Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Lowassa naye na kutetemeka kwake, hakubaki nyuma kwenye KUIMBA NYIMBO ZA MAPAMBIO za kumsifia Magu!
Naona ilikuwa sherehe maalum ya KUIMBA SIFA!
Unamwona anatetemeka sasa hivi! Mwanzo hukuona kama alikuwa anatetemeka
 
Mimi niliona wakati maiti ya Mengi ikipitishwa toka JKIA na toka Moshi kwenda nyumba ni kwake, tukiachilia mbali ujio wa Awilo Longomba.
Anyway ulikuwa bado mtoto au ulikuwa kijijini kwenu.
Swali, umekwisha ona sasa imekusaidia nini kwenye maisha yako?
 
Kuna Pedesheee alishawahi kuchukiwa na Watu???!!!! Haha
 
Watanzania tunanjaa na ni maskini sio upendo wala nn tabia yake yakugawa pesa barabarani ndo inawapeleka watanzania kumsubiri

Mana anatembeaga na tumilioni moja moja ametuhesabu kabisa
 
Anawaogopa au wao ndo wanamuogopa mpaka wanataka maridhiano? Wakifanya jeuri wanalla rupango, sasa anawaogopa vipi? Angekuwa anawaogopa wangekuwa wanafanya vurugu kila suku mitaani kisha wanarudi makwao kulala, huo ndo uoga.
Hiyo mitutu ya bunduki inayo mzunguka huioni
 
Hao waliokuwa wamejipanga njani ilikuwa si kwa ajili ya kumwona bali walifikiri anaweza akapandwa na jazba akaamua kuwatupia maburungutu ya minoti, hivyo waliona wakabe nafasi.
 
Duuh!! Aiseeee kuna watu wana kichefuchefu na Magufuli. Uzi wako umeunganishwa na uzi wa 2015😅😅😅 Magu anaumiza watu.
 
Imekuwa kama desturi, watanzania kulalamika sana, hakuna mtu atakaye kupa kitu ni kila mmoja kuona fursa na kuzitumia, lakini ili tuweze kutoka hapa tulipo itatakiwa tuanze kujikagua kwanza, kabla sijaongea, niseme wazi, mimi sina chama na sio shabiki wa mtu yeyote isipo kuwa mimi ni shabiki wa maendeleo tu!

Rais Magufuli anafanya kazi, na kazi yake inaonekana, nani mwingine aje atudanganye kuwa atafanya zaidi ya hapa, hapana haikuwahi kutokea jamani, watu mnaolalamika hakuna pesa, sijui zimebanwa, ni uwezo mdogo wa kufikiri, piga kazi halali, upate pesa, ok, nacho jua binadamu yeyote hawezi kuridhika na hata akipewa kitu gani, ndio maana watu wanawaua hata watoto wao au wazazi wao ili wapate pesa. Hiyo yote ni kwasababu ya kutoridhika na maisha wanayoishi.

Change theory,
Ndugu zangu Watanzania, Rais Magufuli ni mwanadamu kama wengine, kwa kiwango chake cha utendaji pamoja na ubinadamu alionao, ameweza sana, huyu ndiye Rais tuliyemuhitaji, huyu ndiye Rais ambaye kipaumbele chake ni maendeleo Africa.

Mimi naanza kumpongeza Rais, big up, Mungu aendelee kukupa akili nyingi na maarifa.
 
Haya ni maoni na predictions zangu kuelekea uchaguzi wa 2020, binafsi namkubali sana Mh. MAGUFULI, despite all his weaknesses kama binadamu.

Kama Taifa tunahitaji maendeleo zaidi kuliko siasa za ushindani, tunahitaji wazalendo zaidi watu wenye kuipenda Tanzania kuliko wanasiasa wa kuchaguliwa, in other words, we NEED more patriots than elected politicians. Hili Taifa tunahitaji wanasiasa wazalendo, wakuijenga hii nchi sio WEZI WA MALI ZA UMMA. Its very unfortunate Africa na Tanzania ikiwemo tumekuwa na wanasiasa wanaopenda kuchuma kupitia Siasa, wapo tayari kuyaweka mataifa yao rehani ili tu matumbo yao yashibe. Jamani hili TAIFA na MALI zote zilizomo tumepewa na MUNGU sio WAZUNGU hivyo basi sisi ndio tunatakiwa kuwa wafaidika wa hizi rasilimali sio MTU watu wengine wa mataifa mengine.

Ningependa kurudia kauli ya MZEE PINDA na Mimi naomba Ku paraphrase "Magufuli ukishindwa kuendelea HAKIKISHA, HAKIKISHA BABA UNATULETEA MTU MZALENDO, MAFISI WENGI WANASUBIRI HIYO NAFASI WALE MPAKA WAVIMBEWE" Tunahitaji wazalendo kuliko wanasiasa, yes tutapata viongozi kupitia Siasa ila tunahitaji wazalendo kwanza!!!

Mungu ibariki Tanzania.
 
Halafu mwisho anawapiga nyie mnachakaa huku akiongeza muda wa kukaa madarakani mpaka mfe.Waulize wakongo au waganda hawajawahi kusimama
 
Halafu mwisho anawapiga nyie mnachakaa huku akiongeza muda wa kukaa madarakani mpaka mfe.Waulize wakongo au waganda hawajawahi kusimama
Kwa mfano akiongeza muda harafu maendeleo kama yote tatizo liko wapi? Ni Mara 100 Magufuli aongeze muda kuliko kuwapa "MAFISI" Nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…