Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Huwa nawaza sana kuhusu wazazi wake ndugu, jamaa na marafiki ambao juhudi zao angalau za kuupata mwili zimeshindikana na mbaya zaidi serikali na polisiccm wako kimya kabisa.
Ukimtaja ben roho inaniuma balaa.
 
Yanasemwa mengi sana ila ukweli utabaki kuwa ukweli sio kila anaye kosoa serikali au Mh Rais basi anamchukia Rais au anania mbaya na serikali.

We love our President and we real care him. Mungu amlinde. Nakumtumza kwa manufaa ya Taifa na Raia wote.
Merry Christmas and happy New year 2021
Kwa alivyojiwekea Yeye, asivyojiamini na anavyoendelea pia Kudanganywa na Wanafiki wanaomzunguka 24/7 tunaomkosoa ni Maadui zake zaidi.
 
Huwa nawaza sana kuhusu wazazi wake ndugu, jamaa na marafiki ambao juhudi zao angalau za kuupata mwili zimeshindikana na mbaya zaidi serikali na polisiccm wako kimya kabisa.
Mimi nawaomba warombo wafanye lile tambiko lao tuu potelea pwete ilambe kila mhusika. Yaan mpk aliyepata njama ni safari. Watu wanakatika kama upepo
Sijui kwann wanachelewa hivi
 
Wamekata tamaa kwani juhudi zao za kuanika jina lake hadharani na Nchi anayoishi ili kumtisha na hivyo kumnyamazisha hazijafua dafu na sasa jamaa amecharuka katika kupambana na huyo anayejiita mwendawazimu.
Jamaa ametumia zaidi ya billion 4 kumsaka mshika nyundo ila hajafua dafu!
 
Wamekata tamaa kwani juhudi zao za kuanika jina lake hadharani na Nchi anayoishi ili kumtisha na hivyo kumnyamazisha hazijafua dafu na sasa jamaa amecharuka katika kupambana na huyo anayejiita mwendawazimu.
Natamani na Mimi ningekua na hicho kibarua mlichonacho ninyi naskia mnalipwa vizuri [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nani kakudanganya tunalipwa? Ni mapenzi tu ya Nchi yetu ambayo sasa imekuwa ni kichekesho hata kuwekwa kundi moja na Burundi, Burkina Faso, Somalia etc.
Natamani na Mimi ningekua na hicho kibarua mlichonacho ninyi naskia mnalipwa vizuri [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nani kakudanganya tunalipwa? Ni mapenzi tu ya Nchi yetu ambayo sasa imekuwa ni kichekesho hata kuwekwa kundi moja na Burundi, Burkina Faso, Somalia etc.
Lubasha Jr ndio katudanganya watz

Tanzania kundi moja na Burundi, Burkina Faso, Somalia in terms of what ? ?.

Nakuja PM lakini acha kunibania rizki Kakaa
 
Siku ukitia akili kichwani utaelewa tu. Kwa sasa endelea kujibaraguza na huu uchumi wa JIWE. Acha ujinga wewe sikujui hunijui kwanini ujibaraguze!? 😳
Lubasha Jr ndio katudanganya watz

Tanzania kundi moja na Burundi, Burkina Faso, Somalia in terms of what ? ?.

Nakuja PM lakini acha kunibania rizki Kakaa
 
Yanasemwa mengi sana ila ukweli utabaki kuwa ukweli sio kila anaye kosoa serikali au Mh Rais basi anamchukia Rais au anania mbaya na serikali.

We love our President and we real care him. Mungu amlinde. Nakumtumza kwa manufaa ya Taifa na Raia wote.
Merry Christmas and happy New year 2021
Usitumie wingi kwenye hili, sema una mpenda sio tunampenda. Usimsemee mtu.
 
Siku ukitia akili kichwani utaelewa tu. Kwa sasa endelea kujibaraguza na huu uchumi wa JIWE. Acha ujinga wewe sikujui hunijui kwanini ujibaraguze!? [emoji15]
Kwahiyo Ninyi wapinzani na wanaharakat ndio wenye akili ya kuelewa ?
Umepata habari za Putin lakini mkuu ?

[emoji23][emoji23]ila watu mnapiga hela aisee haya kaka nimeghairi siji, watakuja unaowajua
 
Acha kuongea pumba. Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani.
Kwahiyo Ninyi wapinzani na wanaharakat ndio wenye akili ya kuelewa ?
Umepata habari za Putin lakini mkuu ?

[emoji23][emoji23]ila watu mnapiga hela aisee haya kaka nimeghairi siji, watakuja unaowajua
 
Yanasemwa mengi sana ila ukweli utabaki kuwa ukweli sio kila anaye kosoa serikali au Mh Rais basi anamchukia Rais au anania mbaya na serikali.

We love our President and we real care him. Mungu amlinde. Nakumtumza kwa manufaa ya Taifa na Raia wote.
Merry Christmas and happy New year 2021
Mnufaika na utawala, jingelee wewe siyo tunampenda sema ninampenda.
Pita mitaani ongele habari zake usikie watu watakavyo sema
 
Kimpenda Rais bado si sababu ya kumpoteza Ben Saa nane, damu yake inakulilia wewe na mzee Meko unayemuabudu
 
Back
Top Bottom