Msema kweli mpenzi wa Mungu, nimefuatilia kwa makini walalamikaji wengi wanaolalamikia serikali ya awamu ya tano ni wana CCM,hii ni kutokana na wao kuwa wanufaika wakubwa wa mfumo wa kupiga dili uliozoeleka ndani ya serikali zilizopita.
Ebu jiulize maswali machache
1-Nani walikuwa wanufaika na akaunti hewa na watumishi hewa?
2-Nani walikuwa wanafaika na miradi hewa ilikuwa ikizinduliwa na mbio za mwenge?
3-Nani walikuwa wanufaika na manunuzi yote yaliokuwa yanafanywa na serikali?
4-Nani waasisi wa wizi na ujangili ndani ya mbuga za wanyama?
Wanaoisoma namba ni CCM maana ndio waliokuwa wameshikilia mpini na mirija yote ya ufujaji wa mali za umma uliasisiwa na wao
Yale yote walikuwa wanatetea kama safari za nje na n.k ndio Magufuli kaziba
Hongera Magufuli.
Ebu jiulize maswali machache
1-Nani walikuwa wanufaika na akaunti hewa na watumishi hewa?
2-Nani walikuwa wanafaika na miradi hewa ilikuwa ikizinduliwa na mbio za mwenge?
3-Nani walikuwa wanufaika na manunuzi yote yaliokuwa yanafanywa na serikali?
4-Nani waasisi wa wizi na ujangili ndani ya mbuga za wanyama?
Wanaoisoma namba ni CCM maana ndio waliokuwa wameshikilia mpini na mirija yote ya ufujaji wa mali za umma uliasisiwa na wao
Yale yote walikuwa wanatetea kama safari za nje na n.k ndio Magufuli kaziba
Hongera Magufuli.