Ghost MVP
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 439
- 736
Kuna habari gani kutoka Wizara ya Afya Tanzania juu ya hili swala la watu wengi kuugua Mafua na Kifua kiholela holela na mfululizo.
Pia soma: Uganda: Wizara ya Afya yatoa taarifa Juu ya Wimbi la Sasa la Mafua, Kikohozi Huku Kukiwa na Hofu ya UVIKO
Je, nini kinasababisha Mafua?
Ukikutana na watu 10 basi 7 wana Mafua na Kifua. Hii imekaaje Wadau kwenye Area zenyu huko, mnako live.
Pia soma: Uganda: Wizara ya Afya yatoa taarifa Juu ya Wimbi la Sasa la Mafua, Kikohozi Huku Kukiwa na Hofu ya UVIKO
Je, nini kinasababisha Mafua?
Ukikutana na watu 10 basi 7 wana Mafua na Kifua. Hii imekaaje Wadau kwenye Area zenyu huko, mnako live.