Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Bila shaka mtoa mada sasa atakuwa ameshapata jibu sahihi. Watanzania wote walio kiogopa kifo, walifunga safari kwenda kijijini Samunge wakati ule, kwenda kupata kikombe cha Babu!

Hivyo na hayati nae alikiogopa kifo! Kifo kinatisha! ☠️ Kifo kinaogopesha!
Hakuna anayependa kufa! Yaani uache raha zote hizi za hapa duniani! Aaah wapi!
Kama watu wote wangekuwa wanaogopa kifo basi kusingekuwa na wale wenye kujitoa muhanga kwa kujilipua mabomu.
 
Ulinzi wote alokuwa nao kupita hata awamu zote za uongozi Tanzania ndo useme hakuogopa kifo? Nadhani alifahamu hali yake ya kiafya ndiyo maana akataka akiondoka ajulikane kama shujaa mkubwa Tanzania na Africa. Maana alipenda sifa mno na hakutaka kukosolewa hata kidogo.
 
Kaliuli za mtanikumbuka,nitakufa ,nimejitoa muhanga huu ote ni upuuzi wa vionhozi wanaotawala kwa staili ya imla.
Huwa wanakuaga wakatili sana.
Wanachisema tofauti na wanachofanya.

Watu walipotea kwa bahati na yeye kapote.

Kama kweli roho hazifi basi atakutana na roho za waliotangulia.watachomfanya siri yake.
Hivi Magufuli tu ndio alikuwa katili au yeye alikuwa hawezi kung'ata na kupuliza? maana nakumbuka alivyofanywa Dr. Ulimboka kwenye utawala wa Kikwete ila sioni watu wakimzungumzia Kikwete kama katili.
 
Hivi Magufuli tu ndio alikuwa katili au yeye alikuwa hawezi kung'ata na kupuliza? maana nakumbuka alivyofanywa Dr. Ulimboka kwenye utawala wa Kikwete ila sioni watu wakimzungumzia Kikwete kama katili.
Ulimboka alitumika na watu wenye uroho wa madaraka.

Walikua wanamtumia kutengeneza taharuki(corruption) ili Rais aliekuwepo kipindi kile ambae ni jk aonekane ni dhaifu na nchi ionekane imemshinda.

Ukumbuke kulikua na taharuki kila sehemu.

Migomo ya madaktari ,mgao wa umeme,mandaamano ya wanachuo,wafanyakazi kudai nyongeza, migomo ya madereva wa mabasi nk.
Hii ni mbinu ya kimapinduzi ya dunia ya sasa, yanaitwa mapinduzi ya kisiasa.

Mtu mmoja mwenye uwezo wa ushawishi na fedha anafanya ili kumpindua mwenzie.

Mbinu hii ya kimapinduz inafanywa baada ya ile ya kijeshi kuonekana ina vikwazo vingi kutoka kwenye jumuia za kimataifa.

Hivyo kwa wakati ule tushuru kulikua na usalama imala kujua vijana wa aina ya urimboka wanavyo tumika na kwakua jk alikua hapend zambi na kula damu za vijana wa aina ile,aliishia kuteswa tu ili wataje anaowatumia akishataja anaachwa.

NAKUHAKIKISHIA MITIHANI ALIEKUMBANA NAE JK KWENYE UTAWARA WAKE KWA WAKATI ULE ANGEKUA MAGU WANGEPOTEA WENGI.

Visa vile ndio vilivyomuondoa mzee wa rich.

Na naamini magu alikua muoga sana kuhusu haya mambo na ndiomaana hakutaka kusikia mtu yeyeyote kumkosoa maana aliethubutu kumkosoa alikiona chamoto kama sio kupote kabisa.
 
Sasa wale si wanakuwa tayari brain washed kwa kuahidiwa mabikira 70 huko ahera, nk! Ukiwarudisha katika hali ya kawaida, kamwe hawawezi kukubali.
Ndio ujue kuna watu hawaogopi kifo na huo ni mfano tu mmoja, kuna wanajeshi wanaoenda vitani n.k
 
Ulimboka alitumika na watu wenye uroho wa madaraka.
Walikua wanamtumia kutengeneza taharuki(corruption) ili Rais aliekuwepo kipindi kile ambae ni jk aonekane ni dhaifu na nchi ionekane imemshinda.
Ukumbuke kulikua na taharuki kila sehemu.

Migomo ya madaktari ,mgao wa umeme,mandaamano ya wanachuo,wafanyakazi kudai nyongeza, migomo ya madereva wa mabasi nk.
Hii ni mbinu ya kimapinduzi ya dunia ya sasa, yanaitwa mapinduzi ya kisiasa.
Mtu mmoja mwenye uwezo wa ushawishi na fedha anafanya ili kumpindua mwenzie.

Mbinu hii ya kimapinduz inafanywa baada ya ile ya kijeshi kuonekana ina vikwazo vingi kutoka kwenye jumuia za kimataifa.


Hivyo kwa wakati ule tushuru kulikua na usalama imala kujua vijana wa aina ya urimboka wanavyo tumika na kwakua jk alikua hapend zambi na kula damu za vijana wa aina ile,aliishia kuteswa tu ili wataje anaowatumia akishataja anaachwa.

NAKUHAKIKISHIA MITIHANI ALIEKUMBANA NAE JK KWENYE UTAWARA WAKE KWA WAKATI ULE ANGEKUA MAGU WANGEPOTEA WENGI.

Visa vile ndio vilivyomuondoa mzee wa rich .


Na naamini magu alikua muoga sana kuhusu haya mambo na ndiomaana hakutaka kusikia mtu yeyeyote kumkosoa maana aliethubutu kumkosoa alikiona chamoto kama sio kupote kabisa.
Ndio maana nakwambia Magufuli alikuwa hawezi kung'ata na kupuliza tu kama wenzie ila unyama aliyofanyiwa Ulimboka ilikuwa imepangwa auliwe na bora wangemuuwa tu kuliko ule unyama waliyomfanyia, yule kama Lissu tu hazikuwa siku zao za kufa ila wabaya wao walikuwa wamepanga kuuuwa kabisa.
 
Ni kawaida ukiwa na tatizo fulani la kiafya kubwa huwezi kuogopa kifo.

Mzee wetu alikuwa na tatizo la Moyo kwa muda mrefu, alijitahidi kuona kifo sio big deal. Probably aliogopa mwanzoni ila alipogundua sio kitu anaweza badili inabidi akubaliane na ukweli tu kuwa atakufa anytime.

Mkuu hata wewe ukiambiwa kansa imeshakula tumbo lote utashtuka mwanzoni tu kisha baada ya muda utakuwa tayari kwa kufa kimawazo na kimatendo
Na ndio maana alitamani aondoke na wengi nyuma yake... *****!!!
 
Mkuu,hakuna utaratibu wa kujiwekea ulinzi Isipokuwa Hali halisi ya wanausalama hasa wanapoona kiongozi wao yupo katika hatari ya kiusalama zaidi, hasa kulingana na namna ya Uongozi wake,

Na Kwa Magufuli usalama wa Taifa wasingefanya hivyo, Kwa jinsi JPM alivyokuwa tayari amekuwa na maadui wengi wa ndani na nje, hasa Kwa kugusa maslahi Yao, ingelitokea afe ama adhulike Kwa uzembe wa kiusalama, wasingeeleweka

Hilo la pili kuhusu uchawi, Mimi ninahakika hata wewe huna uhakika huo, vinginevyo, wewe ndio useme ulikuwa mlinzi wa kichawi wa JPM
Ndugu yangu,

Nyerere alitaifisha shule, mahosipitali, viwanda, makampuni, mashamba, majumba, majengo na mengine mengi sana.
Pamoja na kupitia misukosuko ya uasi wa jeshi( Tanganyika Rifles) na hatari za mapinduzi karibu mara tatu, ulinzi wake haukuwahi kufikia hata moja ya mia ya ule wa Mwendazake.

Alipokuwa anaenda au kutoka SAFARI za nje ya nchi, msafara wa ulinzi wa Kambarage ulikuwa na pikipiki 1au 2, magari 3 mpaka 5 likiwamo alilopanda. Mara chache sana msafara wa ulinzi wake, ulizidi hapo, ikiwamo safari ya kwenda au kurudi tokea Butiama akienda Musoma au Mwanza.

Aidha katika misafara yake, Nyerere hakuwahi kuandamana na wanajeshi waliobeba misilaha ya kivita kama vile watayafyatua wakati wowote wakiwalekezea hata watoto/wanafunzi.

Alipokuwa kwenye ziara mikoani/wilayani/vijijini, magari yaliyoongezeka mengi yalikuwa ya viongozi wa serikali na ya wanasiasa, kitu ambacho hata hivyo yeye alikuwa akikilalamikia waziwazi.

ULINZI ule ni dhahiri kuwa JIWE aliutaka mwenyewe kwa hofu/uoga wake kama walivyokuwa madhalimu wengine akina Moi, Mobutu etc.

'Actions speak louder than words'
 
Back
Top Bottom