Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kama kuna majuha tanzania ni watumishi wa serikali including you! if you are one of them anyway!
"Unataka kutuaminisha kwamba wazazi wako, mababu na mabibi zako, marafiki zako na majirani zako ni MAJUHA?!"
 
Mkuu usijaribu kudharau hata kidogo watumishi wauma. Ni watu waliojitolea kufa masikini sababu yako. Isingekuwa watumishi wa uma we hata kuandika usingekuwa unajua, ungekuwa ushakufa kwa magknjwa, in short kila kitu mtumishi wa uma anahusika kwako. Mabarabara nk. Nakuona mjinga na nusu kwa kutukana watu wanaokufanya uishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo watumishi wa Umma ndiyo wanafanya watu kuishi?
 
Naomba kuwasilisha waungwana


Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.

Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele


Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020

Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma

Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hujui kuandika halafu umepenyezewa habari nyeti duh kweli hapo hakuna MASRAHI!
 
Huyu jamaa asivyopenda kupangiwa, hata kama ni kweli basi ataahirisha
 
Serikali haina uwezo Wa kupandisha hata kwa asilimia 50% sababu makusanyo ya kila mwezi yanamalizwa na malipo ya madeni na mishahara peke yake hivyo vipengele viwili tu. Mwaka mzima tulipata bajeti ya trillion 2.5 tu kwa maendeleo. Sasa nyongeza ya mshahara ambao kwa sasa unakula si chini ya trilioni 5 atapata wapi pesa ya kupandisha.maradufu. kama ni mfanyakazi Wa serikali jiandae kwa maumivu usijipe faraja kwa kuwaza yasiyowezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuwasilisha waungwana


Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.

Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele


Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020

Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma

Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025

Sent using Jamii Forums mobile app

Umepenyezewa sehemu gani mkuu, ungetueleza sehemu uliyo penyezewa
 
Naomba kuwasilisha waungwana


Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.

Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele


Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020

Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma

Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025

Sent using Jamii Forums mobile app
Haa! hapo kakosea kuchelewesha maana mtazomo utakuwa kwasababu ya chaguzi/uchaguzi mkuu upandishwaji wa mishahara nadhani upo kisheria hapa naomba wanasheria watoe ufafanuzi mimi ukiniuliza kuhusu semiconductors na ujasiliamali nitakujibu vizuri
 
Naomba kuwasilisha waungwana


Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.

Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele


Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020

Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma

Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upu mbavu una mpongeza magufuli kwa kupandisha nini sasa?
Kichwa kubwa akili mavi
 
Back
Top Bottom