EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Tunaitaji kujua aliko rais wetu mkuu,kwanini tufichweNot fair. Utu ni kitu muhimu. HATUWEZI WOTE KUWA MARAIS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaitaji kujua aliko rais wetu mkuu,kwanini tufichweNot fair. Utu ni kitu muhimu. HATUWEZI WOTE KUWA MARAIS
Mkuu kuonekana ni kuzurura? Niishie hapa nisikukwaze mkuuMkuu Rais siyo wa kuzurura Magomeni wala kariakoo. Tuwe waelewa jamani. Vinginevyo tutapeana u Field Marshall hali hata u lance corporal tu hatuna.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu kuonekana ni kuzurura? Niishie hapa nisikukwaze mkuu
YaapMuuaji, katili, mbaguzi, mbinnafsi, mjaa chuki, kiburi na visasi
Nitamkumbuka kwa kuwa Mwanasayansi aliyeamua kupingana na sayansi na kujiletea yeye na nchi yake maafa. Lakini pia nitamkumbuka kwa kufanikiwa kuleta uwajibikaji kwa watoa huduma serikalini.
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi...
Thubutu hautaki kuishi niniMbona alipokua hai mlikua hamsemi Kama sio unafiki huo
Aliyekufa kafaaa.
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi..
Wafuasi wa Kigogo,kwa hiyo kipindi hiko magonjwa mengine yalikuwa likizo ya kuua,kila mgonjwa kafa kwa covid.Alidharau Corona ikamchukua
Wa akili au kipato?Hakika wewe utakuwa ni mnyonge
Upo sahihi. Miradi ya kimkakati kama vile uwanja wa ndege wa Chato.Hii ilisaidia sana kwa wafanyakazi kujiongeza na kujifunza Ujasiliamali. Maana watu wengi walibweteka na mishahara yako.. Inchi ipo kwenye construction MODE...
Ndio..na tunamshukuru sana kwa hilo, na soko la dhahabu la kimataifa, hospitali ya kanda, daraja la busisi, mbuga ya burigi, upanuzi barabara za mwanza, ujenzi wa airport mwanza, ma meli ya kutosha ziwa victoria...una jingine la kuongezea?Upo sahihi. Miradi ya kimkakati kama vile uwanja wa ndege wa Chato.
Inaonekana kichwa chako hakina majukumu mazito, maana una nafasi ya kukumbuka mpaka vitu vya kawaida.Ndio..na tunamshukuru sana kwa hilo, na soko la dhahabu la kimataifa, hospitali ya kanda, daraja la busisi, mbuga ya burigi, upanuzi barabara za mwanza, ujenzi wa airport mwanza, ma meli ya kutosha ziwa victoria...una jingine la kuongezea?
Inaonekana kichwa chako hakina majukumu mazito, maana una nafasi ya kukumbuka mpaka vitu vya kawaida.
Barabara za Mwanza ni zipi unazozikumbuka? Maana nyingi ni makorongo. Ukiacha ile ya Sabasaba-Buswelu-Nyakato, ipi nyingine?
Iliyopanuliwa, zaidi ya hiyo ya Furahisha - airport (4km), ipo nyingine?
Umenena vema hapo mwishoni ... Kwa hayo machache .... Mimi ningemshukuru zaidi yako endapo tu kama asingefanya yafuatayo:Muda wa Porojo za kilomita sina..nimeorodhesha navyoweza..na mzee huenda alikuwa na mipango mikubwa zaidi kwa Mwanza. Ila hata kwa hayo machache tuna mshukuru kwa dhati
Hilo utajua mwenyeweUmenena vema hapo mwishoni ... Kwa hayo machache .... Mimi ningemshukuru zaidi yako endapo tu kama asingefanya yafuatayo:
1) kuua watu wanaomkosoa
2) kuteka na kuwapoteza wanaomkosoa...