Pre GE2025 Mafanikio ya SGR na Bwawa la Umeme ni aibu kwa Lissu na CHADEMA yote

Pre GE2025 Mafanikio ya SGR na Bwawa la Umeme ni aibu kwa Lissu na CHADEMA yote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Leo tarehe 14/6/2024 treni ya umeme (SGR)imeanza rasmi safari zake za Dar - Moro ambapo abiria 600 wamesafirishwa ambao ni sawa na mabasi 10!, abiria hao wametumia masaa mawili tu kufika Morogoro hivyo kuokoa muda na foleni barabarani. Mwezi wa saba tarehe 25 treni hiyo itaanza rasmi kwenda Dodoma hivyo kuendelea kuokoa muda zaidi na kupunguza foleni njiani.

Ikumbukwe wakati Rais wa awamu ya 5, Hayati Magufuli akiweka jiwe la msingi kuanza ujenzi wa reli ya umeme na bwawa la mwl Nyerere alitukanwa na kukejeliwa na Tundu Lisu, John Heche, na Chadema kwa ujumla kwamba hiyo miradi itakuwa white elephant na haitafika popote zaidi ya kuharibu hela za wananchi tu. Tunashukuru moyo wa Magufuli aliokuwa nao wa kutokata tamaa na sasa watanzania tunaona faida yake baada ya miradi hiyo kukamilika.

Vipi kama Magufuli angesikiliza matusi ya Chadema na kuamua kuachana na hiyo miradi, Leo tungeona hizi faida za kuisha kwa mgao wa umeme na kupungua kwa foleni Nyerere road?
 
Ndio shida ya kukosa exposure.

Reli na bwawa vimejengwa kwa kodi za wananchi ( Magufuli aliziita fedha za ndani/fedha zetu) na mikopo.

Sasa wewe juha mmoja unaibuka kusema mradi kukamilika ni aibu kwa Lissu.

Mradi wa SGR kwanza umezalisha hasara kutokana na siasa za CCM ndio maana YAPI Merkez walipunguza wafanyakazi na post zipo humu kutokana na fedha kuchelewesha hivyo mradi kutokamilika kwa muda.



Nimekuwekea hapo viambatanisho ujisomee uache kuandika upuuzi.
 
Ndio shida ya kukosa exposure.

Reli na bwawa vimejengwa kwa kodi za wananchi ( Magufuli aliziita fedha za ndani/fedha zetu) na mikopo...
Tundu Lissu alipinga ujenzi wa hii miradi. Je, sasa hivi atapanda?
 
Leo tarehe 14/6/2024 treni ya umeme (SGR)imeanza rasmi safari zake za Dar - Moro ambapo abiria 600 wamesafirishwa ambao ni sawa na mabasi 10!, abiria hao wametumia masaa mawili tu kufika Morogoro hivyo kuokoa muda na foleni barabarani. Mwezi wa saba tarehe 25 treni hiyo itaanza rasmi kwenda Dodoma hivyo kuendelea kuokoa muda zaidi na kupunguza foleni njiani.

Ikumbukwe wakati Rais wa awamu ya 5 , Hayati Magufuli akiweka jiwe la msingi kuanza ujenzi wa reli ya umeme na bwawa la mwl Nyerere alitukanwa na kukejeliwa na Tundu Lisu, John Heche, na Chadema kwa ujumla kwamba hiyo miradi itakuwa white elephant na haitafika popote zaidi ya kuharibu hela za wananchi tu. Tunashukuru moyo wa Magufuli aliokuwa nao wa kutokata tamaa na sasa watanzania tunaona faida yake baada ya miradi hiyo kukamilika.

Vipi kama Magufuli angesikiliza matusi ya Chadema na kuamua kuachana na hiyo miradi, Leo tungeona hizi faida za kuisha kwa mgao wa umeme na kupungua kwa foleni Nyerere road?
Sawa
 
Hivi nyie bila kumtaja lissu ,Mbowe ,chadema huwa mnawashwa ? Kwa utafiti wa kawaida tu , machawa wa ccm huitaja mara nyingi kwa siku Chadema kuliko chama chao , anaewalipa machawa ya ccm huna hakili

Wasaliti na wajinga wasioona mbali lazima watajwe sana
 
Alipinga kwa sababu gani?

Hivi kwa akili yako mtu mmoja anaweza kupinga mradi wa trilion 1+ ambao ushachukuliwa mkopo na plan ya ujenzi imeanza?
Alipinga kwa sababu ya ujinga wake na chuki binafsi kwa Magufuli
 
Back
Top Bottom