Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
Kama umepata uhakika kuwa mimi sina akili na kuwa kama mimi ni jinga basi nitabaki kuwa jinga tu, sasa swali langu lina kuja, je, na huyu Rais wetu wa awamu ya pili naye ana character kama hizo za kwangu? Msikilize mwenyewe.Nalazimika kukujibu japokuwa nimepata uhakika kuwa hauna akili.
LA MWISHO MKUU,KAMA WEWE NI JINGA UTABAKI KUWA JINGA TU,SINA JINA LINGINE LA KUKUITA KAMA AKILI YAKO HAIPO SAWA.
Naomba tukubaliane kuwa anaye liona yeye kwa Magufuli ndilo hilo linalo nifanya mimi nami ni mshukuru Magufuli. Na tuko wengi sana! Karibu asilimia 80 ya watanzania.
Of cause, I am serious. [emoji3] [emoji3] [emoji3] Yaani wewe kiumbe mwenye akili za Austrolepithecus AficanusUmeuliza katiba ya CHADEMA inasemaje,kwanza katiba ya CHADEMA haina ukomo wa uongozi,Mwenyekiti atachaguliwa kila baada ya miaka mitano mpaka pale wanachama watapoona hafai (siyo wanaccm).
.Unasema CHADEMA haijawahi kufanya uteuzi wa Viongozi miaka 25 sasa? Are you serious?
unathubutu kwa majidai kuniambia mimi "katiba ya CHADEMA haina ukomo wa kiongozi na kuwa Mwenyekiti atachaguliwa kila baada ya miaka mitano mpaka pale wanachama watapoona hafai" hii sasa ni nini? Ni demokrasia hiyo? Naomba niambie nani mjinga hapa wewe au mimi? Binadam hawezi akakaa miaka zaidi ya 25 akiwa mwenyekiti ina maana akili zake zinabakia zile zile miaka yote? Kwa swala hilo napenda kurudia tena kauli yangu ya awali kuwa wewe bado unatumia nyenzo za Tarzan kwenye karne ya 21, kwani hujui maisha ni nini? Cells za binadam zinabadilika permanently na baada ya mda ana dumaa anakuwa hana uwezo tena wa kuleta changes katika jamii hivyo inabidi fresh blood ije kuleta malengo mapya ili kukifanya chama kiwe dynamic na attraktive kwa vijana ili kilete ushindi.
Inaonekana dhahiri kuwa structure ya chama chako ni ile ya Zinjanthropus ambayo imepitwa na wakati. Eti "katiba ya CHADEMA haina ukomo wa kiongozi na kuwa Mwenyekiti atachaguliwa kila baada ya miaka mitano mpaka pale wanachama watapoona hafai" ni nani yeye, Mungu wa duniani?
Msishangae viongozi wenu kuhama chama chenu na kwa vile mlivyokuwa na akili za kikongwe hamtaki kuchunguza kwa nini na kukifanyia reform chama chenu, nyie mnabaki kila tukio la kuhama kwa kiongozi wenu, CCM is guilty au Magufuli anawanunua viongozi wa CHADEMA! Nyie ni wakoma sana. Maelezo hayo kawaambieni manyanya wenu ndiyo watawasikiliza. Kwenye Era ya IT-Technology nyie mnaleta Story za Zinjanthropus. Mmekwisha nyie na nendeni mkafie mbali. Hamwoni kwa ujinga wenu mnapoteza Credibility yenu?
Aisee! Nakusikitikia sana. Mwambie Mwenyekiti wako Mbowe akapige domo lake huko High aliko chaguliwa, hata hilo amekatazwa? Mbona mnapenda kuongopa mchana kama watoto wadogo? Nyie mnafikiri watanzania hawaelewi kitu gani kinaendelea Eenh?.Magufuli haheshimu katiba ndiyo,anazuia mikutano ya kisiasa wakati katiba ina ruhusu.
Nafikiri wewe hata haibu huna. Sasa humu JF unafanya nini? Si chombo cha habari pia? Isitoshe kuna Online Media kibao, YouTube, Facebook, Twitter na Instagram au hujui? Wewe baki na ukongwe wako!.Anafungia hovyo vyombo vya habari vinavyoandika uweli.
Eeh Mr. Isome katiba Kwa undani wake. Rais anaweza kuamua mambo "per Decree!" Mamlaka hayo anayo. Unakumbuka mwaka 1977 wakenya walipo zuia ndege zetu za East African Community uamuzi ambao Mwalim Nyerere aliufanya? Si alinunua ndege nyingine mpya tena cash? Ebu fanya uchunguzu kama utaona yeye alienda Bungeni kuomba kuidhinishwa manunuzi ya hizo ndege. Baba wa Taifa alitumia mamlaka yake ya "Decree" kufanya hivyo..Hafuati sheria za manunuzi ya umma (ndege,ujenzi wa barabara ma vinginevyo anajiamulia tu) ...hapa narudia kukuambia hii nchi siyo ya babaake wala yake.
Eti mimi jinga, jinga mimi? Jinga wewe unaye endekeza sera za kikongwe za kipofu yule. Ebu ondoka hapa naona unanitia kichefuchefu, nisije nikatapika bure!