Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Labda Wasira maana anampango akishinda rufaa ya Ubunge 2020 agombee Urais tena mana safari iliyopita anadai alifanyiwa figisu
 
Kama utendaji wa mtu unapimwa kwa hotuba majukwaan na katka media na sio ufanisi wa utendaji wke tutakuwa tumepata mtu sahihi kabisa...
 
Tulimwamini sana akatuangusha huyu tunamashaka nae anatunyoosha...tutanyooka tu whether like it or not!
 
Nia ya JPM is unquestionable,lakini kwa namna ya baadhi ya mambo anavyofanya ndio utata unapoanzia.Na Watanzania wengi kwa kuwa tumekuwa wazee wa matukio hatufikirii baada ya miaka 5 ama 10 yake.
 
Hadi mawaziri wamepotea kwa speed ya JPM! Hakika ukombozi tule paleeeeee!
 
tr
tehetehe hivi bado unawaza hivi mpaka leo?
 
Reactions: BAK
Kasi ya utendaji wa Dr Magufuli pamoja hatua mbalimbali za kuijenga nchi tangu akabidhiwe kijiti na Mtangulizi wake imedhihirisha kwamba Tanzania ni sawa kabisa vinara wa ukuaji uchumi na Maendeleo wa Nchi za Asia zikiwamo Taiwan na marafiki zake ambazo zinajulikana Duniani kama Twiga wa Asia....(Asian Tigers). Huyo ndio Magufuli buana!!!
 
Kila lakheri Jpm
 
Uongo mtupu! Magufuli mkumbatia Mafisadi hadi leo hii yuko kimya kuhusu ufisadi wa MV Ufisadi ya bilioni 8 ambayo haikutembea hata wiki mbili sasa iko juu ya mawe. Magufuli anayekwepa na kuogopa kutia neno lolote kuhusu wizi mkubwa wa Escrow bilioni 321 zilizokwapuliwa na mwizi na fisadi Rugemarila kwa kushirikiana na Kikwete aliyebariki wizi ule kwa kudai kwamba "pesa zile hazikuwa za umma." Magufuli ambaye yuko kimya kuhusu hukumu ya Tanesco kutakiwa kulipa $148 million. Magufuli ambaye alikuwa mstari wa mbele kuzuia ripoti ya tume ya Wabunge kuhusu ufisadi wa Lugumi wa $37 billion. Magufuli ambaye nchi imeshamshinda anabaki kwenda kuonea wafanyakazi wa Bandari na JKN Airport.

Magufuli mwenye roho mbaya sana ambaye ni wiki ya tano sasa hajatia mguu kule Kagera kwenda kuwafariji wahanga wa tetemeko. Magufuli ambaye amekusanya zaidi ya bilioni 15 lakini hataki kutwambia kiasi halisi kilichokusanywa na ni akina nani waliochangia huku akiendelea kuzishikilia pesa hizo wakati wahanga wakiendelea kulala nje, kutokuwa na chakula wala maji safi kwa wiki tano sasa. Acheni kutufanya Watanzania majuha bhana! Eti anajenga nchi! hakuna ajira zaidi ya mwaka sasa, promotion kazuia zaidi ya mwaka sasa, uchumi wa nchi unayumba. Kwa kipindi cha miezi 8 tu tangu aingie madarakani amepaisha deni la Taifa kwa 55.8% sawa na trilioni 24 na hivyo kuliongeza deni la Taifa kutoka 43 trillion hadi 67 trillion na bado anataka kuendelea kukopa kwa speed ya kutisha! Uongo wenu pelekeni mtaa wa Lumumba.

 
Watu watamchukia tu lakini huyu ni Leader ambae alitakiwa aingie Kipindi hiki ambako tulipoteza mwelekeo kabisa'the whole system'at least sasa tutakwenda ingawa mdogomdogo,Uchapakazi wake tunaujua toka akiwa waziri...aliwashtukiza Mara kwa Mara kwenye mizani,yaani namfananisha na viongozi wachache mno tuliowahi kuwa nao wakalisisimua taifa kwa kutoa niongozo/maamuzi na kuyasimamia I,e Mwalimu Jk Nyerere,Edward Sokoine na Augustine Mrema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…