Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ya binadamu yanaisha na uwezo wa kufikiri unapungua mkuu, arudishe tu ile rasimu pure ya wariobaAongezewe muda Mkuu angalau 2034
Hahahaaa hiyo nafkir ni leadership style😛, utaonaje tofauti ya utawala sasaMa aache Kujimwambafy
Natman hata kesho nisikie bendera inashushwa nusu mlingotihahahaha kumbe mkuu unataka mkuu wetu aendelee zaidi ya 2025
Stupid argument!! Madhaifu madogo madogo?? Huyu anavunja katiba aliyoapa kuiheshimu ndiyo unaita mapungufu madogo madogo??Yule Omar alikuwa na Bifu na wazungu na wayahudi.
Huyu kwetu anamadhaifu madogomadogo. Nilidhani ushauri afungue NGO ya kusaidia watu wa magereza akimaliza muda wake.
Ikiwa na Bifu na wazungu hata kama ni malaika watakitega tu na kukublock. Ila huku kwetu hawana maslahi ndio maana huwa nawashangaa wapinzani wanapoomba msaada kwa beberu za kizungu. Ingekuwa ni ishu siriasi angeshazinguliwa sana
Unataka akwame mara ya ngapi?Alipotangaza tu Vita na Wadau wa Madini hapo ndipo alipoanza kuonekana si lolote na ni Raisi dikteta!
Muendelezo wa kusemwa na kutamkwa hasa kwa mabaya kulitamalaki.
Lakini swali ni je kwanini huyo jamaa hakwami pamoja na shutuma na kelele nyingi namna ile!?
Kwa nini kila jaribu kwa asilimia kubwa amekuwa akishinda!?
Ni kweli Mwenyezi Mungu amekuwa hayaoni makosa ya Magufuli 'kama kweli ni mkosefu'kama tunavyoaminishwa na wapinzani wake!?
Au si kweli kwamba ni 'mkosefu' na ndiyo maana Mwenyezi Mungu amekuwa daima upande wake na kuwapuuza wakosoaji wake!?
Kwanini,kwanini!?
Nisaidie!
Vita ndo imeanza na inakuja zamu ya viongozi wote wakubwa walioshirikiana na wafanyabiashara kulibia Taifa hili.Escrow ni untouchable bro...by the way anashughulika na makosa ya serikali zilizopita kwani yeye hakuwepo?
Binafsi naona ni movie tu wanacheza kuteka watu wenye vision ndogo na kusaka revenue ya serikali kwa nguvu maana hali mbaya uko..kesi za uhujumu uchumi na tozo za makosa ya barabarani ndo vimekuwa vyanzo vipya vya mapato
Hakuna aliyeumbuliwa ni kuwa utasemea wapi wakati hatuna mahakama!Wakati huu wa awamu ya Tano wahujumu uchumi,Mafisadi wameumbuliwa na kufrdheheshwa magerezani kama Raia wengine
Awamu iliyopita hatukuwaona wenye uwezo kifedha wakiwa magerezani,yaani fedha zilikuwa zinaongea,wanyonge walikuwa wanauziwa kesi kila kukicha,ilikuwa hatari sana.Wanyonge walikuwa wanateseka magerezani bila yakosa lolote huku wenye makosa wakiwa wanakula maisha mtaani kisa wameuza kesi,waliofikwa na haya ndio watakoona ukweli
Kulikuwepo na IPTL,Escro,Richmond na huduma mbovu za kijamii,Mshine ya MRI na Sit-Scan kutokufanya kazi ktk Hospitali ya Rufaa Muhimbili,wagonjwa walikufa wasiokuwa na fedha,baadhi kuambiwa wakalipie vipimo vya MRI katika Hospitali ya Regence kwa faida ya watu binafsi,kwani mashine ya MRI waliiharibu na kusingizia ni mbovu ili Regence wafaidike,pia barabara zilikuwa mbovu sana
Kiongozi wa awamu ya nne alikuwa anakwenda nchi za ugenini kama mtu anayetoka Dar kwenda Morogoro,kwanini hizo ziara asingezifanya ndani ya nchi yake ili ajue shida za wanyonge
Hayo yote hayakuonekana?
Wakati huu wa awamu ya Tano wahujumu uchumi,Mafisadi wameumbuliwa na kufrdheheshwa magerezani kama Raia wengine
Awamu iliyopita hatukuwaona wenye uwezo kifedha wakiwa magerezani,yaani fedha zilikuwa zinaongea,wanyonge walikuwa wanauziwa kesi kila kukicha,ilikuwa hatari sana.Wanyonge walikuwa wanateseka magerezani bila yakosa lolote huku wenye makosa wakiwa wanakula maisha mtaani kisa wameuza kesi,waliofikwa na haya ndio watakoona ukweli
Kulikuwepo na IPTL,Escro,Richmond na huduma mbovu za kijamii,Mshine ya MRI na Sit-Scan kutokufanya kazi ktk Hospitali ya Rufaa Muhimbili,wagonjwa walikufa wasiokuwa na fedha,baadhi kuambiwa wakalipie vipimo vya MRI katika Hospitali ya Regence kwa faida ya watu binafsi,kwani mashine ya MRI waliiharibu na kusingizia ni mbovu ili Regence wafaidike,pia barabara zilikuwa mbovu sana
Kiongozi wa awamu ya nne alikuwa anakwenda nchi za ugenini kama mtu anayetoka Dar kwenda Morogoro,kwanini hizo ziara asingezifanya ndani ya nchi yake ili ajue shida za wanyonge
Hayo yote hayakuonekana?