Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania


Lumumba washakuwa mzigo hao, hakuna mshahara hapo ni mihayo kwenda mbele, na hata ukipita pale lumumba kile kijiwe cha kahawa naona kimefutika, jamaa zako wanapostia nyumbani kwao ccm lumumba hali ni mbaya sana, kilichobaki ni kujikomba tu waone kama watakumbukwa au kuhukwaa uDC au uDED
 

Very SAD, where do we make mistake?
 
alisema atatoa ajira utumishi wa umma baada ya miezi miwili..lakini hajatekeleza mpaka sasa ni miezi minne kasoro..sijui miezi miwili kwake anaihesabu vipi.?
 
Very SAD, where do we make mistake?

Kwa sababu tumekubali kugawanywa na watawala,mapka tutakapobadilika na kujiona kwamba sote ni watanzania.Na vibaraka ni watawala waliouza UHURU na RASLIMALI zetu kwa wakoloni aka wawekezaji
 
Wadau amani iwe kwenu.

Sina mengi sana,ila nawathibitishia tu kwamba;Mtaani sasa kuheshimiana kumerudi...

Zile kauli""unanijua mm nani""kwa sasa zimebaki historia.

Huyu mh.pia kajitahidi kipunguza sana gape la wenye nacho na wasionacho.

Hata maofisini sasa urasimu kama sii kuisha basi umepungua kwa kiasi kikubwa.

Kwenye mabar sasa hivi zile tabia za wape kama walivo hisikii tena.Ibebaki tu mhudumu anaitwa kwa ishara.

Aiseee!!!Huyu mzee noooma.
 
The fact that bar bado ziko wazi na watu wanaendelea kupiga maji means pesa bado zipo na rushwa iko pale pale magu kafeli
 
Katika vitu vya kijinga ambavyo watu tunashabikia ndio kama hicho!!
Huwezi furahia mtu fulani eti sasa hivi hali bata sasa ivi badala ya kuangalia wewe binafsi maisha yako yameborekaje.. .
Ndio kauli zilizopo mtaani sasa hivi eti heshima imerudi......kurudi kwake kwa hiyo heshima katika maisha ya kawaida umenufaika nini????
 
Ndio, ni lazima atishe kwa kuweza kuigeuza kanuni ya muumba inayowaruhusu viumbe kuishi hapa duniani sawa na malaika wa mbinguni kuishi kama mashetani! Anatisha kwa ubunifu na usimamizi.
 

PENGINE. Income ya Mtanzania hivi sasa ni dola 844 kwa mwaka au dola 1770 kwa kipimo cha PPP (Purchasing Power Parity)...lakini hata kuongeza dola 10 tu yataka kaaaazi kweli kweli!
 
Chamsingi kabisa mh rais asilegeze kamba yupo ktkt mstari mzuri, Akilegeza tu kamba kwa kelele za wachache basi atakua ameharibu.
 
Huu ni ukweli mchungu sana.

Najua tulizoeshwa na kuzoea vibaya.

Najua tuliaminishwa kuwa hii ni nguvu ya soda lakini ukweli haujifichi na unaendelea kujidhihirisha...

This is the MAN....
THE ONE AND ONLY MR PRESIDENT OUR PRESIDENT JPJM ...he is awesome!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…