Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Viva kwa ccm ilishakufa kitambo tangu 80's,labda viva ya kuminya demokrasia.
 
Naunga mkono hoja, nimemtumia mdogo wangu Gari amelitoa kwa siku mbili tuu, baada ya kulipia kodi . Wakati ilikuwa inaweza chukua 3 weeks kulitoa hilo gari . Msogo amenieleza kuwa process ilikuwa rahisi na yenye haraka. Na hakuhangaishwa hata chembe.

Weledi wa kufanya kazi kama ipaswavyo imeanza kurudi. Na hayo ni maendeleo mazuri.
 
Ila eneo moja limeathirika sana, bar nyingi hazifanyi biashara, mood ya watu kucelebrate imeshuka kwa asilimia 63%, hata wanaokunywa hawaonekani kuendekeza masihala ya kilevi wanabaki kuwa serious tu, hawataki kufall in "nishai ya kilevi", na of cource wazazi wengi waliokuwa watoro nyumbani ss wamekuwa wahudhuriaji wazuri nyumbani wanatulia na familia.
Wengine fedha za kulewea wanazo tu, trend ya mapato yao haijabadilika sana kwa maana ya kushuka pengine yamepanda ila ndo km hivyo hali ya hewa haihamasishi kulewa, tuendelee hivihivi na zaidi tutacelebrate miaka 15 ijayo japo majaliwa.
 
Ila eneo moja limeathirika sana, bar nyingi hazifanyi biashara, mood ya watu kucelebrate imeshuka kwa asilimia 63%, hata wanaokunywa hawaonekani kuendekeza masihala ya kilevi wanabaki kuwa serious tu, hawataki kufall in "nishai ya kilevi", na of cource wazazi wengi waliokuwa watoro nyumbani ss wamekuwa wahudhuriaji wazuri nyumbani wanatulia na familia.
Wengine fedha za kulewea wanazo tu, trend ya mapato yao haijabadilika sana kwa maana ya kushuka pengine yamepanda ila ndo km hivyo hali ya hewa haihamasishi kulewa, tuendelee hivihivi na zaidi tutacelebrate miaka 15 ijayo japo majaliwa.
wamehamia mabanda ya gongo mkuu ukitaka kuamini tembelea kwa mama muuza !
 
Watanzania kwa muda mrefu walikuwa na ndoto za kupata kiongozi muadilifu,mzalendo, mtu wa watu, mwenye hekima, mpenda mabadiliko, anayesimamia haki ,rafiki wa masikini, mchukia rushwa na mwenye utumishi uliotukuka wenye mfano wa kuigwa Afrika na duniani.Hatimaye mwenyezi Mungu ametuletea kiongozi huyo awatumikie Watanzania, Mtukufu Rais wa Tanzania Mh.John Pombe Magufuli.Kwa muda mfupi Mh.Rais amefanya mambo makubwa sana kwa manufaa ya Watanzania.
Sasa Watanzania tunatembea kifua mbele kujivunia kupata kiongozi bora.Kwa kipindi kifupi amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuiweka nchi katika misingi mizuri.Mfano mzuri eneo moja wapo mteule huyu wa Mungu alilofanikiwa ni mapambano ya rushwa.Ilifika mahali mtu anamaliza form IV na div 0 anawekwa sehemu anafanya magumashi baada ya miezi 6 anamiliki nyumba tatu na miradi kibao huku mtumishi mwenye elimu nzuri anayefanya kazi isiyo na rushwa huchekwa kwa kuishi kwenye lindi la umasikini kwa kutopokea rushwa.
Kipindi hiko mla rushwa, mcheza ddili alionekana mjanja katika jamii huku muadilifu alichekwa na kuonekana mjinga.
Mtanzania yeyote anayedhihaki utendaji wa rais Magufuli anapaswa apimwe akili.Kama ana akili timamu hafai kuwa Mtanzania.
Tuzidi kumuombea rais wetu atufikishe kwenye nchi ya maziwa na asali.
 
Mtangazaji maarufu wa al Jazeera akijaribu kuwaelewesha watu aliokuwa akiwahoji katika kipindi chake cha Up Front alisema "katika dunia hii ya mamia ya marais, je ni rais gani anaweza kumfikia Magufuli hata robo Kwa utendaji? " na ambapo wageni wake walidai ni mapema sana kusema maneno hayo ambapo Hassan akamalizia kwa kuuliza swali "kama sio Magufuli ni nani? "
Mdau hii ni dalili gani kwa Magufuli na sisi kama taifa?
 
naedhani maendeleo ya Tanzania yanaletwa single handedly na rais nadhani ana matatizo
Maendeleo ni attitude ya watu, watu wanatakiwa wajitafutie maarifa, kufanya kazi na kuwa na nidhamu, mambo haya yasipobadilika kwa sisi Watanzania na Waafrika kwa ujumla hatutakaa tuendelee na kuacha utegemezi
 
naedhani maendeleo ya Tanzania yanaletwa single handedly na rais nadhani ana matatizo
Maendeleo ni attitude ya watu, watu wanatakiwa wajitafutie maarifa, kufanya kazi na kuwa na nidhamu, mambo haya yasipobadilika kwa sisi Watanzania na Waafrika kwa ujumla hatutakaa tuendelee na kuacha utegemezi
Kama sio Magufuli ni nani anaye tufaa?
 
Back
Top Bottom