Mr Tyang
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 1,728
- 6,806
Hapo utakuta Sera Zao Walizotunza Kama Nondo za Kampeni 2020 Ni zile za Kina Ben sanane,Lissu na Anzory. Hahaha hawataamini Watakavyojinchwa na Wananchi Unamletea Mwananchi wa kule kijijini Tukuyu na kigoma ndanindani kule habari Za Anzory Na Ben utafikiri atakuelewa lini au Hamjui kuwa kundi kubwa la wapiga kura wahafahamu kabisa Kama kuna Akina Ben na Anzory labda T.L ndo wengi Wanamfahamu Ila hao waliobaki Wanafahamika tu huku mitandaoni hasa JF.Nikiufuatilia utendaji wa serikali ya awamu ya 5 naona yaliyoahidiwa na vyama vya upinzani mwaka 2015 ni kama yameshatekelezwa yote.
Ilani ya CCM kwa kuwa ilisheheni vitu vingi sana kutokana na uwezo mkubwa wa kifikra wa wale walioiandaa imetekelezwa kwa zaidi ya 90% na ifikapo September 2020 itakuwa imekamilika kwa 100%
Nauona upinzani ukifutika kabisa kwenye ramani ya Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo jipeni Sana mda wa kutafakari Sera mtakazotuletea wapiga kura wenu Ila Kama Ni Sera za kutuhubiria Mambo ya mtu binafsi kuliko Mambo ya kitaifa tutakachowafanyia hata kwa mungu itakuwa baraka tele.