asanteNyuzi za namna hii ili nisiwe naziona na kujikuta natukana huwa nawaweka kwenye ignore list. Na wewe kuanzia sasa umeingia rasimi kwanye ignore list yangu.
Nyie member wapya mnafanya JF kama takataka. Umejoini leo ili ulete takataka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majina huumba, Sijijui na hajijui kweli, hivi hujui kuwa kuna Watanzania/ waafrika wanamaisha Bora na yakifahari kuzidi raia wengi sana tu From developed countries? Pambana ujenge angalau choo cha kisasa, nyumba ni choo.Mungu atusaidie,Zambia ni middle income country,Kenya ni middle income country,Rwanda inakaribia huko.Tanzania bado tunahangaika na vyoo Bora,kunawa mikono ukitoka chooni,kuwalinda vipepeo and the like huku over 40%ya budget yetu ikimtegemea beberu.Je hapo unajiona uko ndani we?I am so sorry
tulia wewe
rc makonda..gambo...happi...wengi hawamfaiRais magufuli ni jembe kila mtu anajua, ila kuna baadhi ya wasaidizi wake wanapaswa wampishe maana wanamchafulia tuu hasa yule Rc na Dc fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Tanzania ipo juu mkuu na ndo maana tunahuruma sana,yaani bora watanzania 55 elfu wafe kwa corona lakini tusiache kumhudumia jiranihujui hujielewi wewe..lini rwanda na zambia walimfikia tanzania kiuchumi
Hahahah aisee?Majina huumba, Sijijui na hajijui kweli, hivi hujui kuwa kuna Watanzania/ waafrika wanamaisha Bora na yakifahari kuzidi raia wengi sana tu From developed countries? Pambana ujenge angalau choo cha kisasa, nyumba ni choo.
kweliRais magufuli ni jembe kila mtu anajua, ila kuna baadhi ya wasaidizi wake wanapaswa wampishe maana wanamchafulia tuu hasa yule Rc na Dc fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabsaMkuu unapigia mahesabu ya Uchaguzi 2020?
Hivi kuna Mtanzania anayeipenda Tanzania ataacha kumpigia kura Rais Magufuli ? Ampigie nani sasa!
kama kuna Mtanzania yeyote ameshindwa kutambua kuwa Magufuli anapita mule mule alimopita Mugabe.... Mtanzania huyo ni taahira!Upepo wake upo vizuri sana. Now akitoa hotuba nchi nzima inatikisika...2020 kesho kutwa anachukua nchi kilaini sana. Nawaombea ndugu zangu wapinzani wapate majimbo angalau bungeni wale wanaosema ndiyoooooo mzeeeeee wasiwe wengi. But kwa kura za Urais...Magufuli unayo kura yangu..na mke wangu.
KWA sasa hakuna Rais bora AFRIKA KAMA MAGUFULI.. Magufuli ni kidume hasa... mwanaume asiyeyumbishwa...kuna wahuni walitaka afunge mpaka... then tufe njaa au.. MAGUFULI kanyaga hapo hapo mzee.
Wakichoka watafunguaNi kweli mkuu Ila Tanzania inafungiwa vioo na nchi zinazotuzunguka
Tutakuwa tumekufa njaa
Upepo wake upo vizuri sana. Now akitoa hotuba nchi nzima inatikisika...2020 kesho kutwa anachukua nchi kilaini sana. Nawaombea ndugu zangu wapinzani wapate majimbo angalau bungeni wale wanaosema ndiyoooooo mzeeeeee wasiwe wengi. But kwa kura za Urais...Magufuli unayo kura yangu..na mke wangu.
KWA sasa hakuna Rais bora AFRIKA KAMA MAGUFULI.. Magufuli ni kidume hasa... mwanaume asiyeyumbishwa...kuna wahuni walitaka afunge mpaka... then tufe njaa au.. MAGUFULI kanyaga hapo hapo mzee.
jembe la kulimiaJembe la kulimia ugoro Chato ??? Tena limewekwa store linaogopa kupata kutu za corona ?? Ateremke hapa dar kama yeye ni Jembe kweli , ??
kama kuna Mtanzania yeyote ameshindwa kutambua kuwa Magufuli anapita mule mule alimopita Mugabe.... Mtanzania huyo ni taahira!
Ugali wa mahindi na dagaa huwa unaagiza nje ya nchi? Acha ulimbukeni wa kulialia, tatizo likishajitokeza kuwa moyo wa kiume na jiandae kulikabili siyo kulalamika. Unataka Rais afanyeje?Tutakuwa tumekufa njaa
Acha kufanya personal attacks, changia hoja, jamiiforums siyo yako pekee.