Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mwanzo nilikuwa namchukulia poa sana magufuri kumbe jamaa ingawaji mambo mengine alikuwa atemba vibaya lakini jamaa alikuwa ni rais bora sana.
Ila mwamba alichokosea ni kuua upinzani na akafikiri yeye maamuzi yake ndio yako sawa kila kitu, lakini jamaa narudia tena alikuwa ni rais bora sana.
Huko kuua upinzani na kufikiri yuko sahihi kwa kila kitu ndio kulimfanya awe Rais bora.
 
.Tofauti magufuli raisi wa wanyonge ⌚💯 wa matajiri.
Magu , pesa ngumu kupata lakini inathamani vitu bei chini. ⌚💯 Vitu bei juu mara tatu pesa ngumu kupata na pia haina thamani, elf 10 ni SAwa na mia tano.
 
Upinzani unakufa kwa kufanya kazi vizuri?
Mbona aliyekuwa anajiita mchapa alinunua WABUNGE?
Mbona alimpiga risasi tundu lisu?
Mbona alimpiga marufuku mikutano ya hadhara?
Kawadanganye wasukuma wenzio huko
Kumbe wabunge mlikuwa mnajiuza?
 
Unasema corona ni igizo na limewaondoa hata hao waliokua wakiidharau.!?
Siku zimesema ukweli na zitaendelea kusema ukweli.

Wenye hiyo biashara mnaiita corona Saivi wako bize na vita, subiri iishe utasikia kirusi kipya kimeibuka urusi na kinaua ndani ya masaa24 tu.

Magu alikua sahihi kabisa kuukataa huo uhuni, kama issue ni kudharau unataka kunambia hawa raia waliokuwa wameudharau huo uhuni mnaita corona wakawa wanajazana kwenye masoko na daladala wote saivi ni marehemu????

Hata haihitaji kuwa na elimu ya msingi kujua magufuri hakufa kwa huo uhuni mnaita corona
 
Boss, mi ningekushauri wewe na wafuasi wooote wa Magu, muache kumsemea huyo Mwamba, muiige familia yake, wako kimyaaa pamoja na matusi kila kona, ni wazi kuwa "Kizuri chajiuza........."

Wakati anagombea uraisi, akawa anadhurula kila kichochoro, uchaguzi ulipoisha akasema ili arudi TZ, ahakikishiwe usalama wake na apewe ulinzi. Jamaa alipokata moto, akaongeaaaa weeeee, nikajua sasa anarudi, wapi! Akasema mama ampe umuhakikishie usalama na ulinzi, akapewa pesa, kimyaaaaaa na hajarudi. Sasa hutamaliza ugali wako tumboni bureee kwa watu wa mtindo huu? Sasa woooote wanaomtukana mwamba ndio dizaini hii.

Familia zooote za walafi zimerudishiwa makoloni yao, unawasikia tena siku hizi, ulikuwa ukikaa huku unasikia, shangazi, kule sharungi, huku zoto ilimradi tu.

Muda ni mwalimu mzuri.
Tulia wewe tulambe asali sisi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Upinzani unakufa kwa kufanya kazi vizuri?
Mbona aliyekuwa anajiita mchapa alinunua WABUNGE?
Mbona alimpiga risasi tundu lisu?
Mbona alimpiga marufuku mikutano ya hadhara?
Kawadanganye wasukuma wenzio huko
Wewe Mambo ya Lissuu kupigwa risasi nenda kamuulize Kubenea..yeye alishamtaja Mbowee kuwa anajua alipo..au hamtaki kiyo habari mbona mnaturudisha nyuma kila siku..una akili kweli weww
 
Siku zimesema ukweli na zitaendelea kusema ukweli.

Wenye hiyo biashara mnaiita corona Saivi wako bize na vita, subiri iishe utasikia kirusi kipya kimeibuka urusi na kinaua ndani ya masaa24 tu.

Magu alikua sahihi kabisa kuukataa huo uhuni, kama issue ni kudharau unataka kunambia hawa raia waliokuwa wameudharau huo uhuni mnaita corona wakawa wanajazana kwenye masoko na daladala wote saivi ni marehemu????

Hata haihitaji kuwa na elimu ya msingi kujua magufuri hakufa kwa huo uhuni mnaita corona
Wahuni ni wale waliokataa Covid kuwa haipo halafu wakaenda kujipiga lockdown kijijini kwao kwa miezi 2 na kila siku wakifanya steam therapy ?
 
Bwn Lisu huko nje maisha mazuri sidhani kama atarudi.
 
Back
Top Bottom