Una uhakika gn hawakukubaliana kwa tendo hilo na kwamba binti kalazimishwa???Kama huna cha kuchangia ni busara kukaa kimya angalau kuficha ujinga bro, Haijalishi ana miaka mingapi au via vimekomaa or ila umri wa mwanamke haujustfy kubaka iwe sahihi. Mwache afanye kwa ridhaa yake na sio kwa force kwa mtu ambae achana na kutokuwa na hisia nae tuu bali humjui.
Tena inaoneka na wewe ni wale wale mbakaji wa underage kwa kisingizio cha via vyake vya uzazi vimekomaa....shame !!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mna conclude vp kwamba jamaa kabaka?? Una evidence??? Kama walikubaliana na mwishon binti kushinikizwa na wazazi aseme kabakwa??Shida sio kwamba huyo binti (14) hakuwa na usichana wake au alikuwa tayari aziweza purukushani za ndoa( yaani ameshaanza kufanya hayo mambo au kibaiolojia alikuwa tayari aweza kufanya)...maana miaka 14 kibailojia hiyo haina shaka kwamba 90% ya wasichana miaka 14 aweza kuingiliwa.....
shida/dhambi/maasia/udhalimu/ufisadi na ufirauni aliyoufanya huyo mwanaume ni kumbaka huyo binti huo ukatili mkubwa no matter angekuwa hata kama ana miaka 30 huyo mtoto ila maadamu kabakwa kaangiliwa pasi na ridhaaa yake huo ni ukatili mkubwa sana kafanyiwa, dhuluma kubwa sana na twalaani kwakweli
May be, may be not......Mna conclude vp kwamba jamaa kabaka?? Una evidence??? Kama walikubaliana na mwishon binti kushinikizwa na wazazi aseme kabakwa??
Watu kama hao mpka wabakiwe mama zao waone limama limedata kisa kupigwa miti kwa lazima ndo akili zitawakaa sawa.Yaani kanisikitisha sana aisee binadamu hatuna hata huruma, ndio maana kesi za ubakaji watu wanazichukulia simple hajui kwamba hata mtu mzima anaweza kubakwa, tena utasikia si alisikia utamu. Ndio maana wanawake wakibakwa wanakaa kimya wanabaki na maumivu yao moyoni kwa views za watu katika jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
14 mkubwa anajitambua na nyege anazo pumbafu
Wewe ndo pumbavu mkubwa.14 mkubwa anajitambua na nyege anazo pumbafu
Aisee14 mkubwa anajitambua na nyege anazo pumbafu