TUNATEKELEZA:
Vijiji zaidi ya 8000 kati ya vijiji 12000 nchini Tanzania vimefikiwa na umeme wa REA.Ikumbukwe kuwa mwaka 2015 ni vijiji 2000 pekee ndio vilikuwa vimepata umeme
Hivyo ndani ya miaka minne ya mheshimiwa Rais Magufuli madarakani vijiji zaidi 6000 vimepelekewa umeme.
Huu ni utekelezaji wa ahadi uliotukuka.
Ikumbukwe wakati Rais Magufuli anaingia madarakani vibaraka wa mabeberu pamoja na wapinga maendeleo walipeleka umbea ughaibuni na hatimaye Serikali kunyimwa fedha za MCC zilizokuwa zitumike kupeleka umeme vijijini.
Serikali madhubuti ya CCM chini ya Babalao Magufuli ilijidhatiti na kuendelea kutumia fedha za ndani na hatimaye leo hii tunashuhudia matokeo chanya na ya haraka.
VIVA MAGUFULI VIVA CCM YA MAGUFULI
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nani kakwambia Serikali ina hela??Fedha zote ni mali ya wananchi kazi ya Serikali ni kuzisimamia kwa manufaa ya umma.Serikali imetoa sh ngap kwenye miradi ya REA kumbuka hela nyingi zinatoka kwa wananchi ukinunua umeme kuna % 3 nadhani inaenda rea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nimesema fedha ni za CCM ?Acheni kuweweseka
Umesahau Magufuli alipowaita wakandarasi wanaohusika na REA na kuwapa assuarance ya kuwa fedha ipo waendelee kuchapa kazi??kajitahidi lakini unavyosema sio ukweli kamili . Umeme uliongezeka sana wakati wa Millennium Fund ya George Bush na ilivyosimama baada ya uchaguzi Magufuli akaendeleza. Lakini kusema yeye ndiye kaleta umeme kwa 73% ya vijiji si kweli! Na sehemu nyingi umeme tayari ulikuwa umefika vijiji vingine vya karibu. Naona kama kawaida ya wengi kuna vitu kwa maksudi mnajisahaulisha. Wakati wa Kikwete umeme uliwekwa zaidi sema tu pesa ilikuwa sio yetu kama sasa.
ndio unaisoma kwa mara ya kwanza?Nliposoma username yako tu! Nikafuta nakufuta nlichotaka kuandika
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo punda wa lumumba ni tahira hana alijualo"Mheshimiwa Spika;
Katika kipindi hiki tuliunda Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambao wamefanya kazi kubwa na nzuri ya kusambaza umeme kwa vijiji 5,336 kati ya vijiji12,423 nchini. Kazi kubwa iliyofanyika vijijini inapochanganywa na ile ya mijini imeongeza idadi ya Watanzania wanaopata umeme kutoka asilimia 10hadi asilimia 40 mwaka 2015. Uamuzi uliofanywa katika Bajeti ya mwaka huu wa kukusanya fedha kwa ajili ya umeme vijijini kupitia mafuta ya petroli, utasaidia sana kuongeza kasi ya kusambaza umeme vijijini"
Hotuba ya Jakaya Kikwete kuaga na kuvunja bunge 2015
12423-5336=
5336x100 = 42.95%
12423
Kwa hiyo aslimia 43% ya vijiji TZ vilikuwa na umeme
Hizi takwimu wanazotoa Sasa wanazipata wapi?
Nasubiri akujibu hapa"Mheshimiwa Spika;
Katika kipindi hiki tuliunda Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambao wamefanya kazi kubwa na nzuri ya kusambaza umeme kwa vijiji 5,336 kati ya vijiji12,423 nchini. Kazi kubwa iliyofanyika vijijini inapochanganywa na ile ya mijini imeongeza idadi ya Watanzania wanaopata umeme kutoka asilimia 10hadi asilimia 40 mwaka 2015. Uamuzi uliofanywa katika Bajeti ya mwaka huu wa kukusanya fedha kwa ajili ya umeme vijijini kupitia mafuta ya petroli, utasaidia sana kuongeza kasi ya kusambaza umeme vijijini"
Hotuba ya Jakaya Kikwete kuaga na kuvunja bunge 2015
12423-5336=
5336x100 = 42.95%
12423
Kwa hiyo aslimia 43% ya vijiji TZ vilikuwa na umeme
Hizi takwimu wanazotoa Sasa wanazipata wapi?
Tafsiri ya Vijiji kupata umeme ina utata mkubwa sana.TUNATEKELEZA:
Vijiji zaidi ya 8000 kati ya vijiji 12000 nchini Tanzania vimefikiwa na umeme wa REA.Ikumbukwe kuwa mwaka 2015 ni vijiji 2000 pekee ndio vilikuwa vimepata umeme
Hivyo ndani ya miaka minne ya mheshimiwa Rais Magufuli madarakani vijiji zaidi 6000 vimepelekewa umeme.
Huu ni utekelezaji wa ahadi uliotukuka.
Ikumbukwe wakati Rais Magufuli anaingia madarakani vibaraka wa mabeberu pamoja na wapinga maendeleo walipeleka umbea ughaibuni na hatimaye Serikali kunyimwa fedha za MCC zilizokuwa zitumike kupeleka umeme vijijini.
Serikali madhubuti ya CCM chini ya Babalao Magufuli ilijidhatiti na kuendelea kutumia fedha za ndani na hatimaye leo hii tunashuhudia matokeo chanya na ya haraka.
VIVA MAGUFULI VIVA CCM YA MAGUFULI
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mkuu hizo ndio kero ndogondogo zinazotakiwa kusemwa ili Serikali ifuatilie kwa ukaribu...kuna baadhi ya maeneo siasa za kubishana zinapelekea miradi isimame..kuna maeneo mengine wanaiba miundombinu.Tafsiri ya Vijiji kupata umeme ina utata mkubwa sana.
Umeme unafika katika Kijiji chenye Nyumba 400, nyumba 20 zinafungiwa umeme, sawa na asilinia 5 (tano) ya nyumba, kisha Serikali inatangaza kuwa Kijiji kina umeme.
Asilimia 95 waliobaki, ambao wote wanataka umeme, wanaambiwa Vifaa na MITA zilizoletwa zimeisha.
Ukiwafuata Tanesco, gharama unazoambiwa ili uunganishiwe umeme, ni tofauti na zile zinazotangazwa, ambazo ni Shs. 27,500/-.
Vi vema Tanesco itoe tamko kuhusu hali hii.
Wakati huo huo ni vema na haki kuisifia Serikali na Tanesco kwa kufikisha umeme sehemu nyingi sana.
Hata kama kuna miradi au asilimia ya waliopata umeme imeongezeka lakini takwimu ziwe za kweli. Umeme umeanza kuwekwa tangu awamu ya nne. Kama kuna ongezeko sawa lakini haya mambo ya haijapata kutokea yanachosha. Mie nakaa Dar lakini cha ajabu nilipo hakuna umeme. Tunatumia sola. Niko ndani ya mipaka ya jiji la dsm. Hatuna umeme. Haujaletwa.kajitahidi lakini unavyosema sio ukweli kamili . Umeme uliongezeka sana wakati wa Millennium Fund ya George Bush na ilivyosimama baada ya uchaguzi Magufuli akaendeleza. Lakini kusema yeye ndiye kaleta umeme kwa 73% ya vijiji si kweli! Na sehemu nyingi umeme tayari ulikuwa umefika vijiji vingine vya karibu. Naona kama kawaida ya wengi kuna vitu kwa maksudi mnajisahaulisha. Wakati wa Kikwete umeme uliwekwa zaidi sema tu pesa ilikuwa sio yetu kama sasa.
Mjomba CCM ni moja juzi ,jana na leo.Hata kama kuna miradi au asilimia ya waliopata umeme imeongezeka lakini takwimu ziwe za kweli. Umeme umeanza kuwekwa tangu awamu ya nne. Kama kuna ongezeko sawa lakini haya mambo ya haijapata kutokea yanachosha. Mie nakaa Dar lakini cha ajabu nilipo hakuna umeme. Tunatumia sola. Niko ndani ya mipaka ya jiji la dsm. Hatuna umeme. Haujaletwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongooo wa kiwango cha duniaTUNATEKELEZA:
Vijiji zaidi ya 8000 kati ya vijiji 12000 nchini Tanzania vimefikiwa na umeme wa REA.Ikumbukwe kuwa mwaka 2015 ni vijiji 2000 pekee ndio vilikuwa vimepata umeme
Hivyo ndani ya miaka minne ya mheshimiwa Rais Magufuli madarakani vijiji zaidi 6000 vimepelekewa umeme.
Huu ni utekelezaji wa ahadi uliotukuka.
Ikumbukwe wakati Rais Magufuli anaingia madarakani vibaraka wa mabeberu pamoja na wapinga maendeleo walipeleka umbea ughaibuni na hatimaye Serikali kunyimwa fedha za MCC zilizokuwa zitumike kupeleka umeme vijijini.
Serikali madhubuti ya CCM chini ya Babalao Magufuli ilijidhatiti na kuendelea kutumia fedha za ndani na hatimaye leo hii tunashuhudia matokeo chanya na ya haraka.
VIVA MAGUFULI VIVA CCM YA MAGUFULI
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Akikujibu nitag ndugu"Mheshimiwa Spika;
Katika kipindi hiki tuliunda Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambao wamefanya kazi kubwa na nzuri ya kusambaza umeme kwa vijiji 5,336 kati ya vijiji12,423 nchini. Kazi kubwa iliyofanyika vijijini inapochanganywa na ile ya mijini imeongeza idadi ya Watanzania wanaopata umeme kutoka asilimia 10hadi asilimia 40 mwaka 2015. Uamuzi uliofanywa katika Bajeti ya mwaka huu wa kukusanya fedha kwa ajili ya umeme vijijini kupitia mafuta ya petroli, utasaidia sana kuongeza kasi ya kusambaza umeme vijijini"
Hotuba ya Jakaya Kikwete kuaga na kuvunja bunge 2015
12423-5336=
5336x100 = 42.95%
12423
Kwa hiyo aslimia 43% ya vijiji TZ vilikuwa na umeme
Hizi takwimu wanazotoa Sasa wanazipata wapi?
Kweli vijiji vingi vimepata Umeme na umechochea maendeleo ya kiuchumi na huduma za jamii. Lakini nashawishika kuamini kuwa tafsiri ya kijiji ni makao makuu ya kijiji na dhana ya usambazaji wa umeme ni kufika makao makuu ya kijiji lakini si pembezoni mwa kijiji. Itakuwa vyema baadaye huduma ipanuke kujumuisha walio pembezoni tusijenge tabaka za kiuchumi vijijini. REA ingia ndani vijijini ambako watu wengi wanatumia mafuta ya taa na kuni kwa mwanga.TUNATEKELEZA:
Vijiji zaidi ya 8000 kati ya vijiji 12000 nchini Tanzania vimefikiwa na umeme wa REA.Ikumbukwe kuwa mwaka 2015 ni vijiji 2000 pekee ndio vilikuwa vimepata umeme
Hivyo ndani ya miaka minne ya mheshimiwa Rais Magufuli madarakani vijiji zaidi 6000 vimepelekewa umeme.
Huu ni utekelezaji wa ahadi uliotukuka.
Ikumbukwe wakati Rais Magufuli anaingia madarakani vibaraka wa mabeberu pamoja na wapinga maendeleo walipeleka umbea ughaibuni na hatimaye Serikali kunyimwa fedha za MCC zilizokuwa zitumike kupeleka umeme vijijini.
Serikali madhubuti ya CCM chini ya Babalao Magufuli ilijidhatiti na kuendelea kutumia fedha za ndani na hatimaye leo hii tunashuhudia matokeo chanya na ya haraka.
VIVA MAGUFULI VIVA CCM YA MAGUFULI
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Una maanisha ngazi ya vitongoji??Kweli vijiji vingi vimepata Umeme na umechochea maendeleo ya kiuchumi na huduma za jamii. Lakini nashawishika kuamini kuwa tafsiri ya kijiji ni makao makuu ya kijiji na dhana ya usambazaji wa umeme ni kufika makao makuu ya kijiji lakini si pembezoni mwa kijiji. Itakuwa vyema baadaye huduma ipanuke kujumuisha walio pembezoni tusijenge tabaka za kiuchumi vijijini. REA ingia ndani vijijini ambako watu wengi wanatumia mafuta ya taa na kuni kwa mwanga.
Umesahau Magufuli alipowaita wakandarasi wanaohusika na REA na kuwapa assuarance ya kuwa fedha ipo waendelee kuchapa kazi??
Fedha za MCC tulinyimwa ila mzigo umepigwa...hii ndio Serikali Kamili na Sio Serikali lemavu
Asilimia 95 ya takwimu za serikali ya Jiwe ni za kupika."Mheshimiwa Spika;
Katika kipindi hiki tuliunda Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambao wamefanya kazi kubwa na nzuri ya kusambaza umeme kwa vijiji 5,336 kati ya vijiji12,423 nchini. Kazi kubwa iliyofanyika vijijini inapochanganywa na ile ya mijini imeongeza idadi ya Watanzania wanaopata umeme kutoka asilimia 10hadi asilimia 40 mwaka 2015. Uamuzi uliofanywa katika Bajeti ya mwaka huu wa kukusanya fedha kwa ajili ya umeme vijijini kupitia mafuta ya petroli, utasaidia sana kuongeza kasi ya kusambaza umeme vijijini"
Hotuba ya Jakaya Kikwete kuaga na kuvunja bunge 2015
12423-5336=
5336x100 = 42.95%
12423
Kwa hiyo aslimia 43% ya vijiji TZ vilikuwa na umeme
Hizi takwimu wanazotoa Sasa wanazipata wapi?