Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Watunishi Wa bwanaHao watumishi ni wa idara zipi?
Maana Afya wanalia,Elimu wanalia, Uvuvi na kilimo kilio kitupu, wewe unazungumzia Watumishi gani hao?
Acha uongo wewe, unapata faida gani kwa kusena uongo? Hao watumishi labda watumishi wa MunguNdugu yangu, hawa ni watumishi wa aina zote na kada zote. Watumishi wenyewe wanajua walivyonufaika na wana jambo lao la kufanya tarehe 28 Okt. Ni kumpa kura zote JPM
Hata kama angepandisha kwa 100% bado haitoshi
na hajafika hata 1/4 ya mzee Kikwete na kiburi chake.
Wazee wetu wastaafu wanawaonesha maisha ya watumishi yalivyo hapo baadae.
Viinua mgongo na pension ndio vimekuwa vyanzo vya fedha kwa serikali badala ya huduma kwa wazee wetu
Huwezi kutumia pension kujengea flyover huku wastaafu wakifa kwa njaa na mawazo
Rais Magufuli ni muuaji,
Ni mtu aliyejaa kibri,
Hasikilizi shida za watu kwa lengo la kuguswa na kuzitatua,
Bali kwa lengo la kujioneshani mtu wa watu
Inabidi aache maigizo avae uhalisia ili awe kiongozi bora
Watumishi, wameminywa sana haki zao kipindi chake
Wote wenye akili lazima wayalaani yote haya.
Kuna haja gani kuwashwa washwaHyo miaka mingi ambayo hawakupandishwa madaraja ni mingapi.
Hajapandisha mishahara kwa miaka mitano je ni mingi au michache?
Ingalikua ni Lisu unadhani asingeweza kupandisha mishahara na madaraja?
Pesa za kuwalipa alitoa mfukoni kwake?
Mkishiba mnacheua kashfa? Nenda shule yoyote mwite mwalimu umwambie huo upuuzi uone kama utatoka bila Kofi!!Ndugu yangu, hawa ni watumishi wa aina zote na kada zote. Watumishi wenyewe wanajua walivyonufaika na wana jambo lao la kufanya tarehe 28 Okt. Ni kumpa kura zote JPM
Naona ID mpya, haisaidii! Jiwe katili, takwimu hizo hazitawarudisha akina Mawazo, Ben Azory, maiti za sandarusi, hivyo jiondokee humu ufanya kazi zako Sky Eclat Chakaza Salary SlipWatumishi wa umma wamenufaika sana na utawala wa Rais Magufuli, 306,917 wamepandishwa vyeo na madaraja na kulipwa madai yao mbalimbali ya jumla ya shilingi bilioni 472.6. Kati ya hizo shilingi bilioni 114.5 yalikuwa ni madeni ya mishahara na shilingi bilioni 358.1 yalikuwa ni madeni yasiyokuwa ya mishahara kama vile uhamisho. Watumishi wengi wa umma ni mashahidi jinsi walivyopandishwa vyeo na madaraja wakati wa utawala wa Rais Magufuli baada ya kugota katika madaraja hayo kwa miaka mingi. Kupandisha watumishi 306,917 kati ya watumishi takriban 500,000 wa umma haijawahi kutokea. Viva Rais Magufuli, viva watumishi wa umma. Kura zetu tunampa Mhe Rais Magufuli. (Source za takwimu ni hotuba ya Rais Magufuli akifunga Bunge tarehe 16 Juni 2020). Tunakwenda na Rais Magufuli.
Acha bangi zakoNdugu yangu, hawa ni watumishi wa aina zote na kada zote. Watumishi wenyewe wanajua walivyonufaika na wana jambo lao la kufanya tarehe 28 Okt. Ni kumpa kura zote JPM
Wekeni majina tuwaone.Tuna Jambo letu tarehe 28 OctoberWatumishi wa umma wamenufaika sana na utawala wa Rais Magufuli, 306,917 wamepandishwa vyeo na madaraja na kulipwa madai yao mbalimbali ya jumla ya shilingi bilioni 472.6.
Kati ya hizo shilingi bilioni 114.5 yalikuwa ni madeni ya mishahara na shilingi bilioni 358.1 yalikuwa ni madeni yasiyokuwa ya mishahara kama vile uhamisho.
Watumishi wengi wa umma ni mashahidi jinsi walivyopandishwa vyeo na madaraja wakati wa utawala wa Rais Magufuli baada ya kugota katika madaraja hayo kwa miaka mingi. Kupandisha watumishi 306,917 kati ya watumishi takriban 500,000 wa umma haijawahi kutokea.
Viva Rais Magufuli, viva watumishi wa umma. Kura zetu tunampa Mhe Rais Magufuli. (Source za takwimu ni hotuba ya Rais Magufuli akifunga Bunge tarehe 16 Juni 2020).
Tunakwenda na Rais Magufuli.
Duh ila huyu mtu ni muongo haijawahi kutokea ndio maana amekumbatia kila kitu, hatupumuiWatumishi wa umma wamenufaika sana na utawala wa Rais Magufuli, 306,917 wamepandishwa vyeo na madaraja na kulipwa madai yao mbalimbali ya jumla ya shilingi bilioni 472.6. Kati ya hizo shilingi bilioni 114.5 yalikuwa ni madeni ya mishahara na shilingi bilioni 358.1 yalikuwa ni madeni yasiyokuwa ya mishahara kama vile uhamisho. Watumishi wengi wa umma ni mashahidi jinsi walivyopandishwa vyeo na madaraja wakati wa utawala wa Rais Magufuli baada ya kugota katika madaraja hayo kwa miaka mingi. Kupandisha watumishi 306,917 kati ya watumishi takriban 500,000 wa umma haijawahi kutokea. Viva Rais Magufuli, viva watumishi wa umma. Kura zetu tunampa Mhe Rais Magufuli. (Source za takwimu ni hotuba ya Rais Magufuli akifunga Bunge tarehe 16 Juni 2020). Tunakwenda na Rais Magufuli.