Mafua ni ugonjwa jamani!

Mafua ni ugonjwa jamani!

To yeye

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
35,686
Reaction score
86,968
Yaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.🤧🥵

Hivi mafua Lazima huambukizwe? Au huwa yanakuja tu automatically? Simaanishi namhisi mtu,nauliza tu🙆
 
Tumia limao, kitunguu swaumu na tangawizi , changanya kunywa , kama Hali itazidi Kwa sku mbili basi huo ni ugonjwa mwingine na umekuja Kwa Dalili ya mafua , Kwa uhuni uhuni wako na kupenda nyuzi za ngono hapa jukwaani nakushauri ukienda Anza na kupima Ukimwi
 
Hiyo dalili ya kikohozi kesho koo litakuwa linawasha balaa.

Chukua limao moja ikamue vitatoka kama vijiko vya chakula vi 3 weka panado mbili kwenye hayo maji ya limao tikisa mpaka ziyeyuke kisha kunywa lala ukiamka asubuhi njoo hapa unishukuru. Hii ni dawa ya kikohozi tu.

Nb waweza kutumia leo usiku kesho asubu na jioni mara tatu tu kikohozi kinapona jumla.

Mafua pambana na hali yako au jifukize. Kama yamebana sana.
 
Tumia limao, kitunguu swaumu na tangawizi , changanya kunywa , kama Hali itazidi Kwa sku mbili basi huo ni ugonjwa mwingine na umekuja Kwa Dalili ya mafua , Kwa uhuni uhuni wako na kupenda nyuzi za ngono hapa jukwaani nakushauri ukienda Anza na kupima Ukimwi
Oo sawa mkuu,mi ukimwi Sina....afu nyuzi za ngono siyo tiketi ya umalaya....kumbuka Kuna silent killer...mie kuchangamshana tu 😉
 
Hiyo dalili ya kikohozi kesho koo litakuwa linawasha balaa.

Chukua limao moja ikamue vitatoka kama vijiko vya chakula vi 3 weka panado mbili kwenye hayo maji ya limao tikisa mpaka ziyeyuke kisha kunywa lala ukiamka asubuhi njoo hapa unishukuru. Hii ni dawa ya kikohozi tu.

Nb waweza kutumia leo usiku kesho asubu na jioni mara tatu tu kikohozi kinapona jumla.

Mafua pambana na hali yako au jifukize. Kama yamebana sana.
♥️ Asante sana mpenz... nafuata maelekezo yako
 
Hiyo dalili ya kikohozi kesho koo litakuwa linawasha balaa.

Chukua limao moja ikamue vitatoka kama vijiko vya chakula vi 3 weka panado mbili kwenye hayo maji ya limao tikisa mpaka ziyeyuke kisha kunywa lala ukiamka asubuhi njoo hapa unishukuru. Hii ni dawa ya kikohozi tu.

Nb waweza kutumia leo usiku kesho asubu na jioni mara tatu tu kikohozi kinapona jumla.

Mafua pambana na hali yako au jifukize. Kama yamebana sana.
hizi ni nadharia tu mkuu kwa limao tu huponi! Labda sio kikohozi cha afrika[emoji41]
 
Jifukize , "mafua ni futa likifika 100 digrii centigledi linapasuka"

images - 2023-05-14T185802.751.jpeg
 
Back
Top Bottom