Wengi mnaotaja taja Zambia, sijui Malawi ni kwa kuwa humjaona malalamiko ya wananchi wao (mipakani) juu ya ugumu wa maisha baada ya mipaka kufungwa. Kama mmeangalia azamtv habari (utv) jana mtakuwa mnaelewa nazungumzia nini.Kweli katuletea heshima. Ndiyo maana hata kitaifa kidogo cha Zambia kimetupiga ban kuingia nchini kwao. Hata Malawi kwa kutudharau watatupiga ban kuingia Malawi
Nitashangaa sana akipata kura chini ya 98%.
Ni kweli mkuu Ila Tanzania inafungiwa vioo na nchi zinazotuzungukaUpepo wake upo vizuri sana. Now akitoa hotuba nchi nzima inatikisika...2020 kesho kutwa anachukua nchi kilaini sana. Nawaombea ndugu zangu wapinzani wapate majimbo angalau bungeni wale wanaosema ndiyoooooo mzeeeeee wasiwe wengi. But kwa kura za Urais...Magu unayo kura yangu..na mke wangu.
KWA sasa hakuna Rais bora AFRIKA KM MAGU.. Magu ni kidume hasa...mwanaume asiyeyumbishwa...kuna wahuni walitaka afunge mpaka...then tufe njaa au..MAGU kanyaga hapo hapo mzee.
Wanaofunga vioo wapo ndani sie tupo nje, hapo hakuna tatizo. Wakikosa pumzi watafungua tu.Ni kweli mkuu Ila Tanzania inafungiwa vioo na nchi zinazotuzunguka
Mkuu Sodabeer, yawezekana kabisa hilo unalolisema likawa sahihi kwa upande wako, lkn cha msingi ni uhalisia wake wote ktk "public domain". Kwa sababu, kuwa na "limited mind" juu ya mambo ya kitaalamu, haimpi mtu kuwa shujaa kwa wale wenye uelewa, pengine kwa wale wajinga ambao wanamzunguka na kumshauri.Upepo wake upo vizuri sana. Now akitoa hotuba nchi nzima inatikisika...2020 kesho kutwa anachukua nchi kilaini sana. Nawaombea ndugu zangu wapinzani wapate majimbo angalau bungeni wale wanaosema ndiyoooooo mzeeeeee wasiwe wengi. But kwa kura za Urais...Magu unayo kura yangu..na mke wangu.
KWA sasa hakuna Rais bora AFRIKA KM MAGU.. Magu ni kidume hasa...mwanaume asiyeyumbishwa...kuna wahuni walitaka afunge mpaka...then tufe njaa au..MAGU kanyaga hapo hapo mzee.
Mungu atusaidie,Zambia ni middle income country,Kenya ni middle income country,Rwanda inakaribia huko.Tanzania bado tunahangaika na vyoo Bora,kunawa mikono ukitoka chooni,kuwalinda vipepeo and the like huku over 40%ya budget yetu ikimtegemea beberu.Je hapo unajiona uko ndani we?I am so sorryWanaofunga vioo wapo ndani sie tupo nje, hapo hakuna tatizo. Wakikosa pumzi watafungua tu.
hujui hujielewi wewe.. lini Rwanda na Zambia walimfikia Tanzania kiuchumiMungu atusaidie,Zambia ni middle income country,Kenya ni middle income country,Rwanda inakaribia huko.Tanzania bado tunahangaika na vyoo Bora,kunawa mikono ukitoka chooni,kuwalinda vipepeo and the like huku over 40%ya budget yetu ikimtegemea beberu.Je hapo unajiona uko ndani we?I am so sorry
Kuwepo kwa kirusi cha Zika hakitoi unafuu wa kile cha COVID-19. Wewe tambua tu ya kwamba hiki ni kirusi kipya na kibaya zaidi, kwa hakika hakihitaji siasa wala kiki zake ama ushujaa ndani yake.tulia wewe..ugonjwa wa zika vipi ulikuwepo
Upepo wake upo vizuri sana. Now akitoa hotuba nchi nzima inatikisika...2020 kesho kutwa anachukua nchi kilaini sana. Nawaombea ndugu zangu wapinzani wapate majimbo angalau bungeni wale wanaosema ndiyoooooo mzeeeeee wasiwe wengi. But kwa kura za Urais...Magu unayo kura yangu..na mke wangu.
KWA sasa hakuna Rais bora AFRIKA KM MAGU.. Magu ni kidume hasa...mwanaume asiyeyumbishwa...kuna wahuni walitaka afunge mpaka...then tufe njaa au..MAGU kanyaga hapo hapo mzee.