Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yalifanyika chini ya nani ?! Jibu unalo high table na ndiyo hao mnawasifu na kuabuduNi kweli sio fedha zake ila zilikuwepo lakini badala ya kufanya mambo kama hayo wapo waliozitafuna tu na kutunyonya.
You can imagine mtu analipwa bilioni 400 fedha za wavuja jasho watanzania na kulipwa milioni 400 Kila siku ila ndio hao wanaoachiwa.
Hii nchi Kuna watu wanaifaidi sana, Ila ipo siku Mungu atasikia kilio Cha wanyonge na kuwarejeshea Nchi yao.
Ipo siku na siku hiyo haipo mbali sana.
We ni profesa LIPUMBA vuuuu hilo babu lenu hatuwezi kuacha kulisema make limekufa huku limeacha nchi imepasuka.We nyumbu Magufuli amekufa lakini ukisikia jina lake mkundu unatikisika?
Sio kwa matusi hayaa chaaah!!!
Lazima ulikuwa JIZI la vyeti wewe wakakutimua — manake unamwaga povu la uchungu balaa!
hasira ziliisha tangu niliposikia mwendakuzimu Kafa, jambo zuri miradi inasonga bila mtu kutekwa wala kuuliwa.Hizi hasira zako unamtolea nani sasa hapa? Kwanini usizitumie kutafute hela ili uondoe umasikini kwenye ukoo wako?
Tumekwambia reli na daraja yote hiyo ni mwendelezo wa miradi aliyoacha Magufuli! Wewe unakuja na dodoma sijui kuna takataka gani, shida nini njaa au akili?
Nyie vijana mtakufa masikini hivi hivi mkijiona huku mkifikiri kufa kwa Magufuli ndio kupatia maisha.
Ben hakuwahi kuwa mjinga. Na hatakuwa mjingaHuyo alipotea kwa ujinga wake
Huna akili.Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Jambo heri ni kuwa funza bado wanaushaghulikia mzoga wenu kule chatto.Mimba za kwenye majumba mabovu hizi!
Matokeo yake ndio haya — wanazaliwa machokoraa wanaojua kutumia smartphone.
Pole sana dogo, hasira za umasikini hizohasira ziliisha tangu niliposikia mwendakuzimu Kafa, jambo zuri miradi inasonga bila mtu kutekwa wala kuuliwa.
Peponi ni kwangu mimi niliyemwajiri Magufuli. Magufuli alikuwa tarishi wangu tu.Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Nilijua kuna kundi la quelea quelea toka mkoa ule litajaza thrd kwa muda mfupi.Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Masikini ni wewe babu yako, mwendakuzimu si ndo alikuwa rais wenu nyie wanyonge?Pole sana dogo, hasira za umasikini hizo
Watu wenye roho mbaya wanakwenda kupinga ulicho kiandikaNi bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
👏🏽 👏🏽 👏🏽Mungu hadhihakiwi, madaraja na mambo ya dunia ni vitu vya kupita na havimpi mtu uhalali wa kuiona pepo, matendo yetu hapa duniani ndio hukumu yetu mbele za Mungu
Fanya kazi kijanaMasikini ni wewe babu yako, mwendakuzimu si ndo alikuwa rais wenu nyie wanyonge?
Kwa hiyo babu yako mwendakuzimu anavyomtukuza alikuwa anakuletea ubwabwa ghetoni wewe kivutio cha serikali?Fanya kazi kijana
Mambo ni magumu Mbowe hatakuletea hela hapo getoni kwako
Tatizo mmekuja mjini juzi, hizo ni plan za JK ulizeni muambiwe.Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Utapanic sana dogo namna hii maisha yako yatakuwa magumu sana!Kwa hiyo babu yako mwendakuzimu anavyomtukuza alikuwa anakuletea ubwabwa ghetoni wewe kivutio cha serikali?