Akikujibu nitag ndugu
TUNA IMANI NA MAGUFULI 2020 - 2025 [emoji1241][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]TUNATEKELEZA:
Vijiji zaidi ya 8000 kati ya vijiji 12000 nchini Tanzania vimefikiwa na umeme wa REA.Ikumbukwe kuwa mwaka 2015 ni vijiji 2000 pekee ndio vilikuwa vimepata umeme
Hivyo ndani ya miaka minne ya mheshimiwa Rais Magufuli madarakani vijiji zaidi 6000 vimepelekewa umeme.
Huu ni utekelezaji wa ahadi uliotukuka.
Ikumbukwe wakati Rais Magufuli anaingia madarakani vibaraka wa mabeberu pamoja na wapinga maendeleo walipeleka umbea ughaibuni na hatimaye Serikali kunyimwa fedha za MCC zilizokuwa zitumike kupeleka umeme vijijini.
Serikali madhubuti ya CCM chini ya Babalao Magufuli ilijidhatiti na kuendelea kutumia fedha za ndani na hatimaye leo hii tunashuhudia matokeo chanya na ya haraka.
VIVA MAGUFULI VIVA CCM YA MAGUFULI
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Namaanisha ngazi za vitongoji na zaidi REA ilenge ngazi ya kayaUna maanisha ngazi ya vitongoji??
Jingalao, kuna ibilisi aitwaye 'ubaguzi' ananyemelea nchi yetu.Mkuu hizo ndio kero ndogondogo zinazotakiwa kusemwa ili Serikali ifuatilie kwa ukaribu...kuna baadhi ya maeneo siasa za kubishana zinapelekea miradi isimame..kuna maeneo mengine wanaiba miundombinu.
Bado kipande kidogo tu ,yani mkeka mtupu ,daaaa aisee mwenyezi Mungu ampe JPM maisha malefuHiyo barabara ilikuwa korofi sana. Kama imetengenezwa italeta mapinduzi makubwa ya usafiri kwa hayo maeneo
Tuko nyuma Sana kitechnologia ukiwezapata kuni si tayari ushaupata umeme,hapa ni suala tu la sido na veta kusambaza technology watu watumie kuni na mabaki ya mazao mfano pumba za mpunga,maranda ya mbao,mavi ya ngombe wajitengenezee umeme wapate mwanga na kutumia kwa mashine mbali mbaliKweli vijiji vingi vimepata Umeme na umechochea maendeleo ya kiuchumi na huduma za jamii. Lakini nashawishika kuamini kuwa tafsiri ya kijiji ni makao makuu ya kijiji na dhana ya usambazaji wa umeme ni kufika makao makuu ya kijiji lakini si pembezoni mwa kijiji. Itakuwa vyema baadaye huduma ipanuke kujumuisha walio pembezoni tusijenge tabaka za kiuchumi vijijini. REA ingia ndani vijijini ambako watu wengi wanatumia mafuta ya taa na kuni kwa mwanga.
CCM ndiyo iliyotufikisha huko kwani na yenyewe ilikuwa ikichota mabilioni kwenye mashirika ya umma kwa maagizo na bila maandishi, ilipiga kisawasawa! CCM nuksi.[emoji828]Twiga walipandishwa ndege
[emoji828]Ujambazi ulishamiri
[emoji828]Watumishi wa Umma walikuwa wanakwenda kazini muda waliotaka wao
[emoji828]Tenda walipeana kindugu
[emoji828]Wanaopambana na kuzuia rushwa ndio waliokuwa vinara wa kupokea rushwa
[emoji828]Huduma muhimu za kijamii zilikuwa hazijafika kijijini kwetu(Maji safi ,huduma za afya, umeme)
[emoji828]Shirika la ndege (Atcl) lilikuwa shimoni
[emoji828]Vitendo vya hujma vilishamiri sana
#Asante JPM
Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba inamruhusu kuwepo hapo si kujipendekeza. Ndiyo maana hata alichoongea si mapambio kama wengine.
Ni maana ya mshamba? Mshamba ni yule mtu aliyezaliwa kijijini akakulia kijijini mjini akaletwa na Serikali kusoma shule mbali mbali akawakuta wenyeji wasiojua lolote na kuwapa somo la maisha ya kimkakati.Kumbe ndiyo maana wazee wa CCM na zitto wanamwita mshamba, sasa wewe umeongezeka, aisee