lishengalikomi
Member
- Jun 29, 2013
- 64
- 19
Magufuli anatenda kazi yake pasipo kufuata Ilani Ya ccm. Hivyo nawaomba wanasiasa mkae pembeni Hakuna Ujomba WA urafiki WA kinafiki Ktk utendaji WA Hii team Mpya. Mliozoea mteremko Kwa Mkwere ntakiona safari Hii.