kwetukijijini
Member
- May 20, 2018
- 37
- 26
Yes, thatz why therez HEAVEN and LAND. It seems that you know that term ANALYSIS by only writing and not otherwise!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaeleweka. Sijajua bado tatizo lako ni nini? Jaribu fafanua kikuumacho.Kichwa cha habari tu kimetosha kunichefua kama nikweli usemalo kwanini katoa bunge live na mikutano yasiasa basiingekuwa kila baada ya mwaka anaficha nini tusijuwe watz angalau ingekuwa ndani ya siku 7 zamwisho wa bajeti iliyopangwa kuisha tungejuwa niwapi tunakwenda tupo kama kwenyesanduku alafu tunasifu tu ila Mimi sinachama ninaipenda tz tu
Nina maanisha ivi ilituamini kuwa kunamaendeleo angeachia bunge live angalau wakati bajeti tuone kama wapo vizuri na mikutano ya siasa angalau kwa miezi 6 iwe wiki moja ndani yahiyo miezi 6 au kwa mwaka 1 iwe kunamwezi mmoja wa mwisho katika mwaka tungejuwa kunamafanikio au laa lakini hivi kusika mtu mmoja au chama kimoja sidhani kama inafaa kusema mafanikio sijui viva wakati kunatetesi za 1.5 hazijulikani zilipo unafikiri nipesa za mchezo hizo wewe unaita mafanikio vivaHujaeleweka. Sijajua bado tatizo lako ni nini? Jaribu fafanua kikuumacho.
Sijasema wewe umemtukana Rais. Na maanisha wapinzani. Wewe umetoa maoni yako tu. It is your legitimate kutoa duku duku lako. Hujakosea. Usikonde! Ila tusipende kubwabwaja mambo kana kwamba hatuja enda shule. Sheria zipo, ambazo kidogo tunahitaji kuzijua na katiba ipo. Kinacho hitajika ni kujitoa muhanga kusoma ili kidogo tupate mwanga.Nilisahau kukujibu kumtukana mh rais au mtu yoyote yule kwanamna yoyote ile siungi mkono nakemea nakemea mh magu ndio rais wangu mtu kumtusi sisawa tutor maoni tu siokumtukana haifai hatakidogo ameomba kuuongoza sio kutukanwa tuheshimu taasisi hii
Sawa kabisa umesema kweli lakini mbona 1.5 trn huigusii au zakwako hazimo basi zionee huruma zakwetuNilisahau kukujibu kumtukana mh rais au mtu yoyote yule kwanamna yoyote ile siungi mkono nakemea nakemea mh magu ndio rais wangu mtu kumtusi sisawa tutor maoni tu siokumtukana haifai hatakidogo ameomba kuuongoza sio kutukanwa tuheshimu taasisi hii
Pia sijuwi wewe ambae umeisoma katiba naona umegundua kuwa mbunge yeyote yule swala la nachingwea linamuhusu au huouelewa hauna ndiomaana umeshindwa kugundua nakutaarifu kuwa wabunge tulio nao huku Tanganyika niwabunge wajamuhuri nakule Zanzibar kunawabunge wa jamuhuri na wabunge wa barazaSijasema wewe umemtukana Rais. Na maanisha wapinzani. Wewe umetoa maoni yako tu. It is your legitimate kutoa duku duku lako. Hujakosea. Usikonde! Ila tusipende kubwabwaja mambo kana kwamba hatuja enda shule. Sheria zipo, ambazo kidogo tunahitaji kuzijua na katiba ipo. Kinacho hitajika ni kujitoa muhanga kusoma ili kidogo tupate mwanga.
Vipi mkuu maneno yako bafo unayasadiki.?Kweli huyu ndiye rais niliyemsubiri kwa miaka mingi sana. Sikuhizi yule jamaa yangu aliyekuwa anafanya kazi pale halmashauri ya manispaa ya kinondoni simuoni tena. Yaani yeye alikuwa anatembepea maeneo mawili tu. Kwenye ATM na BAR. Anajifanya eti yuko serikalini ndo maana hafanyi kazi. Na kama wiki hivi sijamwona alafu nikimpigia simu anasema yuko busy. ***** ngoja aje amkute hayuko apigwe chini ntacheka alafu hata hana nyumba.
Magufuli hebu mtembelee na huyu umfinye kidogo ajifunze kuishi kwa kuchubuka kama sisi
Vipi maneno yako bafo unayasadiki mkuu?Mimi xaxa naishi kwa amani kwani mungu ametuletea mtu sahihi nahatimaye naamini atashinda kwani yeyote afanyaye mazuri mungu humuongoza. Kazana baba kwan Taifa letu linakuhitaji
Sahihi kabisaEwe rais wangu mpendwa saaaaaana, sikiliza. Mwisho wa siku 2020 wananchi wa kijijini kwetu, tutakuuliza uliahidi umeme; je, umeme umefika? Je, maji uliyotuahidi; yamefika? Bara2 umejenga? Kituo cha afya, umekamilisha? Treni ya umeme, tunayo? Steigler's umeme unatoka? Dawa hospital zipo? Haya tutakuukiza....
Hatutakuuliza bunge live, maana hukutuahidi. Hatutaulizia maandamano, siyaoni kwenye ilani. Safari za ulaya hatutauliza, hizo hata hatujawahi kuziona ila huwa tunazskia tu...
Piga kazi JPM, mayowe ya watoto yasikusumbue kwani, watoto wakipiga kelele jua kuwa wamepiga msosi wa kutosha wameshiba...
We endelea kumdanganyaEwe rais wangu mpendwa saaaaaana, sikiliza. Mwisho wa siku 2020 wananchi wa kijijini kwetu, tutakuuliza uliahidi umeme; je, umeme umefika? Je, maji uliyotuahidi; yamefika? Bara2 umejenga? Kituo cha afya, umekamilisha? Treni ya umeme, tunayo? Steigler's umeme unatoka? Dawa hospital zipo? Haya tutakuukiza....
Hatutakuuliza bunge live, maana hukutuahidi. Hatutaulizia maandamano, siyaoni kwenye ilani. Safari za ulaya hatutauliza, hizo hata hatujawahi kuziona ila huwa tunazskia tu...
Piga kazi JPM, mayowe ya watoto yasikusumbue kwani, watoto wakipiga kelele jua kuwa wamepiga msosi wa kutosha wameshiba...