denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Manabii wa kweli walikuwa wanasema jambo kabla halijatokea na kuwapa watu wao njia za kujikinga na wakaponywa, huyu nabii wako wa uongo alituambia Corona hakuna imeisha kwa maombi halafu baadae alivyoona hali inazidi kuwa mbaya akasema ipo kidogo tu.