Mafanikio ya vilabu vinavyoshiriki African football league(super league)

Yanga wamechukua ndondo cup mara 3, cup ndondo mara 5
 
Tarehe 20 Mwezi huu Yanga wanatakiwa wacheze Machi ya Ufunguzi.

Wahusika fanyeni mpango mechi ya Ufumguzi iwe kati ya Yanga na Ihefu.
 
UVibonde wa Ihefu hawapo...na kuingia kote fainali ya loser cup...what a loss???
 
Wiki hii ya African Football League, mechi za mashindano mengine ya vilabu hapa Bongo zimesimama na watu hawana kazi za kufanya, kwa hiyo tutazamie mapovu mengi kutoka kwa mashabiki ambao timu zao zimesimamishwa kucheza halafu hazishiriki AFL. Ni kutokana na ukosefu wa ajira 🤣
 
Unyama mwingi boy
 
Ipo siku sumba
Ipo siku Simba tutalibeba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…