Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya yote yameongelewa miaka mitano iliyopita. Watu hawakupewa nafasi ya kuongelea siasa, huu ndio muda wao wa kujiachia,,,,,,,,,,,,,,waacheni.Wanabodi,
Kila wakati lisu lisu ,Tujadili na habari za mgombea wetu wa ccm mchapa kazi na mwenye maono ya mbali..
Umetumwa sio bureLissuuuu
Au sio sisi hayo masgr hatuyataki tunataka 'haki'Wanabodi,
Kila wakati lisu lisu ,Tujadili na habari za mgombea wetu wa ccm mchapa kazi na mwenye maono ya mbali
Imekuwa kama dose ya dawa hospitali sasa kujadili habari za lissu kutwa mara tatu asubuhi ,mchana na jioni
Magufuli amefanya mambo makubwa kama kujenga reli ya kisasa,kununua ndege na Bwawa kubwa la umeme
Maendeleo ya watu ni mazuri hasa bei za vyakula zipo chini ,Hakuna mfumuko wa bei
Mikopo kila kona hasa kwa wanafunzi
Members mtupumzishe mambo ya lissu
Nilishatoa tahadhari hapa kuwa huyo mtu asijibiwe ona sasa chama changu kinashambuliwa bila huruma
Ni muda wa kukaa kimya tuongelee mambo yetu
Kama miaka 5 haijatosha kueleweka, basi tena.......tusubirie hisani za NEC.Wanabodi,
Kila wakati lisu lisu ,Tujadili na habari za mgombea wetu wa ccm mchapa kazi na mwenye maono ya mbali
Imekuwa kama dose ya dawa hospitali sasa kujadili habari za lissu kutwa mara tatu asubuhi ,mchana na jioni
Magufuli amefanya mambo makubwa kama kujenga reli ya kisasa,kununua ndege na Bwawa kubwa la umeme
Maendeleo ya watu ni mazuri hasa bei za vyakula zipo chini ,Hakuna mfumuko wa bei
Mikopo kila kona hasa kwa wanafunzi
Members mtupumzishe mambo ya lissu
Nilishatoa tahadhari hapa kuwa huyo mtu asijibiwe ona sasa chama changu kinashambuliwa bila huruma
Ni muda wa kukaa kimya tuongelee mambo yetu
Kama miaka 5 haijatosha kueleweka, basi tena.......tusubirie hisani za NEC.Wanabodi,
Kila wakati lisu lisu ,Tujadili na habari za mgombea wetu wa ccm mchapa kazi na mwenye maono ya mbali..
Hivyo ndivyo vinanipa shibe?Umetumwa sio bure
Fikiria Standard gauge
Fikiria flyovers
Fikiria de chato Internationale airport
Fikiria mwendokasi
Fikiria ndege tena Boeing
Hamuoni haya yote
UBARIKIWE SANANdugu zangu naomba nianze kwa kunukuu kiapo cha Rais John Pombe Magufuli siku ile ya tarehe 05/11/2015 mbele ya Jaji Kiongozi Mh. Mohamed Chande Othman katika uwanja wa Uhuru baada ya kutangazwa mshindi wa Urais na Tume ya Uchaguzi chini ya Jaji mstaafu Damian Lubuva....
😀 😀 Lissu ni kama Maji, usipoyaoga, utayanywa. usipoyanywa, utanywea dawa. Usiponywea dawa, utayapikia. usipoyapikia, utayafulia.Wanabodi,
Kila wakati lisu lisu ,Tujadili na habari za mgombea wetu wa ccm mchapa kazi na mwenye maono ya mbali
Imekuwa kama dose ya dawa hospitali sasa kujadili habari za lissu kutwa mara tatu asubuhi ,mchana na jioni
Magufuli amefanya mambo makubwa kama kujenga reli ya kisasa,kununua ndege na Bwawa kubwa la umeme
Maendeleo ya watu ni mazuri hasa bei za vyakula zipo chini ,Hakuna mfumuko wa bei
Mikopo kila kona hasa kwa wanafunzi
Members mtupumzishe mambo ya lissu
Nilishatoa tahadhari hapa kuwa huyo mtu asijibiwe ona sasa chama changu kinashambuliwa bila huruma
Ni muda wa kukaa kimya tuongelee mambo yetu