Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

mi nacheka mbaka mbavu zinauma ila mimi si mwanasiasa jamani mi mjasiliamali ila ujasiliamali usha nishinda bora nianze kulima maana makodi yamenishinda
 
Halafu kila siku mnalilia uhuru wa kujieleza lakini hamtaki wengine wajieleze.

Ninyi mkipewa madaraka mtakuwa zaidi ya hao mnaowapigia kelele.

Unakuta mtu analilia eti uhuru wa kujieleza halafu yeye akitoa hoja anatoa vitisho vya kuwapa ban wale wote hawakubaliani na hoja zake.

Lazima muelewe Uhuru wa kujieleza sio one way traffic.
Mtu kwa mimi asiongee ukweli?

Sadam Hussen kbl hajaondolewa madarakani kama tutakavyomuondoa huyu light tlaki alipata kura 100% bungeni.
 
Kahawa vip Bei huko kigoma, Arusha, kmanjaro na kagera??
Vip tumbaku huko tabora ??
Pamba je mwanza na shinyanga or simiyu??

Sis huku ntwara tunachekelea na korosho zetu matajiju
 
Angefaa apewe tuzo la Nobel au ya Mo Ibrahim.. kwa sifa ya uongozi bora; pamoja na kudumisha demokrasia...na kuwa mfano kati ya watawala wa Afrika


Pia bunge limpe hadhi ya kuwa raisi wa Kudumu
Wewe fala sana hiyo Tuzo unadhani hutolewa kifala fala? Kwani watoa tuzo hawajuia kuwa Tanzania hakuna haki za binadamu? Unadhani hawajuia kuwa hakuna uchaguzi wa huru na haki? Wanajua kuwa Udikteta ni sera ya CCM ya sasa Wapinzani wanapigwa Risasi, wanabambikiwa kesi, wanafungwa jela, madiwani, wabunge na Wapinzani kwa ujumla wananunuliwa uchaguzi unarudiwa kwa gharama kubwa huku tumeccm na polisiccm wakifanya uchakachuaji na kuwasimika washindi haramu na feki wa CCM, majimbo mengi yanaongozwa na wabunge wa CCM ambao si chaguo la wapiga kura bali ni chaguo la Tume ya uchaguzi ya CCM.
 
Mwaka atakaokuja Magufuri kumaliza awamu yake/ itakuwa kama tumejitua mzigo mzito/ hakika Tanzania inapita kwenye kipindi ambacho haijawai pita tangu kuundwa kwa dunia, , tumepatikana walahi
 
Angefaa apewe tuzo la Nobel au ya Mo Ibrahim.. kwa sifa ya uongozi bora; pamoja na kudumisha demokrasia...na kuwa mfano kati ya watawala wa Afrika


Pia bunge limpe hadhi ya kuwa raisi wa Kudumu
Duh, we MTU umeandika nn?ni njaa na kujipendekeza kwenye uficho wa maoni au
 
Angefaa apewe tuzo la Nobel au ya Mo Ibrahim.. kwa sifa ya uongozi bora; pamoja na kudumisha demokrasia...na kuwa mfano kati ya watawala wa Afrika


Pia bunge limpe hadhi ya kuwa raisi wa Kudumu
Duuuuuu hzo kejeliii mkuu
 
Angefaa apewe tuzo la Nobel au ya Mo Ibrahim.. kwa sifa ya uongozi bora; pamoja na kudumisha demokrasia...na kuwa mfano kati ya watawala wa Afrika


Pia bunge limpe hadhi ya kuwa raisi wa Kudumu
Ntaleta mada hivi karibuni juu ya mada ya Mkuu kuwa kiongozi wa kudumu.
 
Jamii forums ni jukwaa huru kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake.Nadhani tuheshimu mawazo ya kila mtu
 
Poleni sana ambao nitawakwaza, Sawa mimi ni Mpinzani tena nina kadi
ambayo nimeilipia, lakini upinzani hauwezi kunifanya niwe Mnafiki na
kuuficha Ukweli.

Kipindi ambacho tuliteseka na kusaga meno hakuna aliyetujali, ni kipindi
ambacho Korosho ilikopwa na ikalipwa kwa awamu 3 mpaka 5, kilikuwa
ni kipindi kichungu sana sio tu CCM hata wapinzani wenzetu hawakuona
umuhimu wetu. Nikumbushe tu Tumewahi kukopwa Korosho na mpaka
leo hatujalipwa, wanaokumbuka wanakumbuka.....................

Leo wenzetu wengine naona munamsifia na kumpongeza Kikwete kuwa
alikuwa Bora, sawa ni haki yenu kwa sababu muliona manufaa yake.

Leo hii Tandahimba Tumemsimamisha Mbunge wa Upinzani Ndg. Katani A Katani
cha ajabu huyu ndiye Kinara wa ununuzi wa KANGOMBA tena mbaya zaidi ana
kashfa ya kununua korosho mbovu kutoka mkoa wa pwani....... sitaki kulizungumzia
hilo, wanaotuangusha na kutuletea matatizo kwa sasa ni viongozi wa vyama vya Msingi,
ushirika na viongozi wengine wa Halmashauri ambao wakibanwa vizuri matatizo
yatakwisha.......................... Mbunge wa CCM aliyepita ni mbovu, huyu wa upinzani hamna
kitu tena alikuwa na ushirikiano mkubwa kabisa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa
wa Mtwara ambaye muda huo alikuwa Kiongozi wa Chama kikuu cha ushirika. Mwenyekiti
wa CCM Mkoa wa Mtwara na Mbunge wa Tandahimba CUF wameshirikiana sana kutuhujumu

Rais Dr.John Pombe Magufuli umeanza vizuri sana kwenye zao hili la Korosho
najua sio mtu wa kuokea Ovyo Ripoti za Kupikwa, KANGOMBA inahusisha baadhi
ya Vigogo. Kuwa SERIOUS na eneo hili la KANGOMBA ndio kwenye chanzo cha
matatizo yote haya ambayo yamebaki.

WAKULIMA WA KOROSHO TUNAKUKUBALI SANA, kipindi chako kifupi mabadiliko ni
makubwa sana.
YAANI UMEMGRADE MKOLMIJE KWA BEI YA KODO(KOROSHO)? NIKISEMA NA WEWE UNA AKILI KAMA BASHITE NITAKUWA NIMEKOSEA? HIVI UMEANGALI KADA NYINGINE ZINAVYOTESEKA? ENZI ZA KIKWETE PPF/NSSF ULIKUWA UNAPATA NDANI YA MWEZI,SASA HIVI UNAZIENYEA MWAKA MZIMA NDIO UNAKUJA KUPEWA NA MHUTU KASHAPITISHA KWAMBA KWA SASA HAKUNA KUTOA TUNASUBIRI ADONDOKE WINO TU.

UMEFIKIRIA MAKAMPUNI/WAFANYABIASHARA WALIOFUNGA BIZNESS ZAO? VIPI UMEFIKIRIA AJIRA ZILIZOPOTEA HAPO?

UMEFIKIRIA UNUNUZI WA MELI BOVU LA BILIONI 8 AMBALO NI SCREPA NA LIJAWAHI KUTUMIKA? BILIONI 8 ALIZOPIGA MUHUTU VIPI?

UMEFIKIRIA HASARA TULIZOPATA KWA KUNUNUA BOMANDIA NA HASARA YA ATCL? HIYO MITRILLIONI ILIYOPOTEA KWELI ISINGEWEZA KUFANYA JAMBO LINGINE?

UMEFIKIRIA HARASSMENT WALIYOFANYIWA WAFANYABIASHARA WAKUBWA KWA SABABU ZA KISIASA? ONA SOKO LA MBAAZI LILIVYOSHUKA,ONA GHARAMA ZA UJENZI ZILIVYOPANDA,ONA WAFANYABIASHARA WALIVOONDOKA TZ KWA CHUKI/VISASI VYA KISIASA.

UMEFIKIRIA WAKAZI WA KIMARA WALIOBOMOLEWA MAJUMBA YAO? UMEFIKIRIA WALIOFUKUZWA KWA VYETI FEKI NA KUDHULUMIWA MAFAO YAO? UMEFIKIRA KWELI AU UMEANGALI BEI YA KOROSHO TU? HILI SWALA LA VYETI WATU WALIOFUKUZWA TUPO NAO MTAANI,UKIMTAJIA MUHUTU ANAWEZA KAUPA KERBU,WANATESEKA SANA,UMEWAFUKUZA BASI WAPE MAFAO YAO BASI.

UMEFIKIRIA WAZAZI,NDUGU WALIOPOTEZA WAPENDWA WAO KWA AWAMU HII YA 5? BEN,AZORY,MADIWANI WAMEUAWA KIPINDI HIKI,UMEFIKIRIA UMINYWAJI WA HAKI YA KUJIELEZA/MAONI? UMEFIKIRIA UKANYAGWAJI WA KATIBA? HIVI UMEFIKIRIA KWELI AU UMEWAZA KOROSHO KAMA MUHUTU NA PDH FEKI YA MAGANDA YA KOROSHO?

KUUUA WAPINZANI SIO SOLUTION,UKIUA MMOJA ANAIBUKA MWINGINE TENA WANAIBUKA KWA KASI YA AJABU,MMEMPOTEZA BEN,LEO KUNA MDUDE,KUNA MALISA,KUNADWASON,KUNA NONDO,KUNA MTATIRO,KUNA ETC LIST NI NDEFU,JE MTAWAMALIZA WOTE HAO?
 
Leo Mhe Rais Magufuli ameweka Jiwe la Ujenzi wa Standard Gauge Railway (SGR).. Kitendo alichofanya ni kitendo cha kishujaa na kuthubutu cha ujenzi wa reli ya kisasa. Mhe Rais sisi Wananchi tupo nyuma yako kwa masuala ya maendeleo. Hongera sana Mhe. Rais. Umethubutu.
 
Leo Mhe Rais Magufuli ameweka Jiwe la Ujenzi wa Standard Gauge Railway (SGR).. Kitendo alichofanya ni kitendo cha kishujaa na kuthubutu cha ujenzi wa reli ya kisasa. Mhe Rais sisi Wananchi tupo nyuma yako kwa masuala ya maendeleo. Hongera sana Mhe. Rais. Umethubutu.
hii reli iko wapi?
 
Tumeona na kusikia a concerted effort ya kum disgrace Rais Magufuli.

Nchi za Magharibi zimepanic, umasikini wa kiviwanda utapotea karibuni.

Magufuli anaweka misinginya miundombinu kwa uchumibwa viwanda.

Umeme wa Stieglers Gorge~2100MW

SGR~Usafiribwa malighafi na mazao ya biashara

Bomba la mafuta~tutafaidika na mafuta ya Uganda

Air Tanzania~biashara ya utalii kuongezeka

Watu wa nje kupiga vita juhudi hizi ni kujipotezea muda.

Mwalimu aliacha legacy ya Kidatu, Mtera, viwanda vya ngio na korosho.
Magufuli vivyo, umeme wa Stieglers Gorge na SGR ni tosha kabisa.

Kwa mtaji wa maendeleo haya, kina The Economist watalia sana.
 
Tumeona na kusikia a concerted effort ya kum disgrace Rais Magufuli.

Nchi za Magharibi zimepanic, umasikini wa kiviwanda utapotea karibuni.

Magufuli anaweka misinginya miundombinu kwa uchumibwa viwanda.

Umeme wa Stieglers Gorge~2100MW

SGR~Usafiribwa malighafi na mazao ya biashara

Bomba la mafuta~tutafaidika na mafuta ya Uganda

Air Tanzania~biashara ya utalii kuongezeka

Watu wa nje kupiga vita juhudi hizi ni kujipotezea muda.

Kwa mtaji wa maendeleo haya, kina The Economist watalia sana.
Naam.... eee malaika mkuu iamuru Tanzania igeuke ulaya in a minute!!
tapatalk_1521235346840.jpeg
 
Back
Top Bottom