Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

HUYU ATAKUWEPO KWENYE HISTORIA YA VIZAZI VYENU VYOTE MPENDE MSIPENDE
Rubbish, hata wewe ukiwa rais, utakuwa na historia yako, hata kiumbe yeyote, hata say "mjusi", jogoo" akiwa rais naye atakuwa na historia yake!
 
Jamani kwenye ukweli tuseme ukweli, kuna kipindi hali ilikuwa mbaya sana. Tulikuwa tunakwenda na pesa zetu baa, wahudumu wanatudharau, tulikuwa tunakwenda kwenye migahawa wahudumu wanatudhrau. Tulikuwa tunatumia pesa hovyo, kuwapa wasanii na makahaba hovyo. Leo hii umerejesha thamani ya utu na pesa ya Tanzania.

Nasema uongo jamani?
 
Wewe unazungumzia bar, wakati huo unapata hizo hela unashinda bar unadharauliwa wenzio wanajenga.

Wenzio wanainvest, wenzio wanakuza familia zao, unachokiona bado ni kidogo sana, tatizo sio Magufuli au Wahudumu uliowataja, tatizo ni WEWE
 
Amekurejeshea heshima gani? Kumlamba miguu binadamu mwenzako ndiyo heshima?
 
Jamani kwenye ukweli tuseme ukweli, kuna kipindi hali ilikuwa mbaya sana. Tulikuwa tunakwenda na pesa zetu baa, wahudumu wanatudharau, tulikuwa tunakwenda kwenye migahawa wahudumu wanatudhrau. Tulikuwa tunatumia pesa hovyo, kuwapa wasanii na makahaba hovyo. Leo hii umerejesha thamani ya utu na pesa ya Tanzania.

Nasema uongo jamani?
Basi tafsiri ya heshima kwenye kamusi imebadilika. Na uwezo wa mtoa mada Ni duni sana. Unampima Rais kwa namna unavyopokelewa Bar??

JF imeingiliwa na watu wenye mtindio wa ubongo. Nimeangalia profile yako umeingia October 2, 2020. Labda tukuache na ugeni wako kwa vile siyo mzoefu wa JF
 
Watu wanavyolalamika hawana pesa ndio kurejesha heshima?
Wafanyakazi Mara ya mwisho kupandishiwa mishahara ni wakati wa JK
We jamaa ubongo wako utakuwa umejaa maji ya Nazi
Unapost ujingaujinga tu, sio bure utakuwa unalipwa kwa maupumbavu unayopost
 
Jamani kwenye ukweli tuseme ukweli, kuna kipindi hali ilikuwa mbaya sana. Tulikuwa tunakwenda na pesa zetu baa, wahudumu wanatudharau, tulikuwa tunakwenda kwenye migahawa wahudumu wanatudhrau. Tulikuwa tunatumia pesa hovyo, kuwapa wasanii na makahaba hovyo. Leo hii umerejesha thamani ya utu na pesa ya Tanzania.

Nasema uongo jamani?
Kabla ya kulala Leo kemea hiyo roho ya umasikini wa fikra inayokuandama,
 
Nampongeza mheshimiwa Rais Magufuli kwa msimamo wake kuhusu corona kwa sababu kwa inavyoonekana haka ni kamradi ka mabeberu fulani ili wapige pesa ndevu. Ndiyo maana ukikataa wanakushambulia au ukiwambia kwako hakuna corona wanakasirika.
 

Attachments

  • VID-20210228-WA0011.mp4
    5.9 MB
Haya ni mapumnguani tu yanayopinga chanjo kama alivyo jiwe. Au umeshawishika kwa kuwa ni wazungu? Hata wazungu wapo mapunguani.
 
Back
Top Bottom