Ndugu zangu watanzania wenzangu. Tafadhali nawasihi katika jina la Mungu kwamba leo unapotoka kwenda kuabudu, pamoja na mambo mengine yote utakayoyaomba, naomba usisahau kumuombea Rais wetu John Pombe Magufuli ili Mungu amjalie afya na hekma ya kuingoza nchi yetu. Pia kemea kwa jina la yesu maadui wote wenye hila na mipango mizuri ya Rais wetu ya kuiongoza nchi yetu washindwe. NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA NA MUNGU AWABARIKI.
Mimi siwezi kumuombea kwa sababu akibarikiwa hata malaika wanaweza kukubaliana na ombi lake La kuja kufungia mitandao ya kijamii kama alivyotamani malaika wafanye. haya maombi yatafanywa na wanalumumba walioshikiwa akili