Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kwa kweli hiki Chama nimekivulia kofia, nimeamini sasa kabisa kwamba hiki ni Chama makini si ajabu klk vyote barani Afrika!
Hivi walimuibuaje Pombe Magufuli (PhD)? Huyu jamaa (Magufuli) alitokea wapi, iweje afike hapo kwenye Uraisi huku akiwaacha wenzake waliojiandaa na kuuukodelea Uraisi kwa miaka nenda rudi tena waliojenga mitandao ya ndani na nje ya nchi bila mafanikio?

Kwa kweli kwa CCM kutuletea Jembe lenyewe Pombe Magufuli (PhD) basi nina Kisaluti CCM, CCM forever!

images

CCM, RESPECT!
 
Kwa kweli hiki Chama nimekivulia kofia, nimeamini sasa kabisa kwamba hiki ni Chama makini si ajabu klk vyote barani Afrika!
Hivi walimuibuaje Pombe Magufuli (PhD)? Huyu jamaa (Magufuli) alitokea wapi, iweje afike hapo kwenye Uraisi huku akiwaacha wenzake waliojiandaa na kuuukodelea Uraisi kwa miaka nenda rudi tena waliojenga mitandao ya ndani na nje ya nchi bila mafanikio?

Kwa kweli kwa CCM kutuletea Jembe lenyewe Pombe Magufuli (PhD) basi nina Kisaluti CCM, CCM forever!

images

CCM, RESPECT!
10274046_271727336341468_9088621212866646146_n.jpg



hata sisi tunaona
 
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.

Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!

Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!

Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Tangu 'apewe' urais baada ya kuondoa ada amefanya nini zaidi ya KUTENGUA,KUTEUA na KUFUKUZA
Labda kununua pangaboi kwa fedha za TANAPA?
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu. Tafadhali nawasihi katika jina la Mungu kwamba leo unapotoka kwenda kuabudu, pamoja na mambo mengine yote utakayoyaomba, naomba usisahau kumuombea Rais wetu John Pombe Magufuli ili Mungu amjalie afya na hekma ya kuingoza nchi yetu.

Pia kemea kwa jina la Yesu maadui wote wenye hila na mipango mizuri ya Rais wetu ya kuiongoza nchi yetu washindwe. NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA NA MUNGU AWABARIKI.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu. Tafadhali nawasihi katika jina la Mungu kwamba leo unapotoka kwenda kuabudu, pamoja na mambo mengine yote utakayoyaomba, naomba usisahau kumuombea Rais wetu John Pombe Magufuli ili Mungu amjalie afya na hekma ya kuingoza nchi yetu. Pia kemea kwa jina la yesu maadui wote wenye hila na mipango mizuri ya Rais wetu ya kuiongoza nchi yetu washindwe. NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA NA MUNGU AWABARIKI.
Kumbe ni kwa wakristo tu? wamekusikia tayari.
 
maadui wote
wenye hila na
mipango mizuri ya
Rais wetu ya
kuiongoza nchi
yetu ni wapi hao? Je ni wale wanaomwambia mkuu hapa unakosea then yey anasema wanapunguza speed ya maendeleo? Au ni wale wanaotaka bunge liwe live? Au ni wale wanaotaka miktano ya siasa kwa mujibu wa katiba? Ebu nieleweshe then nijipange kwenda kumuombea
 
Nilitegemea sala na maombi yaende Bukoba ambako watu wanalala nje na kukosa mahitaji ya msingi.Wewe na rais ni nani anahitaji kuombewa?
Huku hela za misaada zikiwa zimehifadhiwa kwenye akaunti rasmi ya serikali!
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu. Tafadhali nawasihi katika jina la Mungu kwamba leo unapotoka kwenda kuabudu, pamoja na mambo mengine yote utakayoyaomba, naomba usisahau kumuombea Rais wetu John Pombe Magufuli ili Mungu amjalie afya na hekma ya kuingoza nchi yetu. Pia kemea kwa jina la yesu maadui wote wenye hila na mipango mizuri ya Rais wetu ya kuiongoza nchi yetu washindwe. NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA NA MUNGU AWABARIKI.
Unaonaje ukichukua wewe na familia yako mkamuombeee!
 
Back
Top Bottom