dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
😅 umesaliti noFap mzee ?baby njoo PM nikupe dawa chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅 umesaliti noFap mzee ?baby njoo PM nikupe dawa chap
mafua ya siku hizi ndio makali, ila zamani hayo hayakuwa magonjwa kabisa. dunia imebadilika sana tangu wazungu na wachina waanze kutengeneza silaha za kibaolojia.Yaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.🤧🥵
Hivi mafua Lazima huambukizwe? Au huwa yanakuja tu automatically? Simaanishi namhisi mtu,nauliza tu🙆
dah atakufaidi kweli kweli 😋 😋🤣🤣🤣 Huyu Lazima aoe mkuu🤭
mie nataka foreplay tu basi,🤣🤭Hujanipa hata pole Umeanza kuniletea habari za mikojozo hapa🙄
NAKAZIADawa ya kutibu kwa haraka, ni kupelekewa moto
Njoo fasta upate huduma, dakika 5 nyingi, utakuwa umepona kabisa; utakuwa kama vile umejifukiza; mwili wote utatoa maji yote yenye sumu ya mafua😳Afu ndo nipone?