachache km Mwakyembe.
Hebu tutathmini kwa pamoja bila ushabiki wala kuonea mtu, hv awamu hii kuna Waziri anaekula rushwa?
Hayo ni maoni ya wazambia au ni yako wewe wa praise and worship team??The president of Tanzania is one of his kind and is been loved genuinely. His style of leadership is second to none in the SADC region and he is there to represent his people squarely and fair. He does not entertain corruption and with him, better drink Logo than stealing government resources which I think other leaders could have copied. His government is not reckless in spending money and to set an example to his people, he doesn't travel out side his country all to save government money.
And he only has 3 suits...
MATAGA bana! Mtengeneze wenyewe ki tweet hiki msingizie Wa-Zambia wamesema! Pumbav zenu!The president of Tanzania is one of his kind and is been loved genuinely. His style of leadership is second to none in the SADC region and he is there to represent his people squarely and fair. He does not entertain corruption and with him, better drink Logo than stealing government resources which I think other leaders could have copied. His government is not reckless in spending money and to set an example to his people, he doesn't travel out side his country all to save government money.
And he only has 3 suits...
Vyombo vya Habari vinaripoti. Rushwa imepungua Sana.Awamu hii inaweza kuwa ndio inaongoza kwa Rushwa kuliko iliyopita.
Awamu zilizopita angalau vyombo vya habari vilikuwa vina-report taarifa za ufisadi, ila wakati huu hiki tunachoita vita ya rushwa na ufisadi inapiganwa na watu wawili tu Rais na PM wadau wengine kama vyombo vya habari haviandiki tena.
Nani alitegemea wanaomaliza vyuo hawataweza kuajiriwa kama kipindi cha Kikwete?Wanabodi,
Kwa mtazamo wangu, kama mambo makubwa ya maendeleo yameweza kufanywa katika kipindi cha miaka minne tu ya utawala huu wa Awamu ya tano, basi kuna matumaini makubwa ya watanzania kuweza kufikia Maendeleo ya kweli miaka ijayo.
Nani alitegemea kwa vikwazo vilivyokuwa vinawekwa kwenye Ujenzi wa bwawa kubwa la kuzalisha umeme mto Rufiji; Stigglers gorge ingejengwa?
Nani alitegemea ununuzi wa Ndege na kufufua shirika la ndege vingewezekana Kwa sarakasi zilizokuwepo?
Treni ya mwendo kasi Tanzania..! Nani alitegemea haya?
Hospitali ni kitu muhimu sana kwa afya za wananchi..zinajengwa kila Wilaya na Kata..!
Nani alitegemea Elimu bure ingewezekana kwa uwingi wa shule nchini..?
Watumishi wabadhirifu hata wa kujilipa 1.5m kwa safari hewa wanaambiwa wazirudishe, nani alitegemea haya.
Barabara za lami nchi nzima..
Nchi hii ina hela ila tulikuwa tunaaminishwa ndivyo sivyo..
Watumishi huko mtaani wanasema "hela ya Magu hailiki, ni ya moto"
Hizi propaganda za kiwango cha chini sana haziiwezi washawishi watu kwenye akiliWanabodi,
Kwa mtazamo wangu, kama mambo makubwa ya maendeleo yameweza kufanywa katika kipindi cha miaka minne tu ya utawala huu wa Awamu ya tano, basi kuna matumaini makubwa ya watanzania kuweza kufikia Maendeleo ya kweli miaka ijayo.
Nani alitegemea kwa vikwazo vilivyokuwa vinawekwa kwenye Ujenzi wa bwawa kubwa la kuzalisha umeme mto Rufiji; Stigglers gorge ingejengwa?
Nani alitegemea ununuzi wa Ndege na kufufua shirika la ndege vingewezekana Kwa sarakasi zilizokuwepo?
Treni ya mwendo kasi Tanzania..! Nani alitegemea haya?
Hospitali ni kitu muhimu sana kwa afya za wananchi..zinajengwa kila Wilaya na Kata..!
Nani alitegemea Elimu bure ingewezekana kwa uwingi wa shule nchini..?
Watumishi wabadhirifu hata wa kujilipa 1.5m kwa safari hewa wanaambiwa wazirudishe, nani alitegemea haya.
Barabara za lami nchi nzima..
Nchi hii ina hela ila tulikuwa tunaaminishwa ndivyo sivyo..
Watumishi huko mtaani wanasema "hela ya Magu hailiki, ni ya moto"
Hiyo train kutoka dar kufika morogoro km 300, tu shughuli yake. Pevu, mpaka mnamtuma DPP kuomba hela kwa mahabusu,Wanabodi,
Kwa mtazamo wangu, kama mambo makubwa ya maendeleo yameweza kufanywa katika kipindi cha miaka minne tu ya utawala huu wa Awamu ya tano, basi kuna matumaini makubwa ya watanzania kuweza kufikia Maendeleo ya kweli miaka ijayo.
Nani alitegemea kwa vikwazo vilivyokuwa vinawekwa kwenye Ujenzi wa bwawa kubwa la kuzalisha umeme mto Rufiji; Stigglers gorge ingejengwa?
Nani alitegemea ununuzi wa Ndege na kufufua shirika la ndege vingewezekana Kwa sarakasi zilizokuwepo?
Treni ya mwendo kasi Tanzania..! Nani alitegemea haya?
Hospitali ni kitu muhimu sana kwa afya za wananchi..zinajengwa kila Wilaya na Kata..!
Nani alitegemea Elimu bure ingewezekana kwa uwingi wa shule nchini..?
Watumishi wabadhirifu hata wa kujilipa 1.5m kwa safari hewa wanaambiwa wazirudishe, nani alitegemea haya.
Barabara za lami nchi nzima..
Nchi hii ina hela ila tulikuwa tunaaminishwa ndivyo sivyo..
Watumishi huko mtaani wanasema "hela ya Magu hailiki, ni ya moto"