Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Uandishi wako hauvutii
una nini hasa????Uandishi wako hauvutii
karudie kulala umalizie ndoto yaka kisha uje umekamilika. 61%habari zenu wanajamii!awali kabla ya wote napenda kutoa pongezi kwa rais wa awamu ya tano wa jamuhur ya muungano wa tanzania john joseph pombe magufuli kwa jitihada zake za kutaka kuiinua tanzania kutoka ilipokuwa mpaka kufikia hivi sasa katika nyanja zote mfn katika swala la uongozi sasa hivi baadhi ya viongozi wanajua wajib wao nasi kama zamani angalau wamenyooka lakin tukirudi kwa TRA nawapongeza sana kwa jitihada zao za kumfanya rais aweze kutimiza aliyoyahidi katika kampeni zake kwani bila ya wao kukusanya mapato kwa uangalifu mkubwa basi bado rais asingeweza kufanikiwa kwa mfn rais aliahid ndege tayar zimenunuliwa kupitia fedha za ndani pia kuna meli tatu zinataka kununuliwa katika ziwa moja ila nimelisahau kiukweli pongezi zende kwao pia ningependa kuwakumbusha kweli inabidi kifanya mpango hizi kodi zote za wapangaji wakusqnye kwani itazidi kuonua ukusanyaji wa mapato na hapo ndo serikali itazidi kupata pesa kwa ajili ya kuanzisha na kumaliza miradi iliyopo na mipya,lakin pia nawashauri TRA katika upande wa michezo kuanzia msimu huu wajitahidi kutumia eletric machine ili tuweze kupata pesa zinazotoka huko kwani michezo kwa sasa inapesa kwelikweli hivo inapasa kuzikusanya kwa umakini mkubwa lakin pia itoze kodi kwa wachezaji i mean wanamichezo ambao tayar wako official pia itaongeza ukusanyaji wa mapato..namalizia na kutoa pongezi tena kwa TRA na rais wa jamuhur wa muungano mung awalinde ameen
done purposelyUandishi wako hauvutii
Kama walkua hawalipi kod wana faida gan, waache waende tuSubiri uone mporomoko wa uchumi....watu wanakimbiza mitaji yao nje kama hawana akili nzuri
Mwezi wa tisa umefika? soma kauli yako umesema kaleta ndegendege mwezi wa tisa na tayar ruban walishaenda canada kusoma
Zinafika, we ukitaka kujua zinafika, toa hela hiyo, utakatiwa notification receipt, kesho yake pitia ofisi ya ocd, onesha notification paper yako, dai risiti yako utapewa.Ni kwel anajitahid sana mh rais ila binafs siwapongez TRA maana bado hawako sriasi, mfano leo nlkua naelekea mkuranga nmekutana na askari akadai nmezidsha mwendo tukakubali cha ajabu anatuandkia anasema tumpe hela afu list n ile ya karatas, nkamwambia m nataka ukate kwny mashne ya Efd anasema pwani hazijafka, sasa tuna uhakka gan kua hizi hela ztafika Serkaln, TRA mnatuangusha sana ss wananchi na mh rais mnamuangusha pia kwa kukosa u 'serious'
kilaza babu yako na ww piaKilaazaaaa hujui hata kuandika