Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kwa roho mbaya kukili watu .alizalisha watu wasio julikana kazi yao ilikuwa moja kuteka .
 
KIMEI kaondolewa na mwendazake , tena kujiuzulu bila nitisi.

Mwendazake alikuwa anamsifia sana Kimei baada ya kufungua tawi la CRDB kule Chatto ingawa hakukukidhi vigezo vya kuwa na Tawi!! Hata kutoa ahadi kuwa angempatia kazi baada ya kuondoka CRDB!!! Kimei hakujiuzuru, bodi yake walimstukiza tu kuwa walikuwa wanatafuta CEO mwingine!!!!
 
1.KUAPA KUTOPELEKA maendeleo KILIMANJARO NA ARUSHA.
2. kutengua wachagga wote waliokuwa kwenye nyadhifa, akina Kimei, Tenga, Shayo, Mramba wa TANESCo.
3. KUIBA KURA 95%
4. Kumfokea padre na sista akiwa madhabahu ya Katoliki [st peters]
5. kuzuia wachagga wasichukue Tanzanite mererani kwa kujenga ukuta na kulinda na wajeda ila KUZIPELEKA KWA KAGWAAME.
5. kukataa katiba mpya.
6. Kumtaja Mungu mdomoni huku moyoni mwake akijua hayupo kwa matendo yake.
7. Kusifia wanawake weupe huku akijua mkewe ni mweusi.
8. Kutumia kodi za wanyonge KUPIMA MAPAPAI kama yana CORONA.
9. Watu wa kigamboni wapige mbizi kama hawataki nauli ya 200.
10. Wahaya kunyimwa fedha walizochangiwa na wanyonge wenzao pale tetemeko a ardhi lilipotokea.
wachaga hua mna shida siku zote hata kabla ya JPM. ninyi ni wezi wezi na walaghai mnajulikana,hivyo basi msilalamike
 
We ndomwehu Tena kama jpm.tena tunataka mwehumwenzio afe mara 2,asije fufuka tena
Pumbavu mkubwa Wewe, badala ya kuandika utakachokikumbuka kwake unakuja kuni quote nitakachomkumbuka mimi!!!

Alokwambia Mimi na wewe tuwe na akili na mawazo yanayofanana ni Nani??

Pumbavuuu!!
 
Uka

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Ukatili!
 
IMG-20210527-WA0002.jpg
IMG-20210527-WA0001.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wachaga hua mna shida siku zote hata kabla ya JPM. ninyi ni wezi wezi na walaghai mnajulikana,hivyo basi msilalamike
WASUKUMA mna shida siku zote, mna wivu wa maendeleo ya watafutaji, mtabaki kutumia nguvu nyingi bila akili.
 
Mwendazake alikuwa anamsifia sana Kimei baada ya kufungua tawi la CRDB kule Chatto ingawa hakukukidhi vigezo vya kuwa na Tawi!! Hata kutoa ahadi kuwa angempatia kazi baada ya kuondoka CRDB!!! Kimei hakujiuzuru, bodi yake walimstukiza tu kuwa walikuwa wanatafuta CEO mwingine!!!!
Mwendazake aliyaka mtu wake wa TISS pale CRDB ili kushirik dhambi ya kutoa siri za akaunti za wateja kitu ambacho alifanikiwa lakini Mungu kamleta mama, mama anafungua akaunti na kurudisha feza xilizoporwa na mwendazake.
 


This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Kuruhusu chama kimoja kufanya siasa wakati vingine vimezuiwa na mwisho kuchangia pakubwa kuvuruga chaguzi serikali za mitaa na zinginezo kwa kuwahogofya wakurugenzi na watendaji wengine
 
Nitamkumbuka hayati Rais Wa awamu ya tano kama rais Wa pekee aliyeweza kuutafuna mfupa uliowashinda marais wote watangulizi wake: Kuthubutu na kuweza kuhamishia makao makuu DODOMA.
Mfupa mwingine uliowashinda watangulizi wake ni ujenzi Wa bwawa LA kufua umeme Stiglers George! ujenzi wa reli -SGR
Lingine ni kufuta uongo kuwa Tanzania ni nchi maskini! We are very rich!!
 
Back
Top Bottom