Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Unajua kwa nini a.k.a ya Nyerere huitwa Baba wa Taifa?
 
Kwani ameshakubali kutoka 2025?

Ameacha kuwafuata Kagame na Mu7?
sijawahi kumsikia anasema 2025 ataondoka.
Ila nimewahi kumsikia anasema alijaribu tu kugombea, mambo yakajipa.
so hata 2020 akiachia sitashangaa, ila apewe ubaba mdogo tu hicho ndio kilio changu kila siku
 
sijawahi kumsikia anasema 2025 ataondoka.
Ila nimewahi kumsikia anasema alijaribu tu kugombea, mambo yakajipa.
so hata 2020 akiachia sitashangaa, ila apewe ubaba mdogo tu hicho ndio kilio changu kila siku
Mh!
 
Tunajua Kiti cha Baba wa taifa cha Muda Wote anashikilia Hayati JK Nyerere.

Kwa Heshima ya utumishi wake wenye mema mengi yaliyochanganyikana na mauthi machache ambayo yanathibitisha na yeye sio malaika ni binadamu napendekeza siku raisi mpya anaapishwa 2025 na Yeye Aapishe kama Baba Mdogo wa Taifa.

Naamini 2020 atashinda, hata akiamua kuweka picha tu nchi nzima yeye akaenda chato mapumzikoni wakati wa kampeni.
''msema kweli ni mpenzi wa Mungu''
Chid Benz alisema akarabati Magereza ya Segerea. Yaliyomkuta Omar Bashir wa Sudan hatayakwepa.
 
Chid Benz alisema akarabati Magereza ya Segerea. Yaliyomkuta Omar Bashir wa Sudan hatayakwepa.
Yule Omar alikuwa na Bifu na wazungu na wayahudi.
Huyu kwetu anamadhaifu madogomadogo. Nilidhani ushauri afungue NGO ya kusaidia watu wa magereza akimaliza muda wake.
Ikiwa na Bifu na wazungu hata kama ni malaika watakitega tu na kukublock. Ila huku kwetu hawana maslahi ndio maana huwa nawashangaa wapinzani wanapoomba msaada kwa beberu za kizungu. Ingekuwa ni ishu siriasi angeshazinguliwa sana
 
Tunajua Kiti cha Baba wa taifa cha Muda Wote anashikilia Hayati JK Nyerere.

Kwa Heshima ya utumishi wake wenye mema mengi yaliyochanganyikana na mauthi machache ambayo yanathibitisha na yeye sio malaika ni binadamu napendekeza siku raisi mpya anaapishwa 2025 na Yeye Aapishe kama Baba Mdogo wa Taifa.

Naamini 2020 atashinda, hata akiamua kuweka picha tu nchi nzima yeye akaenda chato mapumzikoni wakati wa kampeni.
''msema kweli ni mpenzi wa Mungu''
Mpendekeze awe beberu la taifa ili ufurahi zaidi!
 
Tunajua Kiti cha Baba wa taifa cha Muda Wote anashikilia Hayati JK Nyerere.

Kwa Heshima ya utumishi wake wenye mema mengi yaliyochanganyikana na mauthi machache ambayo yanathibitisha na yeye sio malaika ni binadamu napendekeza siku raisi mpya anaapishwa 2025 na Yeye Aapishe kama Baba Mdogo wa Taifa.

Naamini 2020 atashinda, hata akiamua kuweka picha tu nchi nzima yeye akaenda chato mapumzikoni wakati wa kampeni.
''msema kweli ni mpenzi wa Mungu''
Tunataka atawale maisha
 
2.gif
 
sijawahi kumsikia anasema 2025 ataondoka.
Ila nimewahi kumsikia anasema alijaribu tu kugombea, mambo yakajipa.
so hata 2020 akiachia sitashangaa, ila apewe ubaba mdogo tu hicho ndio kilio changu kila siku
Kama ndio kilio chako mwambie akalale na mama yako automatically atakuwa baba mdogo
 
Kama ndio kilio chako mwambie akalale na mama yako automatically atakuwa baba mdogo
aisee...
mkuu unahasira kama umenusurika kutumbuliwa.
Kazi ya urais sio kulala na mama za watu. labda kama kuna mama wa taifa
 
Tuache na unafiki na hila za kibinadamu , kusema ukweli Magufuli ni chaguo bora sana kwa miaka ya 2015-2025
Nasema hivi nikiangalia mifereji waliokuwa wamejitengenezea watu kwenye hii nchi, ambao wanalalamika wengi walio wamezibiwa mifereji yao ila
wataelewa maana baadae ya anachokifanya Rais Magufuli, Kwani asipofanya hiki anachokifanya kungetokea tabaka kubwa sana kati ya wasionacho na walionacho (income gap) na hii ni hatari sana kwa amani ya nchi.
Kikubwa cha kuomba kutoka kwa Rais Magufuli ni kutuachia katiba ya Warioba ili wananchi wapate nafasi kubwa ya kuwawajibisha viongozi
 
Back
Top Bottom