Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Ni kweli kabisa walahi
Tutembee kifua mbele Watanzania walahi
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania imepaa juu sana Kidiplomasia, kiuchumi, Kidemokrasia, katika medani za Kimataifa.

Nchi nyinyi sana utasikia zinamtaja JPM kama Rais bora kuwahi kutoka Afrika, na nchi nyingine zimefikia hatua ya kumuomba angalao akawe Rais katika nchi zao angalao kwa miezi mitatu tu.

Mwandishi na mtangazaji mmoja wa kike kutoka Nigeria (ke), alithibitisha haya.
Kweli mkuu!
 
Chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania imepaa juu sana Kidiplomasia, kiuchumi, Kidemokrasia, katika medani za Kimataifa.

Nchi nyinyi sana utasikia zinamtaja JPM kama Rais bora kuwahi kutoka Afrika, na nchi nyingine zimefikia hatua ya kumuomba angalao akawe Rais katika nchi zao angalao kwa miezi mitatu tu.

Mwandishi na mtangazaji mmoja wa kike kutoka Nigeria (ke), alithibitisha haya.
inawezekana uko sahihi,ila mapungufu ya huu waraka wako ni kukosekana kw comparative criteria,,,,,,Je kidiplomasia umetumia vgezo gani ukilinganisha na nchi gani katka zama au nyakati zipi??et mtangazaji wa kinigeria amethibitisha???inamaana mm milard ayo akimfagilia rais wa Croatia anakuwa amewakilisha mawazo na msimamo wa nchi???ww ni mjinga sana,,,,et kidemokrasia amefanyje???nlikuwaga simwelewi genta,kumbe mapopoma ni watu kama ww
 
Chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania imepaa juu sana Kidiplomasia, kiuchumi, Kidemokrasia, katika medani za Kimataifa.

Nchi nyinyi sana utasikia zinamtaja JPM kama Rais bora kuwahi kutoka Afrika, na nchi nyingine zimefikia hatua ya kumuomba angalao akawe Rais katika nchi zao angalao kwa miezi mitatu tu.

Mwandishi na mtangazaji mmoja wa kike kutoka Nigeria (ke), alithibitisha haya.
Mungu ibariki JF
 
Na wanamwogopa kama Ebora ila tunahitaji kuwa makini si tu na wazungu bali hata waafrika make wazungu wanaweza wakamtumia mweusi mwenzetu kumaliza kazi yao dhidi ya rais wetu
 
Chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania imepaa juu sana Kidiplomasia, kiuchumi, Kidemokrasia, katika medani za Kimataifa.

Nchi nyinyi sana utasikia zinamtaja JPM kama Rais bora kuwahi kutoka Afrika, na nchi nyingine zimefikia hatua ya kumuomba angalao akawe Rais katika nchi zao angalao kwa miezi mitatu tu.

Mwandishi na mtangazaji mmoja wa kike kutoka Nigeria (ke), alithibitisha haya.
Umeshiba trillion 1.5 kojoa ukalale
 
Chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania imepaa juu sana Kidiplomasia, kiuchumi, Kidemokrasia, katika medani za Kimataifa.

Nchi nyinyi sana utasikia zinamtaja JPM kama Rais bora kuwahi kutoka Afrika, na nchi nyingine zimefikia hatua ya kumuomba angalao akawe Rais katika nchi zao angalao kwa miezi mitatu tu.

Mwandishi na mtangazaji mmoja wa kike kutoka Nigeria (ke), alithibitisha haya.
Kumtaja haimanishi kuonesha ubora wake.Waje waishi nae wajue njaa iliyopo mtaani kwanza.
 
Chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania imepaa juu sana Kidiplomasia, kiuchumi, Kidemokrasia, katika medani za Kimataifa.

Nchi nyinyi sana utasikia zinamtaja JPM kama Rais bora kuwahi kutoka Afrika, na nchi nyingine zimefikia hatua ya kumuomba angalao akawe Rais katika nchi zao angalao kwa miezi mitatu tu.

Mwandishi na mtangazaji mmoja wa kike kutoka Nigeria (ke), alithibitisha haya.

Africa hakuna hata nchi moja yenye serekali bora. Basi hii ya kwetu ni bora kwenye hizo nchi zenye serekali mbovu. Kwa maneno marahisi kwenye hizo serekali mbovu yetu ina afadhali.
 
Chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania imepaa juu sana Kidiplomasia, kiuchumi, Kidemokrasia, katika medani za Kimataifa.

Nchi nyinyi sana utasikia zinamtaja JPM kama Rais bora kuwahi kutoka Afrika, na nchi nyingine zimefikia hatua ya kumuomba angalao akawe Rais katika nchi zao angalao kwa miezi mitatu tu.

Mwandishi na mtangazaji mmoja wa kike kutoka Nigeria (ke), alithibitisha haya.
Ni kweli mkuu,CHADEMA ndo imeleta umaskini mkubwa sana Tanzania halafu wanaisingizia CCM.
Halafu Magufuli ndo Rais pekee Africa nzima na Duniani ambaye hana dhambi yoyote ile,ni wiki iliyopita tu alipigiwa simu na mungu na kupongezwa kwa utakatifu wake.
Hata Trump na Angela Merkel wanataka kuja Tanzania kujifunza Demokrasia na utawala bora.
Magufuli Oyeeeeeeee..........
 
Chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania imepaa juu sana Kidiplomasia, kiuchumi, Kidemokrasia, katika medani za Kimataifa.

Nchi nyinyi sana utasikia zinamtaja JPM kama Rais bora kuwahi kutoka Afrika, na nchi nyingine zimefikia hatua ya kumuomba angalao akawe Rais katika nchi zao angalao kwa miezi mitatu tu.

Mwandishi na mtangazaji mmoja wa kike kutoka Nigeria (ke), alithibitisha haya.
Wera Weraaa
 
Back
Top Bottom