Dropout
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 641
- 533
Waasalaam ndugu wanajukwaa nampongeza sana Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kufanya nchi hii kila mtu amechangamka penye riziki hapakosi fitina ndo maana unaona joto la wapingaji kila kona wakidai mambo ambayo hawana hoja nayo ila wanasubiri afanye ndipo waanze kubweka.
Tunafaham fika kuwa watu wengi sana hawapendi kuona wakipotezwa kwenye ulimwengu wa siasa na mtu mmoja tena kutoka CCM hawapo tayari ila hawana namna ni kutulia tu dawa iwaingie vizuri.
Nategemea povu zito kutoka kwa wapingaji maana hawatakuja na hoja bali watapinga tu..
Tunafaham fika kuwa watu wengi sana hawapendi kuona wakipotezwa kwenye ulimwengu wa siasa na mtu mmoja tena kutoka CCM hawapo tayari ila hawana namna ni kutulia tu dawa iwaingie vizuri.
Nategemea povu zito kutoka kwa wapingaji maana hawatakuja na hoja bali watapinga tu..