Fresh nakuombea ubaki humu humu miaka mingiNgoja niingie zangu gym.
Sijakuelewa hata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fresh nakuombea ubaki humu humu miaka mingiNgoja niingie zangu gym.
Sijakuelewa hata
Rubbish, hata wewe ukiwa rais, utakuwa na historia yako, hata kiumbe yeyote, hata say "mjusi", jogoo" akiwa rais naye atakuwa na historia yake!HUYU ATAKUWEPO KWENYE HISTORIA YA VIZAZI VYENU VYOTE MPENDE MSIPENDE
Unaweza kuta anacheza PS kwa jirani.Level ya ujinga hapa nchini ipo juu sana.
Basi tafsiri ya heshima kwenye kamusi imebadilika. Na uwezo wa mtoa mada Ni duni sana. Unampima Rais kwa namna unavyopokelewa Bar??Jamani kwenye ukweli tuseme ukweli, kuna kipindi hali ilikuwa mbaya sana. Tulikuwa tunakwenda na pesa zetu baa, wahudumu wanatudharau, tulikuwa tunakwenda kwenye migahawa wahudumu wanatudhrau. Tulikuwa tunatumia pesa hovyo, kuwapa wasanii na makahaba hovyo. Leo hii umerejesha thamani ya utu na pesa ya Tanzania.
Nasema uongo jamani?
Kabla ya kulala Leo kemea hiyo roho ya umasikini wa fikra inayokuandama,Jamani kwenye ukweli tuseme ukweli, kuna kipindi hali ilikuwa mbaya sana. Tulikuwa tunakwenda na pesa zetu baa, wahudumu wanatudharau, tulikuwa tunakwenda kwenye migahawa wahudumu wanatudhrau. Tulikuwa tunatumia pesa hovyo, kuwapa wasanii na makahaba hovyo. Leo hii umerejesha thamani ya utu na pesa ya Tanzania.
Nasema uongo jamani?