Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Hata kama angepandisha kwa 100% bado haitoshi
na hajafika hata 1/4 ya mzee Kikwete na kiburi chake.
Wazee wetu wastaafu wanaonesha maisha halisi ya watumishi yalivyo hapo baadae.
Viinua mgongo na pension ndio vimekuwa vyanzo vya fedha kwa serikali badala ya huduma kwa wazee wetu
Huwezi kutumia pension kujengea flyover huku wastaafu wakifa kwa njaa na mawazo
Rais Magufuli ni muuaji,
Ni mtu aliyejaa kibri,
Hasikilizi shida za watu kwa lengo la kuguswa na kuzitatua,
Bali kwa lengo la kujionesha kisiasa kama ni mtu wa watu
Inabidi aache maigizo avae uhalisia ili awe kiongozi bora
Watumishi, wameminywa sana haki zao kipindi chake
Wote wenye akili lazima wayalaani yote haya.
na hajafika hata 1/4 ya mzee Kikwete na kiburi chake.
Wazee wetu wastaafu wanaonesha maisha halisi ya watumishi yalivyo hapo baadae.
Viinua mgongo na pension ndio vimekuwa vyanzo vya fedha kwa serikali badala ya huduma kwa wazee wetu
Huwezi kutumia pension kujengea flyover huku wastaafu wakifa kwa njaa na mawazo
Rais Magufuli ni muuaji,
Ni mtu aliyejaa kibri,
Hasikilizi shida za watu kwa lengo la kuguswa na kuzitatua,
Bali kwa lengo la kujionesha kisiasa kama ni mtu wa watu
Inabidi aache maigizo avae uhalisia ili awe kiongozi bora
Watumishi, wameminywa sana haki zao kipindi chake
Wote wenye akili lazima wayalaani yote haya.