King smoker
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,002
- 675
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Unataka kutuaminisha kwamba wazazi wako, mababu na mabibi zako, marafiki zako na majirani zako ni MAJUHA?!"Kama kuna majuha tanzania ni watumishi wa serikali including you! if you are one of them anyway!
Mhe. Rais tunakuomba sana kwa HESHIMA na TAADHIMA utukumbuke na sisi WASTAAFU. Kipato chetu ni kidogo sana kuweza kumudu gharama za maisha. Wengi wetu tunapata kama Tshs.200,000 kwa mwezi. Usitusahau Mhe. Rais.
Kwa hiyo watumishi wa Umma ndiyo wanafanya watu kuishi?Mkuu usijaribu kudharau hata kidogo watumishi wauma. Ni watu waliojitolea kufa masikini sababu yako. Isingekuwa watumishi wa uma we hata kuandika usingekuwa unajua, ungekuwa ushakufa kwa magknjwa, in short kila kitu mtumishi wa uma anahusika kwako. Mabarabara nk. Nakuona mjinga na nusu kwa kutukana watu wanaokufanya uishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hujui kuandika halafu umepenyezewa habari nyeti duh kweli hapo hakuna MASRAHI!Naomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hujui kuandika halafu umepenyezewa habari nyeti duh kweli hapo hakuna MASRAHI!
Majuha kumaanisha ulitaka waache kazi au unampango wa kuwaajili, nadhani juha ni wewe unayekula na kulala hapo kwa shemeji yako kwa hisani ya papuchi ya dadaako,pompoma wewe.Kama kuna majuha tanzania ni watumishi wa serikali including you! if you are one of them anyway!
Huyu jamaa asivyopenda kupangiwa, hata kama ni kweli basi ataahirisha
usinipangie kuamini, na wala haitatokea nikamuamini binadamu mwenzangu.
Naomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Haa! hapo kakosea kuchelewesha maana mtazomo utakuwa kwasababu ya chaguzi/uchaguzi mkuu upandishwaji wa mishahara nadhani upo kisheria hapa naomba wanasheria watoe ufafanuzi mimi ukiniuliza kuhusu semiconductors na ujasiliamali nitakujibu vizuriNaomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu nimekulazimisha Mkuu?usinipangie kuamini, na wala haitatokea nikamuamini binadamu mwenzangu.
Umepenyezewa sehemu gani mkuu, ungetueleza sehemu uliyo penyezewa
Usemacho ni sahihi Mkuu, hilo jambo la mishahara kuongezwa Mwaka huu 2019/2020 hakuna labda Mwaka wa fedha 2020/2021Hakuna kitu kama hicho hawa ni wafanyakazi wanaotamani ndoto zao zitimie.
Acha upu mbavu una mpongeza magufuli kwa kupandisha nini sasa?Naomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app