Robot ya korosho utaijua tuu
Subiri abishe hodi nyumbani kwako ndio utajua anafanya nini maana nyie kina Tomaso mko wengi:decision:
cha ajabu alichofanya ni kusikiliza kilio cha watanazania na kufanya ambacho wengine hawajakifanya......
Kama wewe sio kichaa unaelekea kuwa kichaa.... Kama sio kichaa kwa sasa basi utakuwa kichaa shupavu pale milembe
Ni kama nyie mliohubiriwa na DJ kuwa tatizo ni mfumo na si mtu, sasa Magufuli anafanya kazi kupitia mfumo upi? shame on you
aaaahhhh!!!! imebidi nicheke tu, naona umesahau yale niliyokuambia wakati ule. Kumbuka hata Songosongo walisema hayo hayo. Cha ajabu nawe unaimba kama kasuku wimbo huo huo. This is Tanzania Bibie, shamba la Bibi. Ndiyo maana Noran anatucheka sanaUmeme utashuka, subiri mradi ukamilike, mbona una kiherehere kijana.
Kwa mtindo huo wataosalimika ni wachache.
nimemskia aliekua mkuu wa taasisi ya kupambana na ufisadi nchini kenya akiponda utendaji wa marais wengne huku akimsifia magufuli
kama ni kweli kwa hayo unayo yazungumzia basi ili niamini naomba arudishe maduka ya ujamaa, na shule zote za watu binafsi apole ziludi serikalini, na kama hawezi naomba usimfananishe na mchonga, kwakuwa mchonga aliyaweza, nae hawezi kuvaa hicho kiatu.