mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Tusiangalie kuumwa tu. Mjini maisha yametupiga option ni kungoka kwenda kijijini Kwan vilivyotukimbiza vipo. TV zipo, maji yapo, umeme hupo."Rural area".Inaweza ikawa kweli lakini hebu fikiria Dar es salaam imepata umeme miaka ya 40 na kijiji cha nata Serenget kimepata umeme 2007,je unaweza kusema Nata ni bora kuliko dar?...
Ndiyo nalima vitunguu vinanilipa kuliko kugaa gaa upwani darWewe upo kijijini hapo?
Lima mkuuNdiyo nalima vitunguu vinanilipa kuliko kugaa gaa upwani dar
Mwili wa Ben Saanane mliutupa wapi? Wacha kujibaraguza ili kusaka teuzi.
Mkuuu umesahau kumuuliza na DJ ni kipi Hasa Mhe.Chacha Wangwe alikosea kufikia hatua ya kukatishwa uhai wake kupitia yule kijana wenu Mallya.Mwili wa Ben Saanane mliutupa wapi? Wacha kujibaraguza ili kusaka teuzi.
Mkuuu umesahau kumuuliza na DJ ni kipi Hasa Mhe.Chacha Wangwe alikosea kufikia hatua ya kukatishwa uhai wake kupitia yule kijana wenu Mallya.
Naunga mkono hojaYanasemwa mengi sana ila ukweli utabaki kuwa ukweli sio kila anaye kosoa serikali au Mh Rais basi anamchukia Rais au anania mbaya na serikali.
We love our President and we real care him. Mungu amlinde. Nakumtumza kwa manufaa ya Taifa na Raia wote.
Merry Christmas and happy New year 2021
Kazi yao kuilinda ccm iendelee kuwep madarakaniKwani polisiccm kazi yao nini!? [emoji15][emoji15]
Yaani kwa hilo huwa nakupenda hadi nafika kileleni!Happy Christmas Tundu Lissu and Family.
πππ
View attachment 1658522
Ukimtaja ben roho inaniuma balaa.Mwili wa Ben Saanane mliutupa wapi? Wacha kujibaraguza ili kusaka teuzi.