Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninafisi nampongeza rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe,john magufuri kwa kazi nzuri inayoonekana machoni mwa watanzania tangu 2016 hadi leo
Magufuli akitoka madarakani yaani kama akitoka madarakani basi watz watamlilia sana kipenzi chaoNinafisi nampongeza rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe,john magufuri kwa kazi nzuri inayoonekana machoni mwa watanzania tangu 2016 hadi leo
Ninafisi nampongeza rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe,john magufuri kwa kazi nzuri inayoonekana machoni mwa watanzania tangu 2016 hadi leo
Wewe na mimi tutanunua unga kwa bei kali.Nampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, John Pombe Magufuri kwa kazi nzuri inayoonekana machoni mwa watanzania tangu 2016 hadi leo.
Wewe na mimi tutanunua unga kwa bei kali.
Kimetokea Nini Hadi Sasa hivi unamkubali? Share nasi hapa,Mimi Toka mwanzo namkubali tu linapotokea kafanya Jambo nisilolipenda hua ninajisemea binadamu hatujakamilika ila mengi nayaona mazuri.Mungu ampe ulinzi na afya tele tu.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Huyu mzee anajitahidi ingawa hali ya maisha ya wananchi haijabadilika bado.
Nilikuwa nampinga kila leo kwa miaka 3 au 4 mfululizo but now nimeona ngoja nimuunge mkono.
CCM siiungi mkono maana ndio iliyotuharibia nchi yetu kwa ufisadi na undugu.
Nilikuwa na sababu lukuki za kumpinga huyu mzee ila sasa nimepata sababu zenye nguvu za kumuunga mkono na mguu ikiwezekana.
Sasa nitaanza kumpigia kampeni kila kona na ikiwezekana atawale 15 yrs.
Najua nina nguvu ndogo ktk jamii ila ninauwezo wa kumwongezea kura mia moja 2020 kwa kampeni nitakayompigia kazini na mitaani.
Leo najisikia kumuheshimu sana hadi title yangu nimemwita kwa majina yake yote kamili. Kuna jambo kanifurahisha sana.
Simuhukumu asiyemuunga mkono ila ninamtaka achunguze na kuzipitia upya sababu zake zinazomfanya asimuunge mkono.
2014 nikiwa nafanya kazi BARICK sasa Acacia mgodini Bulyanhulu niliwahi kuwaambia wenzangu kuwa hii nchi tungempata Magufuli ingetulia. Ingawa alipoingia tu baada ya miezi michache 2016 aliposimamisha stahiki za watumishi kwaajili ya uhakiki ndipo nikaanza kumchukia. Sasa simchukii tena.
JPM kanifanya niishi maisha ya unafuu zaidi ya zamani. Pia kajitahidi kuwanyoosha miungu watu waliokuwa wakiyainua mabega yao kisa pesa au vyeo vyao.Kimetokea Nini Hadi Sasa hivi unamkubali? Share nasi hapa,Mimi Toka mwanzo namkubali tu linapotokea kafanya Jambo nisilolipenda hua ninajisemea binadamu hatujakamilika ila mengi nayaona mazuri.Mungu ampe ulinzi na afya tele tu.
tuwape na hongera walio toa mawazo yao (ilani zao) zilizungumza juu ya elimu bure, kuimarisha kila sekta.
tumpe hongera magu kwa kuchukua yale ya msingi kwenye ilani za wenzake
Katiba ya nchi hairuhusu. Ilipasishwa jinsi ilivyo kwa malengo na maana kubwa. Izingatiwe hivyo.Namtakia Magufuli 15 years. Awamu tatu. Zikatusaidia sana. Vijana wetu wenye umri wa miaka 15 watakapo shika madaraka watakuwa na umri wa miaka 30. Watakuwa wamepikwa na uzalendo wa Magufuli.