KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
Nawaza au kutafakari tu!
1. Aliahidi Elimu Bure, Imewezekana - ametekeleza!
2. Akasema atadumisha nidhamu ya wataumishi, ametekeleza!
3. Akasema atapunguza matumizi ya serikali, kweli tumeona!
4. Akasema atapambana na wanaokiuka kanuni za matumizi ya fedha za umma, kweli tunaona!
5. Hili la ndege ni by the way tu! zimenunuliwa, hata kama zina pangaboi lakini zimenunuliwa!
wazee wa lumumba ongezeni mengine! na wale wa ufipa leteni changamoto, ila msitukane.
Lumumba washakuwa mzigo hao, hakuna mshahara hapo ni mihayo kwenda mbele, na hata ukipita pale lumumba kile kijiwe cha kahawa naona kimefutika, jamaa zako wanapostia nyumbani kwao ccm lumumba hali ni mbaya sana, kilichobaki ni kujikomba tu waone kama watakumbukwa au kuhukwaa uDC au uDED