Mafisadi ndiyo chanzo cha chuki dhidi ya mawaziri wa wizara ya Nishati

Mafisadi ndiyo chanzo cha chuki dhidi ya mawaziri wa wizara ya Nishati

muulize aliyekutuma akupe majibu ya maswali haya;
1. Nani amezuia kulipwa pesa za likizo Kwa wafanyakazi wa Tanesco tangu mwaka Jana Kati Kati na ikiwa kwenye bajeti ya 2022/2023 fungi lilikuwepo ? Kisha hizo pesa zimefanyia nini mbadala na Kwa maelezo yapi.
2. Pesa za overtime zimeenda wapi ikiwa watu wanafanya masaa ya ziada na ikiwa bajeti ilikuwepo pesa yake kisha wanalipwa Kwa below 50 hrs.
3. Nani amezuia kupandishwa Kwa staffs baada ya kumaliza masomo na ikiwa bajeti yake ilikuwepo hiyo class ya 2021 no staff upgrading (rather than 5 staffs tena Kwa udini).
Etc
Hujui kuwa mama anahangaika kuirejesha nchi kwenye mstari wa kiuchumi baada ya jiwe kuiharibu? Waziri katumua akili kuondoka vibonasi uchwara hivyo ili mambo yaende.

Kwann hukuhoji wakati wa jiwe alioogoma kuongeza mishagara ya watumishi sekta zote kwa miaka 5?
 
Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
Una akili kilo ngapi wewe?

Makamba wako kafanya Nini hadi Sasa?

Kalemani na Muhongo wamesambaza Umeme kwenye vijiji zaidi ya Elfu6 na Wala hakutajwa kwenye listi ya madisadi.

Makamba wako huyo anagawa mitungi kiholela na kupiga pesa
 
Hujui kuwa mama anahangaika kuirejesha nchi kwenye mstari wa kiuchumi baada ya jiwe kuiharibu? Waziri katumua akili kuondoka vibonasi uchwara hivyo ili mambo yaende.

Kwann hukuhoji wakati wa jiwe alioogoma kuongeza mishagara ya watumishi sekta zote kwa miaka 5?
Mkataba wa hali Bora Kwa mfanyakazi unaita vibonasi uchwara aisee Kwa kiwango ulichofikia utakuwa upo ndani ya buyu la asali si kwa ujuha huo.
Kuhusu marehemu Jiwe si mahala pake hapa muache apumzike anapostahili na utambue maamuzi mengi ya Raisi aliye madarakani ni ngumu watendaji wa Chini kuyapinga haswa kama hilo la ongezeko la mshahara Kwa kila mwaka.
Nyongeza;
Muulize aliyekutuma wapi wafanyakazi wanakuwa na weledi bila ya kupatiwa mafunzo ya ujuzi kutokana na fani zao? Pesa za training Tanesco imepeleka wapi!
 
Katiba Mpya ndiyo game changer kwenye haya mambo ya ufisadi.

Ufisadi wa Tanzania ni wa kimfumo na kitaasisi. Yaani ikuna wizara na taasisi za serikali za kifisadi.
Yaani ubadilisha watendaji na individuals pekee haitoshi; tena huko ni kuongeza gharama na kuendelea kupoteza rasilimali za nchi huku tatizo likizidi kukomaa na kuangamiza taifa zaidi na zaidi.

Tunataka Katiba Mpya ili tushughulikie ufisadi kwenye chanzo na shina/mzizi sio kwenye matawi.
 
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
Huyo mumeo lazima atoke hatumtaki
 
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
Hili la wabunge kugoma una ushahidi nalo? Mi nilifuatilia mjadala jana, wabunge karibu wote walikuwa wanampongeza waziri, hao waliogoma ni kina nani? Hao wahujumu maendeleo ya nchi yetu. Ila rais wetu wa sasa si mtu wa kukurupuka anatumia akili nyingi hasikilizi ujinga ujinga wa mafisadi. Ila kwa ujumla Makamba ni jembe usije kushangaa akawa rais wa nchi hii. Anatumia akili na maarifa mingi ktkt kazi zake, na ana ngozi mgumu sana hata mumtukane namna gani hamwezi kumkatisha tamaa. Anaupiga mwingi nampongeza sana
 
Namba tano umetudanganya.Kalemani amekaa kwasababu ya uchapakazi wake, Magufuli alikuwa alindi Mawaziri wabovu na ndiyo maana Nape na January aliwatupa nje mapema sana kwasababu ni wababaishaji.
Mawaziri wa Nishati wengi waliondoshwa kwasababu ya kujihusisha na dili chafu zikiwa na ushaidi juu.
Ata sisi tulikuwepo Mkuu,tunajua kila kitu.Nitajie dili chafu aliloshiriki Kalemani kwenye Nishati alafu nikupe dili chafu za January mpaka sasa.
We fala Magufuli alikuwa mbaguzi sana, alikuwa anamlinda Kalemani kwani ndiyo aliyemwachia jimbo lake pendwa la Chato asingemgusa hata angejinyea hadharani. Yule shetani alikuwa kaburu mweusi hastahili kutolewa mfano wowote bora. Aliwaondoa Makamba na Nape kwa ubaguzi na uonevu wake. Anyway Mungu amesikiliza vilio vya watanzania.
 
Wewe sema j Makamba amekaa kwenye mirija ya asali na mwenye mzinga kasinzia (Sa100) kisha ikakufikia zamu yako ya kuchovya kwenye buyu basi yanakutoka tu tena Kwa kufananisha na watangulizi katika wizara hiyo.Mkae Kwa kufikiria namna uozo unavyoathili ukuaji wa nchi na si kujiona ninyi baada ya kulambishwa asali , muulize aliyekutuma akupe majibu ya maswali haya;
1. Nani amezuia kulipwa pesa za likizo Kwa wafanyakazi wa Tanesco tangu mwaka Jana Kati Kati na ikiwa kwenye bajeti ya 2022/2023 fungi lilikuwepo ? Kisha hizo pesa zimefanyia nini mbadala na Kwa maelezo yapi.
2. Pesa za overtime zimeenda wapi ikiwa watu wanafanya masaa ya ziada na ikiwa bajeti ilikuwepo pesa yake kisha wanalipwa Kwa below 50 hrs.
3. Nani amezuia kupandishwa Kwa staffs baada ya kumaliza masomo na ikiwa bajeti yake ilikuwepo hiyo class ya 2021 no staff upgrading (rather than 5 staffs tena Kwa udini).
Etc
Magufulidiye aliyefanya namba 1 mpaka 3
 
Back
Top Bottom