Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wanaomuharibia raisi Magufuli ni wale wanaompa wrong solutions to wrong enemies. Matokeo yake anaproduce wrong enemies na hivyo watu wamejikuta wakihesabu mabaya yake badala ya mazuri yake.
 
Kwa hili jibu lako nielewe nani? Kwamba ikitokea sijawahi kumsifia hiyo ni ruhusa ya wewe kutomkosoa? Toka aliposhindwa kuiheshimu Katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea alipoteza imani yangu kwake. Je wewe?
Kifungu namba ngapi kakivunja?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Naam, risasi 38 na 16 kati ya hizo kutua mwilini na bado mzalendo anadunda akiwaacha waliopanga na kuratibu mauaji wakiteseka kiasi hiki unavyoteseka si mchezo.
Hizo risasi 16 ni hizi risasi tunazozijua au kulikua na risasi za mabua?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full of confidence.
 
Hahahaha
Mbavu zangu weee
Habari wakuu,

Kama tuna kumbukumbu kidogo miaka ya nyuma tatizo la mgao wa umeme lilikuwa kama kansa inayoitafuna nchi hii nchi ilikuwa haimalizi mwaka bila kuwa na mgao wa umeme mara maji Mtera yamepungua mara hivi mara vile yani zilikuwa sarakasi zisizokuwa na mwisho kiasi cha kwamba wajanja wacheche walijinufaisha kupitia tatizo la upungufu wa umeme.

Tumeshuhudia mikataba mingi mibovu iliyoitikisa nchi na kulitia taifa aibu na hasara ya hali ya juu. Tumeshuhudia mikataba kama Richmond na Escrow ikiingizia taifa hasara kubwa sana na kusababisha baadhi ya mafisadi kama mzee lowassa kujiudhulu na baadae kukimbilia katika CHADEMA baada ya kutambua hakuna nafasi ya madudu chini ya mh rais Magufuli.

Tangu utawala wa awamu ya tano uingie madarakani zaidi ya miaka mitatu nyuma, suala la mgao wa umeme limekuwa historia.

Mh. Rais amejitahidi sana kumaliza tatizo hili hivyo kupelekea kuleta unafuu kwa viwanda ambavyo viilikuwa vinatumia gharama kubwa kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta pia kuwaondolea hasara waliokuwa wanapata wafanyabiasha ndogo ndogo kama mabutcher, wauzaji wa soft drink pamoja na wamama wauza mabarafu na ice cream.

Vijana na wananchi wengi tunakubali sana utendaji wa mh Rais hatuyumbishwi na wazurulaji watanzania tunataka maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau kuweka namba ya simu ili uitwe kwenye usaili wa uteuzi
Habari wakuu,

Kama tuna kumbukumbu kidogo miaka ya nyuma tatizo la mgao wa umeme lilikuwa kama kansa inayoitafuna nchi hii nchi ilikuwa haimalizi mwaka bila kuwa na mgao wa umeme mara maji Mtera yamepungua mara hivi mara vile yani zilikuwa sarakasi zisizokuwa na mwisho kiasi cha kwamba wajanja wacheche walijinufaisha kupitia tatizo la upungufu wa umeme.

Tumeshuhudia mikataba mingi mibovu iliyoitikisa nchi na kulitia taifa aibu na hasara ya hali ya juu. Tumeshuhudia mikataba kama Richmond na Escrow ikiingizia taifa hasara kubwa sana na kusababisha baadhi ya mafisadi kama mzee lowassa kujiudhulu na baadae kukimbilia katika CHADEMA baada ya kutambua hakuna nafasi ya madudu chini ya mh rais Magufuli.

Tangu utawala wa awamu ya tano uingie madarakani zaidi ya miaka mitatu nyuma, suala la mgao wa umeme limekuwa historia.

Mh. Rais amejitahidi sana kumaliza tatizo hili hivyo kupelekea kuleta unafuu kwa viwanda ambavyo viilikuwa vinatumia gharama kubwa kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta pia kuwaondolea hasara waliokuwa wanapata wafanyabiasha ndogo ndogo kama mabutcher, wauzaji wa soft drink pamoja na wamama wauza mabarafu na ice cream.

Vijana na wananchi wengi tunakubali sana utendaji wa mh Rais hatuyumbishwi na wazurulaji watanzania tunataka maendeleo

In God we Trust
 
Huyo ni sawa sawa na nyoka asiye na macho maana anadandia kila pahala
Unaingizwa choo kisicho kuhusu na wewe unaingia kichwa kichwa subiri upewe data za Umeme unavyo sumbua sasa hivi Ushauri wangu kwako kuwa mtulivu kwanza usirukie treni kwa mbele Nchi ni ya wote itajengwa kwa pamoja taratibu kwa mpangilio

In God we Trust
 
TWENDE NA LISSU 2020
Kweli mkuu, maana hata 'mtundulisu' naye ana washabiki na hawaoni utundulisu wake.
FB_IMG_1550477529716.jpeg


In God we Trust
 
Jana niliuliza kwa hili picha la mh Lissu kuna watu wanateseka?
Naam, risasi 38 na 16 kati ya hizo kutua mwilini na bado mzalendo anadunda akiwaacha waliopanga na kuratibu mauaji wakiteseka kiasi hiki unavyoteseka si mchezo.
FB_IMG_1550477529716.jpeg


In God we Trust
 
Mlivyompiga risasi hamkujua kuwa Lissu ni mpango wa mungu hawezi kuuwawa na walaanika kama nyinyi?
Hahaa, kupigwa risasi ndo umekuwa mtaji wa kisiasa na kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na sera. Huko kama siyo kufilisika kisiasa ni kitu gani?

In God we Trust
 
Back
Top Bottom