Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Kwanini msiende kukutana Chato badala ya kutujazia uchafu jukwaa hili?Hii haina kumung'unya maneno wala kupepesya macho,kwani kila mtanzsnia anaona kinacho tendeka kwani Mh Rais anaweka misingi ya haki na utawala wa sheria.
Hivyo kama unaona anachokifanya ni fahari ya nchi hii ngonga like na njoo tujadili.